Unaweza ukawa uko sahihi japo bado sijajiridhisha kwenye hilo la kuwa kina maneno/misamiati ya kutosha.Hahaaa kiswahili ni kipana na kina misamiati mingi tu mkuu
Sema ni vile tu wengi hatukijui kile kiswahili chenyewe chenyewe
Mtu anaweza akakuandikia para hapa ukaisoma hata mara kumi kumi na usiambulie kitu kabisa lakini mwenzio anakuambia katumia lugha ya kiswahili
Wote tunajifunza mkuu, tuko pamoja. [emoji109][emoji109]Seems hii ya kusitisha kufuata imeleta maana zaidi ya Kutofuata shukran kwa marekebisho mkuu
Kutomfuata ama kumfuata kwenda wapiKutofuata=Unfollow, Fuata=Follow
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Umewonder kwenye kauli ya Kutendeana [emoji23] unfollowiana Kutenda unfollow Kutendeka unfoloweka [emoji23] usishangae ni kiswanglish kina misamiati chungunzima
tajiri hanuniwi, Manara atasahaulika kama Sepetu alivyo sahaulika.Huko twiter mambo yameanza mabosi wa Simba waanza kum unfollow Diamond [emoji184] PlatinumzView attachment 1881539
Kwa hio simba itakosa makombe?Mwamedi amehonga Simba kwa Babra ...
Wapi ambapo mondi ametangaza vita na Mo? Tuanzie hapo kwanzaDiamond ajiangalie sana, he is too young kujiingiza kwenye Vita kati yake na business mogul.
Mo hajaanza biashara Jana na ana uzoefu wa biashara kubwa sana dogo anaingia kwenye vita isiyomhusu kabisa.
BTW anajiingiza upande waManara ambaye is a loser dogo huu sio muda wa kuingiza brand ya wasafi kwenye Vita za kitoto.
Anapaswa kufahamu ameingia kwenye corporate world akae kibiashara sio kuleta beef za kitoto. Mo anaweza fitna za kibiashara na ana uzoefu over years huu sio muda kwa wasafi kujiingiza kwenye ugomvi usio na maslahi yoyote ya kibiashara zaidi anapoteza business relationship na possible clients.
Mo Hana media na ana conflict of interest na AZAM sababu wote Wana timu za mpira na wanatengeneza vinywaji baridi na other products zinazofanana kama juice, maji, ice cream nk. Hiyo ni fursa kwa Wasafi lakini akiendekeza ugomvi wa kitoto wa kiswahili atakosea sana.
Mo sio akina Petitman au Harmonize yule ni business mogul angetumia nafasi hiyo kujifunza kwake pia.
It's just a fair comment from my side.
Una tabia kama yangu.Mbona tupo wengi tu ambao hatujamfollow diamond mi tangu niingie insta 12 years hakuna msanii wa bongo niliyemfollow kabisaa ila watu maarufu ambao sio wanamuzik au waigizaji wengi nimewafollow
Kiume zaidi [emoji106]Mi sijawahi kuwa follow hao wote
Nalog off
"mambo ni tofaut Kwa silent killer kama Bakhresa"Hana hela yyte Yule mhuni Tu huyo Mo wako, ukiunganisha dot huyo Mo wako ni siasa tuu, kuanzia drama za Maghufuli, matukio ya manara, malalamiko ya wafanyakazi wake kuhusu maslahi na sarakasi za uwekezaji Simba ni tofaut kabisa na tunavyoaminishwa kuwa ni tajiri wa Africa , mambo ni tofaut Kwa silent killer kama Bakhresa , hustle zake zinaonekana na nchi inaenjoy uwekezaj wake , na Mzee wa watu hajawah ingia kwenye mvutano na high command ...!! Mo ajiangalie na huyo CEO wake..,!!
Pumba tupu.Diamond ajiangalie sana, he is too young kujiingiza kwenye Vita kati yake na business mogul.
Mo hajaanza biashara Jana na ana uzoefu wa biashara kubwa sana dogo anaingia kwenye vita isiyomhusu kabisa.
BTW anajiingiza upande waManara ambaye is a loser dogo huu sio muda wa kuingiza brand ya wasafi kwenye Vita za kitoto.
Anapaswa kufahamu ameingia kwenye corporate world akae kibiashara sio kuleta beef za kitoto. Mo anaweza fitna za kibiashara na ana uzoefu over years huu sio muda kwa wasafi kujiingiza kwenye ugomvi usio na maslahi yoyote ya kibiashara zaidi anapoteza business relationship na possible clients.
Mo Hana media na ana conflict of interest na AZAM sababu wote Wana timu za mpira na wanatengeneza vinywaji baridi na other products zinazofanana kama juice, maji, ice cream nk. Hiyo ni fursa kwa Wasafi lakini akiendekeza ugomvi wa kitoto wa kiswahili atakosea sana.
Mo sio akina Petitman au Harmonize yule ni business mogul angetumia nafasi hiyo kujifunza kwake pia.
It's just a fair comment from my side.
