Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Habari yako Kitukuu cha MtumeWanyaturu wa Singida hao, huyo hata hiyo Gujarati haijuwi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari yako Kitukuu cha MtumeWanyaturu wa Singida hao, huyo hata hiyo Gujarati haijuwi.
Kwamba ulimzaa wewe hapo singida na gujarati umempiga marufuku asifikeWanyaturu wa Singida hao, huyo hata hiyo Gujarati haijuwi.
Kaitoa kwenye Insta ya mooh
Sio familia yake, na hajasema hivyo.Official X page
kwani familia ni nini?Sio familia yake, na hajasema hivyo.
Na hawezi kufanya hivyo...
🤣🤣🤣🤣🤣Siba Guvu Moya
By MO
Twitter xNgoja kwanza, hii picha umeipata wapi?
Kumfuatilia mwanaume kiasi hiki lazima uwe mwanamke mwenye uhitaji sana.Humjui Dewj wewe, ana show off kishenzi.
Shida ni mpaka uwe mjanja maana huwa anafanya kijanja...
Ngoja nikueleweshe, huwa anavaa designer... akivaa hata mkanda tu atahakikisha unaonekana tujue ni LV, na viatu vyake vilevile.
Kuwa makini kumfuatilia utajua, hasa akivaa vipya.
Dewj ni mtu maarufu, kuna ajabu gani kumfuatilia? Na huwa simfuatilii katika page yake...Kumfuatilia mwanaume kiasi hiki lazima uwe mwanamke mwenye uhitaji sana.
Umejuaje kama anavaa brand kama humfatilii?Dewj ni mtu maarufu, kuna ajabu gani kumfuatilia? Na huwa simfuatilii katika page yake...
Kila anachovaa ambacho ni designer brand lazima kiwekwe kwenye page za fashion ambazo ndizo ninazozifuatilia, umeelewa sasa?
Usiwe unakurupuka wakati mwingine.
😀😀😀Daa! Eti cheni ya tani kumi kifuani, na nywele kupakwa rangi ya maviFresh sana Kanji awanaga mbwembwe.
angekua tajiri mweusi cheni ya tani kumi kifuani inaning'inia,hereni masikioni,nywele zimepakwa rangi ya mavi n,k.
R.I.P American spirit Le Kubwaz.
Kumaaanisha nnkuzielewa thread za MSAGA SUMU inahitaji degree ya mavumbini
Unaweza ukaniambia kuna ushamba gani ninaotakiwa kuuacha?Acha ushamba sio yule muuza magodoro
Usikute ni rafiki tu au mtu wa karibu na familia.Huyo wa kiume ndio first born!
ila beste wee wamoto sana!Dewj ni mtu maarufu, kuna ajabu gani kumfuatilia? Na huwa simfuatilii katika page yake...
Kila anachovaa ambacho ni designer brand lazima kiwekwe kwenye page za fashion ambazo ndizo ninazozifuatilia, umeelewa sasa?
Usiwe unakurupuka wakati mwingine.
Kuvaa brand ni show off?Dewj ni mtu maarufu, kuna ajabu gani kumfuatilia? Na huwa simfuatilii katika page yake...
Kila anachovaa ambacho ni designer brand lazima kiwekwe kwenye page za fashion ambazo ndizo ninazozifuatilia, umeelewa sasa?
Usiwe unakurupuka wakati mwingine.