Mo Dewji na plagiarism kutoka NY Times

Mo Dewji na plagiarism kutoka NY Times

It would have been easy for Mo to give it ti us as a translated version of the orginal article. As a repreentative of the people being accused of plagiarism is quite nasty - surely, Mo owes all readers and the original author an apology.

OK, OK people.

Hata mimi sipendi plagiarism. Huyo anayeitwa Mo kashakuja na kuomba radhi. Kama waungwana wenye class, elegance na grace (at least I aspire towards those qualities) tunatakiwa kusamehe na ikibidi kusahau na kuchangia content, si swala la plagiarism.

Hata makamu wa rais wa Marekani bwana Joe Biden aliwahi ku plagiarize speech ya kiongozi wa chama cha siasa UK cha Labor Neil Kinnock, lakini alikubali kosa kiungwana na amesamehewa, akapata nafasi ya kugombea urais, akateuliwa na Obama kugombea naye kama makamu wa rais na sasa ni makamu wa rais, anaheshimika vizuri tu kwa michango yake mingine.

Si afadhali hata ya huyo Mo anayejisumbua kusoma NYT na kuengage na wapiga kura hapa, kuna wabunge hata kujieleza tabu na kushika kicharazo ni ngoma.

Mbunge Mo ameonyesha humility na kujifunza kwa kukiri udhaifu, si busara ku rub in hili suala la plagiarism.

Inakuwa kama tunakuwa na schadenfreude.
 
umenishangaza kwani kosa anaangaliwa wa mwisho na wa kwanza au kwa sababu ni MO...🙁

Hivi zile Thanks mlizommiminia ni kwa ajili ya vitu alivyomwaga au kwa vile alikuwa MO? Kaangalie kama Fundi Mchundo yumo. Siukona kipya alichozungumza bila hata kusoma NYT.

Plagiarism ni mbaya lakini ukweli ni kuwa hapa sio academia. Kaelezwa, kaabika na kajifunza kwamba watu wanasoma kinachoandikwa kwa makini. Fundisho tosha. mnataka nini zaidi?

Amandla......
 
Wanajamii Forums......mimi ni binadamu hivyo kama wengine nilisahau kuwrite citations pale chini lakini ofcourse the article from NY Times made me write the article in Swahili my intentions were not bad......nilikuwa najaribu ku highlight tatizo la umeme sasa kama nimewakosea wengine kwa kuchukua info ya article hiyo basi my sincere apologies to them na kosa halitarudiwa sawa wadau........I would try to cite in future articles....lakini kikubwa ni mada na Tatizo nililokuwa nazungumzia

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika

Ninarudia kwa wale waliokuwa offended na my articles please i offer my sincere apologies kwa sababu sikucite hiyo references....but my intentions were to highlight the problem throughout Africa and propose the solution....

Mo

Few people got courage to come and do such a thing..

Appologie accepted.
 
Few people got courage to come and do such a thing..

Appologie accepted.

what if asingebainika? he knew from the start what he was doing. Na alitaka aondoko na accolades as if it was his thinking. Sorry dont justify his pardon, he needs to say he was cheap and halfwit. Only to be outwitted at the end what a luuuuuuuza.
 
mmmh MO, mbona aibu, ndo maana hakurudi tena kutetea hoja zake, aah aibu ,aibu, amejivua nguo, JF haipendi vilaza wakugandamizia kama hawa. shame on you
 
Mkuu mbona utaumiza kichwa chako bure kama issue ni plagiarism, duh! mbona utawapata wengi Tanzania hii?

Kuna mtu yeyote umeshawahi kusikia ameenda jela nchi hii au kapigwa faini kwa sababu ya plagiarism??

I dont support the practise, I surmise you should address as a big problem not pointing MO. kwa sababu tumekua na kulelewa katika hali hiyo kila kitu copying siyo articles tu many things.....

Unaweza kushangaa kabisa watu hawajui plagiarism ni nini mkuu!

I lost 10 marks because of plagiarism in my Msc.degree abroad, kabla ya hapo wakati nasoma degree yangu UDSM sikuwahi kusikia kuwa hili ni tatizo, unakula desa from internet una copy 'onto' na professors wanakupa banda zuri! kabisa.