Mzee Mond Hana vita yyte na Mwamed...hii umetoa wapi ww?Diamond ajiangalie sana, he is too young kujiingiza kwenye Vita kati yake na business mogul.
Mo hajaanza biashara Jana na ana uzoefu wa biashara kubwa sana dogo anaingia kwenye vita isiyomhusu kabisa.
BTW anajiingiza upande waManara ambaye is a loser dogo huu sio muda wa kuingiza brand ya wasafi kwenye Vita za kitoto.
Anapaswa kufahamu ameingia kwenye corporate world akae kibiashara sio kuleta beef za kitoto. Mo anaweza fitna za kibiashara na ana uzoefu over years huu sio muda kwa wasafi kujiingiza kwenye ugomvi usio na maslahi yoyote ya kibiashara zaidi anapoteza business relationship na possible clients.
Mo Hana media na ana conflict of interest na AZAM sababu wote Wana timu za mpira na wanatengeneza vinywaji baridi na other products zinazofanana kama juice, maji, ice cream nk. Hiyo ni fursa kwa Wasafi lakini akiendekeza ugomvi wa kitoto wa kiswahili atakosea sana.
Mo sio akina Petitman au Harmonize yule ni business mogul angetumia nafasi hiyo kujifunza kwake pia.
It's just a fair comment from my side.
Hebu tuirejee post ya Diamond:-Diamond ajiangalie sana, he is too young kujiingiza kwenye Vita kati yake na business mogul.
Mo hajaanza biashara Jana na ana uzoefu wa biashara kubwa sana dogo anaingia kwenye vita isiyomhusu kabisa.
BTW anajiingiza upande waManara ambaye is a loser dogo huu sio muda wa kuingiza brand ya wasafi kwenye Vita za kitoto.
Anapaswa kufahamu ameingia kwenye corporate world akae kibiashara sio kuleta beef za kitoto. Mo anaweza fitna za kibiashara na ana uzoefu over years huu sio muda kwa wasafi kujiingiza kwenye ugomvi usio na maslahi yoyote ya kibiashara zaidi anapoteza business relationship na possible clients.
Mo Hana media na ana conflict of interest na AZAM sababu wote Wana timu za mpira na wanatengeneza vinywaji baridi na other products zinazofanana kama juice, maji, ice cream nk. Hiyo ni fursa kwa Wasafi lakini akiendekeza ugomvi wa kitoto wa kiswahili atakosea sana.
Mo sio akina Petitman au Harmonize yule ni business mogul angetumia nafasi hiyo kujifunza kwake pia.
It's just a fair comment from my side.
Sasa kuna kipi hapo kibaya alichoongea?! Hajamsema Mo wala kademu kake! Hajaisema Simba wala kukejeli kutimuliwa kwa Manara!! Alichofanya ni kuonesha masikitiko yake kutokana na kuondoka na wala sio kutimuliwa kwa Manara! Na alichosema ni ukweli mtupu! Tofauti na Ally Kiba ambae ni mpenzi na mchezaji wa soka, Diamond haonekani kuwa mpenzi wala shabiki wa soka. Majority tulikuja kufahamu kumbe nae ni Simba juzi tu hapa kutokana na huyo Manara!!Ukiacha Upenzi wangu wa team ya Simba ambao kiukweli umetokana na ushawishi wako... lakini kama Mtanzania ninaependa maendeleo ya Tasnia ya Michezo, nimeumia kutokuwepo kwako tena Simba... Licha ya kuiongezea Hamasa, Ushawishi Team yetu ya Simba, lakini kupitia Mbwembwe zako za usemaji, utani kwa Yanga na team mbalimbali ulifanya Tasnia ya Michezo kuchangamka zaidi na hata ambao tulikuwa si wafatilia kandanda kuanza kufatilia, kuhudhuria na kwa namna moja au nyingine Tasnia ya Mpira wa miguu kuongezeaka pato zaidi...Inshallah Mwenyez Mungu ajalie kheri yake siku moja haya yote yaishe na urejee tena kuwa msemaji wa SIMBA...kwasababu kiukweli Shabiki wa kweli wa SIMBA kuondoka kwako lazma kumuumize, maana thamani ya mchango wako Simba Unafahamika.....Inshaallah Mwenyez Mungu Azidi kukufungulia Kheri, Akulinde na Akuepushe na kila baya 🙏🏼 @hajismanara
Mi mwenyewe nimeshangaa, ndo maana nimemuwekea post ya Mond ataje hilo baya alilosema la kumfanya eti anajihabaribia!Mzee Mond Hana vita yyte na Mwamed...hii umetoa wapi ww?
Si kwamba ni hulka ya mtu tu namuona Mo Kama vile Elon Musk tu sema jamaa kafanya utoto yani una unfollow mtu kisa Katoa masikitiko yake kwa mtu aliyemkubali.Sometimes MO ha-behave kama bilionea, kwanza mabilionea wengi hawanaga time na social networks, labda kama hiyo acc yake ana imeneji Barbara.