Mo Dewji na Barbara wam-unfollow Diamond na Manara

Mo Dewji na Barbara wam-unfollow Diamond na Manara

Ujinga huu.. Yaani unamu-unfollow mtu kisa Manara wao? Walikuwa wanajisikia raha sana wakati Manara anawashambulia wengne... Sasa Manara kapiga NDANI KWAO wanahaha..!!! Wasisahau huyo wanayemu-unfollow naye ana wapenzi tena watumiaji wakubwa wa bidhaa zake..!!! WENGINE "WATAZI-UNFOLLOW" BIDHAA ZAKE..!! Vita ya kiuchumi hiyo wameianzisha
Ona hili nalo, U team unawafanya mnawaza ujinga
 
Mondi atakuwa na vita gani ya Uchumi na Moo kiujumla Mondi hakupaswa kumwambia Manara vile sababu waliokulipa ndio waliosema hapo Sana sana Mondi atakuwa amejihalibia KWA wanasimba ambao walikuwa wanampenda
Yaa yani kiufupi Sadala ameamua kuchagua upande ambao ni wa manara,.
 
Diamond ajiangalie sana, he is too young kujiingiza kwenye Vita kati yake na business mogul.

Mo hajaanza biashara Jana na ana uzoefu wa biashara kubwa sana dogo anaingia kwenye vita isiyomhusu kabisa.

BTW anajiingiza upande waManara ambaye is a loser dogo huu sio muda wa kuingiza brand ya wasafi kwenye Vita za kitoto.

Anapaswa kufahamu ameingia kwenye corporate world akae kibiashara sio kuleta beef za kitoto. Mo anaweza fitna za kibiashara na ana uzoefu over years huu sio muda kwa wasafi kujiingiza kwenye ugomvi usio na maslahi yoyote ya kibiashara zaidi anapoteza business relationship na possible clients.

Mo Hana media na ana conflict of interest na AZAM sababu wote Wana timu za mpira na wanatengeneza vinywaji baridi na other products zinazofanana kama juice, maji, ice cream nk. Hiyo ni fursa kwa Wasafi lakini akiendekeza ugomvi wa kitoto wa kiswahili atakosea sana.

Mo sio akina Petitman au Harmonize yule ni business mogul angetumia nafasi hiyo kujifunza kwake pia.

It's just a fair comment from my side.
Na nnavyosikia ni kwamba mond kamchukua manara pale wasafi fm, unategemea mo amejisikiaje baada ya kupata taarifa kama hizi? yaani manara ampe utangazaji ofisini kwake unategemea atamuongeleaje mo!! Mo na yeye ni binadamu sometimes inakera!! myonge wamnyonge lakini haki wampe.., na hili la haji kwenda wasafi ndio lililomkimbiza hata kitenge
 
[emoji1787][emoji1787] Hata manara na Mo +BRB wameunfollowiana.



Kutofuata=Unfollow, Fuata=Follow
kwahiyo angeandika hawajafuatana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hata hainogi
ndio mana bibie hapo hapo juu kaona isiwe tabu kaweka msamihati wake hapo "WAMEUNFOLLOWIANA "
 
Na nnavyosikia ni kwamba mond kamchukua manara pale wasafi fm, unategemea mo amejisikiaje baada ya kupata taarifa kama hizi? yaani manara ampe utangazaji ofisini kwake unategemea atamuongeleaje mo!! Mo na yeye ni binadamu sometimes inakera!! myonge wamnyonge lakini haki wampe.., na hili la haji kwenda wasafi ndio lililomkimbiza hata kitenge

Hata Kama sadala kamchukua manara kwenye radio yao ndio mwamedi achukie kama n kwel jamaa ka mind icho kitu bas mwamedi atakuwa billionaire wa kwanza kuwa na roho ya kimaskin..kwaiyo alitaka manara baada yakuondoka simba asipate kazi kwingine daaaah
 
Na nnavyosikia ni kwamba mond kamchukua manara pale wasafi fm, unategemea mo amejisikiaje baada ya kupata taarifa kama hizi? yaani manara ampe utangazaji ofisini kwake unategemea atamuongeleaje mo!! Mo na yeye ni binadamu sometimes inakera!! myonge wamnyonge lakini haki wampe.., na hili la haji kwenda wasafi ndio lililomkimbiza hata kitenge
Na ndio maana Majizzo nae kamrudisha Kitenge. Mo amewekeza pesa pale na toka amechukua team kwanmiaka minne mfululizo imekuwa ikitwaa makombe na kupanda nafasi Ila miswahili ndio ilivyo.
 
Hebu tuirejee post ya Diamond:-


Sasa kuna kipi hapo kibaya alichoongea?! Hajamsema Mo wala kademu kake! Hajaisema Simba wala kukejeli kutimuliwa kwa Manara!! Alichofanya ni kuonesha masikitiko yake kutokana na kuondoka na wala sio kutimuliwa kwa Manara! Na alichosema ni ukweli mtupu! Tofauti na Ally Kiba ambae ni mpenzi na mchezaji wa soka, Diamond haonekani kuwa mpenzi wala shabiki wa soka. Majority tulikuja kufahamu kumbe nae ni Simba juzi tu hapa kutokana na huyo Manara!!

Binafsi sijaona baya lolote alilosema zaidi ya utoto utoto wa Mudy na Demu wake.
According to Manara ni kwamba alimshawishi sana kwani hakuwa na interest na mambo ya mpira na pia alikuwa hayajui na wala hayafuatilii.
Hii inamaana kabla ya ushawishi wa Haji Manara labda angeweza kuwahiwa na mtu wa timu nyingine na akashawishiwa labda angekuwa shabiki wa timu nyingine.
Labda
Labda
Just thinking.
 
Hata Kama sadala kamchukua manara kwenye radio yao ndio mwamedi achukie kama n kwel jamaa ka mind icho kitu bas mwamedi atakuwa billionaire wa kwanza kuwa na roho ya kimaskin..kwaiyo alitaka manara baada yakuondoka simba asipate kazi kwingine daaaah
Labda alitaka asote ili arudi kumpigia magoti.
 
Mo ni mmoja wa Tajiri wa ovyo kuwahi kutokea nchini.

Acha mzee Baharesa na Marehemu Zakaria waendelee kuheshimika tu
 
Hata Kama sadala kamchukua manara kwenye radio yao ndio mwamedi achukie kama n kwel jamaa ka mind icho kitu bas mwamedi atakuwa billionaire wa kwanza kuwa na roho ya kimaskin..kwaiyo alitaka manara baada yakuondoka simba asipate kazi kwingine daaaah
Ulishawahi kuwa bilionea? Naona unaexperience ya nini cha kufanya
 
Na nnavyosikia ni kwamba mond kamchukua manara pale wasafi fm, unategemea mo amejisikiaje baada ya kupata taarifa kama hizi? yaani manara ampe utangazaji ofisini kwake unategemea atamuongeleaje mo!! Mo na yeye ni binadamu sometimes inakera!! myonge wamnyonge lakini haki wampe.., na hili la haji kwenda wasafi ndio lililomkimbiza hata kitenge
Hapo sasa na connect dots kabisa😅 kumbe ndio maana Kitenge karudi Efm
 
Back
Top Bottom