Mo Dewji, msimu ujao tenga milioni 500 za ubingwa, baada ya hapo Yanga na GSM hawatakusumbua tena

Mo Dewji, msimu ujao tenga milioni 500 za ubingwa, baada ya hapo Yanga na GSM hawatakusumbua tena

Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika. Kwa mahesabu ya haraka, GSM itabidi atumie zaidi ya bilioni 2 ili kupambana na milioni 500 yako. Wakifanikiwa kushinda hizo mechi zote utakazoweka dau, wewe utakuwa haujatumia hata sumni ila wao watakuwa wametoboka bil 2 + pesa za mikataba na hizo timu. Hapa lazima watajitathmini upya kama njia waliyochukua ina thamani.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu iliyoonyesha msimu huu, kama inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Kwani Mo ni mmiliki wa Simba? Akili kisoda.
 
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika. Kwa mahesabu ya haraka, GSM itabidi atumie zaidi ya bilioni 2 ili kupambana na milioni 500 yako. Wakifanikiwa kushinda hizo mechi zote utakazoweka dau, wewe utakuwa haujatumia hata sumni ila wao watakuwa wametoboka bil 2 + pesa za mikataba na hizo timu. Hapa lazima watajitathmini upya kama njia waliyochukua ina thamani.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu iliyoonyesha msimu huu, kama inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Kwani mmeshamaliza kujenga team hadi mnawaza ubingwa?
 
Ila mnajiaminiii...kitawakuta kitu aisee
Historia nne zinatubeba kama ifuatavyo;
1. Tumekupiga mara nne mfululiza katika mechi zilizopita
2. Tumepiga watu nne nne, tano tano na sita sita m,echi za hivi karibuni
3. Tulikutwanga tano tano kaika moja ya mechi nne zilizopita
4. Tumemtwanga muha yule wa kigoma magoli mengi, ambaye nyie mlibebwa kwake.
 
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika. Kwa mahesabu ya haraka, GSM itabidi atumie zaidi ya bilioni 2 ili kupambana na milioni 500 yako. Wakifanikiwa kushinda hizo mechi zote utakazoweka dau, wewe utakuwa haujatumia hata sumni ila wao watakuwa wametoboka bil 2 + pesa za mikataba na hizo timu. Hapa lazima watajitathmini upya kama njia waliyochukua ina thamani.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu iliyoonyesha msimu huu, kama inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
mpira utaharibika zaid kama usimba na uyanga utakuzwa kwa wadhamin kununua ligi kabisa , bora TFF wakae waweke taratib za udhamini ili ligi moja isimilikiwe na mtu mmoja
 
mpira utaharibika zaid kama usimba na uyanga utakuzwa kwa wadhamin kununua ligi kabisa , bora TFF wakae waweke taratib za udhamini ili ligi moja isimilikiwe na mtu mmoja
Yaani, kwa coment hii, inaonyesha dhahili kuwa hujui tofauti ya udhamini na umiliki
 
Historia nne zinatubeba kama ifuatavyo;
1. Tumekupiga mara nne mfululiza katika mechi zilizopita
2. Tumepiga watu nne nne, tano tano na sita sita m,echi za hivi karibuni
3. Tulikutwanga tano tano kaika moja ya mechi nne zilizopita
4. Tumemtwanga muha yule wa kigoma magoli mengi, ambaye nyie mlibebwa kwake.
Pointless...
Hayo magoli ya kupewa na GSm wenzenu?.
Hyo mechi ya juzi unahesabia kwamba ulinifunga au tuliwapa goli kwa kujifunga na man of the match alikua mjomba yenu kayoko....?
Zile 5 kwa moja tulijua nini kilisababisha kwa sbb mlinunua baadhi ya wachezaji hili liko wazi kama tupu ya nyani..ukitaka kujua zaidi kamuulize Aly kamwe...
So dear Utobwenzi...msije na matokeo yenu
 
Pointless...
Hayo magoli ya kupewa na GSm wenzenu?.
Hyo mechi ya juzi unahesabia kwamba ulinifunga au tuliwapa goli kwa kujifunga na man of the match alikua mjomba yenu kayoko....?
Zile 5 kwa moja tulijua nini kilisababisha kwa sbb mlinunua baadhi ya wachezaji hili liko wazi kama tupu ya nyani..ukitaka kujua zaidi kamuulize Aly kamwe...
So dear Utobwenzi...msije na matokeo yenu
Tunasubiri tena mseme GSM au mhamie Ligi ya Zenji au Burundi
 
Hakuna muekezaji Muhindi kwenye tasnia ya Soka
Siyo kweli. Man City na Southampton ni mifano miwili ya haraka ya uwekezaji wa wahindi katika soka.

Kama hadi Mchina anawekeza kwenye soka ndiyo isiwe Muhindi?
 
Moderators mnaruhusu hizi za kipumbavu
GSM ni mfanyabiashara na mwekezaji
Ni mlipa Kodi mkuu wa serikali
Leo member anasema eti hii kampuni ya GSM ni wahuni
Mkipelekwa mahakamani na haya maandiko yA kuichafua GSM Kwa kuwaita wahuni msilalamike
Wewe na huyo gsmu wasengeeee..tu
 
Historia nne zinatubeba kama ifuatavyo;
1. Tumekupiga mara nne mfululiza katika mechi zilizopita
2. Tumepiga watu nne nne, tano tano na sita sita m,echi za hivi karibuni
3. Tulikutwanga tano tano kaika moja ya mechi nne zilizopita
4. Tumemtwanga muha yule wa kigoma magoli mengi, ambaye nyie mlibebwa kwake.
Wote hao ulowapiga nyingi ni matawi yenu ,GSM family, timu huru zimekufunga ,umesuluhu au umepata ushindi dhaifu wa papatu yaani Unga Unga mwana.
Kwa hio hoja ya kufunga magoli mengi ya kununua haina mashiko yoyote hapo.
 
Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohamed Dewji.

Tajiri, nina neno moja kwako.

Msimu huu umefanya mambo makubwa sana pale Simba. Kikosi kinaeleweka, heshima inarudi katika ligi ya ndani na kimataifa.

Kuna uhuni mmoja ambao nafahamu unaujua maana malalamiko haya yamekuwepo kwa misimu kadhaa. Hapa naongelea kitendo cha mwendeshaji na mmiliki asiye rasmi wa Yanga, GSM kudhamini timu 8 katika ligi ya NBC.

Nakupa tahadhari kwamba mpango uliopo ni kuendelea kuongeza timu zinazodhaminiwa na GSM kwa kuzishusha kutoka katika ligi zile zinazokataa udhamini wa GSM na kuzipa udhamini zile zinazopanda. Walifanya hivyo kwa Pamba pale tu ilipopanda.

Pamoja na kwamba upinzani mkali ambao Simba inaupata kutoka haya matawi ya GSM ni faida kubwa kwa Simba kwa kuimarisha uwezo wa timu, ila ukweli unabaki kuwa nafasi ya kuchukua ubingwa wa ndani katika mazingira hayo inakuwa finyu sana. Huo ndiyo ukweli.

Kuna watu wamekuwa wanashauri na wewe utafute timu zako 8 uzipe udhamini ili mgawane pasu kwa pasu na hao GSM ila mimi naona wala hamna haja ya kutumia nguvu kubwa kulikabili hili. Ukituliza akili unaweza kuvuruga kabisa ramani yao ya vita.

Cha kufanya, tafuta kampuni ambayo itakuwa front na wewe simama nyuma yake. Kazi ya hiyo kampuni ni kutoa motisha ya zawadi kwa timu zote za ligi pale zinapocheza na Yanga. Weka kitita cha milioni 100 kwa kila mechi.

Ili kulikabili hilo, Yanga na GSM itabidi na wao waweke mzigo zaidi ya huo ili wachezaji wa hizo timu wakubaliane na hali.

Kumbuka siyo kila mechi utakayoweka dau Yanga itapoteza ila kwanza automatically utakuwa umetoboa mifuko ya hao GSM maana kila mechi utakayoweka dau inabidi na yeye atop up. Wakijifanya kukaza watafilisika. Kwa mahesabu ya haraka, GSM itabidi atumie zaidi ya bilioni 2 ili kupambana na milioni 500 yako. Wakifanikiwa kushinda hizo mechi zote utakazoweka dau, wewe utakuwa haujatumia hata sumni ila wao watakuwa wametoboka bil 2 + pesa za mikataba na hizo timu. Hapa lazima watajitathmini upya kama njia waliyochukua ina thamani.

GSM na Yanga wakiamua kutoweka dau wapambane haki bin haki, watatumia nguvu kubwa sana na lazima watadondosha points.

Ukishapata mechi zako 5 ambazo Yanga itapoteza, unafunga mahesabu yako. Kinachobaki ni Simba kucheza mechi zake kama ambavyo imefanya msimu huu. Sitegemei Simba ikicheza kwa nidhamu iliyoonyesha msimu huu, kama inaweza kupoteza point 15 ndani ya msimu mmoja.

Nina uhakika ukifanya hivi msimu mmoja au miwili kuna watu akili zitawakaa sawa.

Ubaya Ubwela.
Huwezi kutoa pesa ya biashara ikashindana na pesa iliyochepushwa serikalini.
Nyuma mwiko waache tu kuna muda wao hizo pesa hawatazipata tena

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi kutoa pesa ya biashara ikashindana na pesa iliyochepushwa serikalini.
Nyuma mwiko waache tu kuna muda wao hizo pesa hawatazipata tena

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Unatumia infinix lakini kutwa nzima kumtukana GSM 😅😀
Nunua simu infinix ni simu za ma house girl
 
Siyo kweli. Man City na Southampton ni mifano miwili ya haraka ya uwekezaji wa wahindi katika soka.

Kama hadi Mchina anawekeza kwenye soka ndiyo isiwe Muhindi?
Man city gani unaizungumzia?
Hii ya Sheikh Mansour bin Zayed Al Nahyan au Kama ni hii nenda tena chimbo mkuu,
Nakuheshimu sana kwa profile yako hupaswi kuongea haya
 
Man city gani unaizungumzia?
Hii ya Sheikh Mansour bin Zayed Al Nahyan au Kama ni hii nenda tena chimbo mkuu,
Nakuheshimu sana kwa profile yako hupaswi kuongea haya
Mtafute Mukesh Ambani utajua uwekezaji wake na uhusika wake kwenye soka. Kusema hakuna wahindi kwenye tasnia ya soka ni upotoshaji.
 
mpira utaharibika zaid kama usimba na uyanga utakuzwa kwa wadhamin kununua ligi kabisa , bora TFF wakae waweke taratib za udhamini ili ligi moja isimilikiwe na mtu mmoja
Ni zama za ubaya ubwela
 
Huwezi kutoa pesa ya biashara ikashindana na pesa iliyochepushwa serikalini.
Nyuma mwiko waache tu kuna muda wao hizo pesa hawatazipata tena

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Waache pesa ziwatoke ziwafaidishe timu ndogo. Tena kwa kuwa ni pesa za umma hazitawauma.
 
Back
Top Bottom