Start with academician, journalist..... ni janga la kitaifa

It is right time to discuss though


Waberoya...hapo UDSM ulisoma kozi gani?Napata shida kuamini kuwa ulimaliza UDSM bila kujua plagiarism na ni-proffessors gani walikuwa wanakupa banda kwa ku-copy na ku-paste kazi za watu wengine.Ebu nisaidie ndugu yangu.Mimi pia nilipita UDSM for my undergraduate...despite the fact that ni kama kawaida kwa watu ku-copy na ku-paste articles toka mtandaoni na sources zingine pale UDSM lakini walimu wamejitahidi sana kuhakikisha unatoa source ya kitu unacho-present....sasa wewe ulisoma nini pale UDSM?
 
OK, OK people.

Hata mimi sipendi plagiarism. Huyo anayeitwa Mo kashakuja na kuomba radhi. Kama waungwana wenye class, elegance na grace (at least I aspire towards those qualities) tunatakiwa kusamehe na ikibidi kusahau na kuchangia content, si swala la plagiarism.

Hata makamu wa rais wa Marekani bwana Joe Biden aliwahi ku plagiarize speech ya kiongozi wa chama cha siasa UK cha Labor Neil Kinnock, lakini alikubali kosa kiungwana na amesamehewa, akapata nafasi ya kugombea urais, akateuliwa na Obama kugombea naye kama makamu wa rais na sasa ni makamu wa rais, anaheshimika vizuri tu kwa michango yake mingine.

Si afadhali hata ya huyo Mo anayejisumbua kusoma NYT na kuengage na wapiga kura hapa, kuna wabunge hata kujieleza tabu na kushika kicharazo ni ngoma.

Mbunge Mo ameonyesha humility na kujifunza kwa kukiri udhaifu, si busara ku rub in hili suala la plagiarism.

Inakuwa kama tunakuwa na schadenfreude.
Eeeh..na hii nayo english? au ni neno kama entropy
 
Habari ndio hiyo.Watanzania copy and paste ndo kawaida yetu,unashangaa nini.Kazi kweli kweli. Sifa za Kijinga kutaka kudandia vya watu.
 
Eeeh..na hii nayo english? au ni neno kama entropy

It is a popular English word with Germanic origins (like maybe a quarter of English) that is flying around in the frequency of usage among the collective zeitgeist of "The New Yorker" caliber readers. Which tells you a lot about their collective conscious and it's health. If only to avoid it.

Nothing wrong with flossing if it challenge people to elevate their game and avoid the zeitgeist of schadenfreude .

Where my "English Majors" at?
 
Waberoya...hapo UDSM ulisoma kozi gani?Napata shida kuamini kuwa ulimaliza UDSM bila kujua plagiarism na ni-proffessors gani walikuwa wanakupa banda kwa ku-copy na ku-paste kazi za watu wengine.Ebu nisaidie ndugu yangu.Mimi pia nilipita UDSM for my undergraduate...despite the fact that ni kama kawaida kwa watu ku-copy na ku-paste articles toka mtandaoni na sources zingine pale UDSM lakini walimu wamejitahidi sana kuhakikisha unatoa source ya kitu unacho-present....sasa wewe ulisoma nini pale UDSM?


Unajua moja ya matatizo yetu ni kutotaka kukubali udhaifu wetu, mkuu ninayeongea na wewe ni mwalimu oia hapo chuo, kuna story nyingi za aibu,kias ambacho hutaweza kuamini.

Yes, in this thread we have shown a sense of responsibility, na kama tungekuwa wakali katika kila kitu kama hivi basi tusingekuwa hapa.

Hoja yangu ni kuwa ishu za kukopi haziishii tu kwenye vitabu/articles.tuna copy many things start with technology, music, comedy etc

Ni tabia na utamaduni ambao watu tumekua nao nyuma ya pazia kuwa hatuna copyright.

kwa mfano (kwenye copier machine) hapa canada kuna limit, na kuna alert zimewekwa kuhus kutoa copy vitabu.How about UDSM?

Umepita mwaka gani pale ndugu? do not put yourself in this class and rank.Tatizo ni kubwa sana kuliko maelezo.Hao professors waliojitahidi sana ni akina nani mkuu? are you sure what are you just saying here? tusingekuwa hapa..

Lets not nail MO, this problem is so abvious in our society, kujifanya hatumo humu haitusaidiii.
 
Lets not nail MO, this problem is so abvious in our society, kujifanya hatumo humu haitusaidiii.

Webs

Wakati mwingine huwa sikuelewi....hapa unatetea ujinga! Kama kosa hilo lipo basi Mo apate free ride?
 
Lets not nail MO, this problem is so abvious in our society, kujifanya hatumo humu haitusaidiii.

