Mo Dewji nakuheshimu, ila unakoelekea sasa utaharibu na utaanza hata Kutukera na Sisi tunaokubali 'Kutukanwa' kwa ajili ya Kukutetea Mitandaoni

Umewasilisha mawazo yetu wengi, nilikua namtetea sana ila jana kaonyesha ujinga wake na ukweli wa yale maneno ya Haji. Inabidi abadilike au atuachie timu yetu.
 
Maoni yangu,

Simba imeshabadili mfumo wa kiuwendashaji,ni wazi hata akitoka Mo sasa hiv itapata tajiri wa kuwekeza haraka sana..

Ila tatizo litakuja pale atakapodai hzi fedha alizotumia mpk sasa ambazo ni 21B ndio zitakua kikwazo kwa mwekezaji mpya,maana lazma afikirie jins ya malipo ya hilo deni..Hapa ndio Mo anaporingia na alipowashikia wana simba sasa hiv.

Angalizo; kwa tabia za kihindi kama za huyu bwana si ajabu hataki wanasimba hasa viongozi au wachezaji wawe na mawasiliano na Manara na wasipokua makini wajiangalie pia uwenda mawasiliano yao yamehakiwa pia kwa baadhi yao..

Kila anapokaa anahisi anahujumiwa tu sasa,na mtu anaemuamin ni babra tu ko makelele yetu wala hayatasaidia chochote.
 
Ndugu Gentamycine tulikuonya sana na ukajawa na matumaini hewa.Huu ni mwanzo tu next utaandika kitabu kabsa huku ukiwa unabubujikwa na machozi.Manara anajaribu kuwafumbua macho muone mbele kuna nini lakin hela za mhindi zinawaziba hahahaa.
 
[emoji106][emoji106][emoji106]
 
mo anainyonya simba ila watu hawajajua tu, jezi kazijaza makoro koro yake alafu daily eti anasema hapati faida, alafu kwa alichofanya jana kajidhalilisha sana maana anatufanya tufikiri wachezaji wa simba ni wafanyakazi wake na si wafanya kazi wa simba, pia chama kwa kua aliomba samahani hakupaswa kuendeleza ujinga wake maana alionesha dhahiri anadharau ya kiwango cha juu.
 
Kanilazimisha taratibu sasa nianze Kumuamini Haji Manara japo nae ( Haji ) ana Mapungufu yake.
 
Hii tabia ndiyo ilimfanya Nkwabi akajiondoa kupost mafumbo Twitter na ajue kwenye hizi timu akiendeleza tabia zake kuna siku atanaswa vibao mpira unashabikiwa mpaka na watu wa kila aina na mnapokuwa pamoja wote hujiona wako sawa.
 
hawezi kudai kitu, unadhani matangazo ya bidhaa zake kwenye jezi ndani ya miaka 4 ni sawa na sh ngapi? je, kungelikua na mkataba alipaswa kutupa bei gani? alichotuweza mudi ni kuwaweka karibu watu wenye nguvu simba ili atimize malengo yake ya kujinufaisha kupitia brand ya simba.

mimi kila nikitafuta sababu ya mo kuitumia brand ya simba kutangaza bidhaa zake bila mkataba ukweli siipati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…