Political stability
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 906
- 1,401
Na Mimi mo dewij kani anifolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo wengi aiseee only jide ndio msanii nilienae kwa insta yanguMbona tupo wengi tu ambao hatujamfollow diamond mi tangu niingie insta 12 years hakuna msanii wa bongo niliyemfollow kabisaa ila watu maarufu ambao sio wanamuzik au waigizaji wengi nimewafollow
Unfollowiana nimeipenda sana, iingie kwenye toleo jipya la kamusi.[emoji1787][emoji1787] Hata manara na Mo +BRB wameunfollowiana.
Exactly, nilidhani ni watu makini.Huwa naona kumu_unfollow mtu baada ya viugomvi vidogo ni kukosa maturity..
Pambaneni on the ground hivi vitu vya mtandaoni ni kutaka attention na drama tu
Hauko peke yakoMbona tupo wengi tu ambao hatujamfollow diamond mi tangu niingie insta 12 years hakuna msanii wa bongo niliyemfollow kabisaa ila watu maarufu ambao sio wanamuzik au waigizaji wengi nimewafollow
Kutofuata kuwa unfollow si sahihi kwa maana halisi ilivyotumika, you were following someone then you unfollow him/her.Kutofuata=Unfollow, Fuata=Follow
Mi mwenyewe nimewonder hapa
Hicho kiswahili imebidi nimtaarifu mama gwajima maana yuko karibu na ndalichako. ajue Victoire kagundua neno jipya kwenye lugha yetu adhimu ya kiswahili.[emoji23][emoji23]
Ujinga huu.. Yaani unamu-unfollow mtu kisa Manara wao? Walikuwa wanajisikia raha sana wakati Manara anawashambulia wengne... Sasa Manara kapiga NDANI KWAO wanahaha..!!! Wasisahau huyo wanayemu-unfollow naye ana wapenzi tena watumiaji wakubwa wa bidhaa zake..!!! WENGINE "WATAZI-UNFOLLOW" BIDHAA ZAKE..!! Vita ya kiuchumi hiyo wameianzishaHuko twiter mambo yameanza mabosi wa Simba waanza kum unfollow Diamond [emoji184] PlatinumzView attachment 1881539
Na hiyo "LIPYA" nayo umemtaarifu?Hicho kiswahili imebidi nimtaarifu mama gwajima maana yuko karibu na ndalichako. ajue Victoire kagundua neno lipya kwenye lugha yetu adhimu ya kiswahili.
Tanzania imechangamka jamani
Ukiwa na stress uamue wewe tu
Soooooooooo????Huko twiter mambo yameanza mabosi wa Simba waanza kum unfollow Diamond [emoji184] PlatinumzView attachment 1881539
Ujinga huu.. Yaani unamu-unfollow mtu kisa Manara wao? Walikuwa wanajisikia raha sana wakati Manara anawashambulia wengne... Sasa Manara kapiga NDANI KWAO wanahaha..!!! Wasisahau huyo wanayemu-unfollow naye ana wapenzi tena watumiaji wakubwa wa bidhaa zake..!!! WENGINE "WATAZI-UNFOLLOW" BIDHAA ZAKE..!! Vita ya kiuchumi hiyo wamei
Umewonder kwenye kauli ya Kutendeana 😂 unfollowiana Kutenda unfollow Kutendeka unfoloweka 😂 usishangae ni kiswanglish kina misamiati chungunzimaMi mwenyewe nimewonder hapa