I wouldn't say let's not nail Mo because we have such a big issue, if we have such a big problem then we should be especially concerned and especially tough.

Two wrongs do not make a right.

I would say let's not nail MO anymore because he has acknowledged wrongdoing and apologized. Beating over a dead horse accomplishes nothing. Kama mtu ana concerns na plagiarism, atafute plagiarists wengine na kuwa expose hapa.

Sio tunarukia bandwagon tu, mtu kashakubali makosa na ku apologize, turudi kwenye issue iliyokuwa raised na si jinsi ilivyokuwa raised.
 
Hon. MO sorry, I'm not convinced by your reasons/arguments, apology received though. Sing it along... Plagiarism is a CRIME oh...

Do you have any record of any one being punished because of Plagiarism in Tanzania? Anyway, just give me idea how long that MO should be jailed?

My take is that; I real don't support this practise; however, it is high time to discuss this problem entirely. If honourable did this, what about those students who have excelled by stealing exams? What about our young brothers and sisters who have been trained to pass exams through tuitions and past papers. What about our system of education which does not allow creativity to students. I thought it is high time to discuss this issue. We are nailing MO, because other people know it is crime. The question what is the percentage of people know that this is crime, how many do practise everyday not only in copying articles, but also technology, music, comedy, movies etc

What solution that we are offered here as great thinkers? I believe we should go beyond this 'MO-issue'. Have you ever imagine, many contracts and documents that your government using is almost copy and paste from other countries especially Britain

The question is if you Zawadi you are not satisfied with those reasons, then what...you see! What are you gonna do, we are running from the truth here. We all want to be in this class! It is possible but how many are you?

Niliwatania wanafunzi wangu, kuwa hivi if you are not competent, kila siku ukiwa na tabia ya copy and paste madhara yake ni nini? inakuwa tabia, tusijidanganye jamani katika hili kuwa wakweli ni nguzo ya kutupeleka kwenye mwanga, tukijifanya wote tunaishi 'Tanzania ya abroad'OK, lakini kama tunaishi Tanzania ya kariakoo! this is big problem in our country.. lets discuss how to solve this.
 
Webs

Wakati mwingine huwa sikuelewi....hapa unatetea ujinga! Kama kosa hilo lipo basi Mo apate free ride?

sijamtetea na wala sitatetea, MASANILO, kama sisi ni watu wa kutatua matatizo, tangu naanza kusoma post mpaka hapa sijaona mtu kama analiadress kuwa ni tatizo la jamii yetu. Kila mtu anarusha kombora kwa MO, ni sawa, lakini masanilo kama mbunge kafanya hivyo, huko kwingine kuna usalama?

Nimeandika post hapo juu kuwa, tuna vijana wa leo wanashinda tuisheni, wanaiba mitihani na kufundishwa kufaulu mitihani, wa watacopy na kupaste mara ngapi na kutoa hizo citation.

I thought ni swala la kujiuliza ni MO peke yake? kama ni MO peke yake.naishia hapa.Lakini linaonekana ni tatizo la jamii, anzia kwa wandishi wa habari, muziki,comedy, movies zote zina vidalili vya kukopi kopy.Huyu ni kioo cha jamii.

wewe, mimi na wengine humu tunajua ni makosa, ni kwa kiasi gani tuko aware na hili katika maisha ya kila siku? muanzisha threa alivyotoa hili nilijua tunaenda beyond kutatua tatizo, kujua chanzo ni nini?

Masanilo,kama watu wako shallow,watacopy na kupaste mara ngapi na kutoa citation?

Hivi leo kwa mfano, piga picha ya hali ya Tanzania na watu wanajazana mahakama ya kisutu kusikiliza hukumu ya Masanilo amecopy onto na hajaweka citation!!! do you realize how this will amaze lots of people in our country? wengi hawajui jamani. Tulieleze kama ni tatizo la taifa na wizara au idara husika ziamke kuwafundisha watu..

I am in Canada this is crime and everyone is aware, pengine huko nchi nyingine, na wengine wanaosema na kujua haya ni wengi walioenda ama nje au kukutana na mwalimu ambaye yuko aware.lakini kwa standard za Tanzania my lovely country where kila kitu tambarare THEY ARE LIVING AS IF THIS IS NOT CRIME, kubali kataa!

Sitaki niishi nikijua siyo tatizo la jamii yetu, hapa nashindwa kujizuia, sitaki kujidanganya

That what I meant,
 
Concept nzima ya "intellectual property" ni ngumu kueleweka Tanzania, kwa sababu inaonekana kutokuwa tangible.

Misingi yetu ya ujamaa pia, ambayo inafanya hata vitu vilivyo tangible vionekane vyetu vyetu -public ownership still trumps private ownership in the collective Tanzanian psyche, for lack of a better expresion-.

Kwa hiyo hawa watu ambao wana hii nature ya kutokuwa na ownership ya tangible goods, ukiwaambia kuwa intellectual property in aownership, na ownership hii inatakiwa kuheshimiwa, inakuwa ni vigumu sana.

Mara nyingine hata wanaojua haya huyatupa katika subconscious na kuendelea ku commit intellectual dishonesty.

And I am not merely talking about some arachnids in the food chain and UDSM sea urchins who have never heard of Hume, let alone Kafka and barely know their left hand from right, Nyerere, bingwa wa gab Tanzania, anahutubia watu na kutoa maneno ya watu bila accreditation.

Tunampigia makofi, ndiye yardstick yetu ya excellence.

"Uwezo tunao, nia tunayo, sababu tunayo"
Kwenye war declaration speech Diamond Jubilee Hall.

Kuna mtu ana muda wa kusema hizi zilikuwa lyrics za bendi moja ya Uingereza iliyokuwa inampa support Churchill kwenda kupigana vita World War II?

Msiopenda plagiarism achaneni na Mo ambaye kashaomba msamaha, mfuatilieni Nyerere aliyefanya mambo haya kabla ya Mo kujulikana ni nani.

Hamna!

As long as mtu haumii directly kwetu bongo tu8naona "haiko mkinga"
 
Concept nzima ya "intellectual property" ni ngumu kueleweka Tanzania, kwa sababu inaonekana kutokuwa tangible.

Misingi yetu ya ujamaa pia, ambayo inafanya hata vitu vilivyo tangible vionekane vyetu vyetu -public ownership still trumps private ownership in the collective Tanzanian psyche, for lack of a better expresion-.

Kwa hiyo hawa watu ambao wana hii nature ya kutokuwa na ownership ya tangible goods, ukiwaambia kuwa intellectual property in aownership, na ownership hii inatakiwa kuheshimiwa, inakuwa ni vigumu sana.

Mara nyingine hata wanaojua haya huyatupa katika subconscious na kuendelea ku commit intellectual dishonesty.

And I am not merely talking about some arachnids in the food chain and UDSM sea urchins who have never heard of Hume, let alone Kafka and barely know their left hand from right, Nyerere, bingwa wa gab Tanzania, anahutubia watu na kutoa maneno ya watu bila accreditation.

Tunampigia makofi, ndiye yardstick yetu ya excellence.

"Uwezo tunao, nia tunayo, sababu tunayo"
Kwenye war declaration speech Diamond Jubilee Hall.

Kuna mtu ana muda wa kusema hizi zilikuwa lyrics za bendi moja ya Uingereza iliyokuwa inampa support Churchill kwenda kupigana vita World War II?

Msiopenda plagiarism achaneni na Mo ambaye kashaomba msamaha, mfuatilieni Nyerere aliyefanya mambo haya kabla ya Mo kujulikana ni nani.

Hamna!

As long as mtu haumii directly kwetu bongo tu8naona "haiko mkinga"

You see! that what I was talking about, back to our history, the way we were raised, culture, political system..these are prerequisites to practise plagiarism and dishonouring intellectual property.

Just I magine, I am not sleeping day and night for one year,nagundua kitu and someone whith his 'ujamaa' beliefs that this is 'cha wote' anakuja na kuchukua. as results wataalamu wengine wasomi russia walikufa maskini wakati wenzao USA wanakufa matajiri! Nenda library ya engineering UDSM ina mavitabu ya russia mengi kama msaada, angalia ni wataalamu wetu wangapi walioandika vitabu 'almost negligible' why should I crack my head when everything is coming from abroad!

Tumekulia kuona ya kuwa kwa sababu una uwezo wa kuomba chumvi kwa jirani basi you can use everything.I once went unguja kuna kijiji kimoja,Baiskeli unaacha nje, na yeyote anaweza kuitumia ili mradi airudishe tu.Itamzuia nini huyu mtu kukopy material from the very same person under the same umbrella 'jirani, ndugu, rafiki'

Athari za zidumu fikra za mwenyekiti 'that era, those days of yore' athari zake ni kubwa mno na zinaathiri kila nyanja hivi sasa.
 
Jamani issue hapa ni kubwa kuliko wengi wetu tunavyodhani. Angekuwa Mag3 ka plagiarize halafu kaomba msamaha, pengine msamaha wa haraka ungemake sense. Huyu Mh. Mo ni mbunge na aligombea ubunge ili awe na nafasi nzuri ya kuungana na wananchi waliomchagua kulisukuma gurudumu la maendeleo na kuwakilisha bungeni matatizo yanayokwamisha kwa namna moja au nyingine jitihada hizo. Ndio maana katika kuchangia mada yake nilimwuliza kwa nini aligombea ubunge na toka amechaguliwa ni juhudi zipi amefanya kulifikisha swala la matatizo ya umeme bungeni. Nikamwuliza tena kwa nini aligombea ubunge kwa sera za CCM ambazo zimeshindwa kutatua matatizo ya umeme na badala yake tunaishia kukimbizana na matapeli na mitambo yao.

Mh. Mo, Mbunge wa CCM wa Singida badala yake ametaka kutafuta umaarufu na kujijenga kisiasa kwa kupitia mgongo wa mtandao wa JF. Bahati mbaya ni kuwa gea aliyoingia nayo pia ikawa ile ile inayoitafuna CCM na serikali yake ya kujivika sifa za kilaghai zisizo na mshiko. Kwanza, Mh. Mo ni moja wa wabunge ambao wako mstari wa mbele kuunga mkono miswada yote ya serikali hata kama haina maslahi kwa wananchi. Pili, Mh. Mo kila mara ameungana na wenzake kupinga mapendekezo yoyote yale yenye faida kwa wananchi mradi tu yametoka upinzani. Tatu, kwa hili tendo lake ameonyesha tabia iliyokithiri katika uongozi wa nchi ya kudharau mwiba, sasa tende lamwuumbua.

Karibu tena Mh. Mo ila tread carefully, hii ni JF - mtu hakopeshwi hapa.
 
Jamani issue hapa ni kubwa kuliko wengi wetu tunavyodhani. Angekuwa Mag3 ka plagiarize halafu kaomba msamaha, pengine msamaha wa haraka ungemake sense. Huyu Mh. Mo ni mbunge na aligombea ubunge ili awe na nafasi nzuri ya kuungana na wananchi waliomchagua kulisukuma gurudumu la maendeleo na kuwakilisha bungeni matatizo yanayokwamisha kwa namna moja au nyingine jitihada hizo. Ndio maana katika kuchangia mada yake nilimwuliza kwa nini aligombea ubunge na toka amechaguliwa ni juhudi zipi amefanya kulifikisha swala la matatizo ya umeme bungeni. Nikamwuliza tena kwa nini aligombea ubunge kwa sera za CCM ambazo zimeshindwa kutatua matatizo ya umeme na badala yake tunaishia kukimbizana na matapeli na mitambo yao.

Mh. Mo, Mbunge wa CCM wa Singida badala yake ametaka kutafuta umaarufu na kujijenga kisiasa kwa kupitia mgongo wa mtandao wa JF. Bahati mbaya ni kuwa gea aliyoingia nayo pia ikawa ile ile inayoitafuna CCM na serikali yake ya kujivika sifa za kilaghai zisizo na mshiko. Kwanza, Mh. Mo ni moja wa wabunge ambao wako mstari wa mbele kuunga mkono miswada yote ya serikali hata kama haina maslahi kwa wananchi. Pili, Mh. Mo kila mara ameungana na wenzake kupinga mapendekezo yoyote yale yenye faida kwa wananchi mradi tu yametoka upinzani. Tatu, kwa hili tendo lake ameonyesha tabia iliyokithiri katika uongozi wa nchi ya kudharau mwiba, sasa tende lamwuumbua.

Karibu tena Mh. Mo ila tread carefully, hii ni JF - mtu hakopeshwi hapa.

Nimeeleza hapo juu jinsi watu wa society ambayo iko more literate na industrialized kuliko sisis walivyomsamehe Joe Biden kutoka a similar situation, na mpaka kumpigia kura amekuwa VP.

Ukikataa kumsamehe mtu aliyekuja openly , quickly na uneiquivocally kuomba msamaha wewe ndiye utakuwa na tatizo.

Zaidi ya hapo, waachie wananchi wa Singida waamue kama hii issue ni muhimu ama la katika ballot box uchaguzi unaokuja. I bet most hawataelewa unaongea nini.
 
yawn17.jpg

Yaaaaaaawn! People are writing essays...the guy has stood up like a man and apologised. Guys move on!
 
Back
Top Bottom