Mo Dewji nakuheshimu, ila unakoelekea sasa utaharibu na utaanza hata Kutukera na Sisi tunaokubali 'Kutukanwa' kwa ajili ya Kukutetea Mitandaoni

Mo Dewji nakuheshimu, ila unakoelekea sasa utaharibu na utaanza hata Kutukera na Sisi tunaokubali 'Kutukanwa' kwa ajili ya Kukutetea Mitandaoni

Mo Dewji leo utanisamehe sana Mimi GENTAMYCINE ambaye nina tabia ya kutopenda Unafiki, Kumnyenyekea Mtu, Kujipendekeza kwa Mtu au hata Kumuogopa Mtu hata kama ni Msomi sana su Tajiri mno na hata Wazazi wangu, Ndugu na Marafiki zangu wanalijua hili kwani ndivyo nilivyoumbwa na sitobadilka hadi Umauti wangu.

Mo Dewji Wewe ni Mwekezaji wa Klabu yetu ya Simba ila hujapewa Mamlaka ya Kumiliki ( Kuzimiliki ) Akili zetu ambao kuna wengine tunajua tuna Uwezo mkubwa wa Akili Kukuzidi ila labda ulichotuzidi ni Pesa, Mali ( Utajiri ) na bahati tu.

Mo Dewji ni Mimi huyu huyu GENTAMYCINE nilianzisha Uzi hapa JamiiForums kukutaka usijiingize kabisa katika Mtego wa Kujibizana na aliyekuwa Msemaji wetu Haji Manara na badala yake utuachie Sisi Mashabiki tutapambana nae kwani tunamjua na tunammudu.

Mo Dewji kwani Mchezaji Clatous Chota Chama akimpongeza 'Adui' yako wa sasa Haji Manara Wewe unapungukiwa na nini? Kwanini unapenda sana kutaka 'Kunyenyekewa' na wana Simba SC wote kana kwamba Wewe ni Mungu Mtu?

Mo Dewji hivi Matajiri wakubwa Wenzako kama akina Aliko Dangote, Patrice Motsepe, Moise Katumbwe Chapwe, Said Salim Bakhressa, Roman Ibrahimovic, Carlos Slim, Bill Gates na Roca Fella nao wana ' Utoto' huu kama wako?

Sasa leo hii Wewe Tajiri Mo Dewji ukianza kuwa na Uswahili wa Kujibizana na Haji Manara au wale 'wanaompenda' je, Sisi Mbayuwayu ( Masikini ) kama akina GENTAMYCINE tufanyeje? Nisikufiche Mo Dewji unaboa na umeniboa mno tu.

Mo Dewji hukupewa Dhamana ya Kuwekeza Simba SC ili utunyanyase, tukuogope, utupande Vichwani, utufanye utakavyo na tukuone Mungu Mtu sawa? Na usidhani ikitokea 'ukasusa' Simba SC na Kuondoka basi tutaabika mno kwani kwa 'Brand' ya Simba SC ya sasa hata ukijitoa leo wapo Matajiri wengine wakubwa tu Mwenyezi Mungu atatuletea na Simba SC yetu itaendelea vyema tu.

Mo Dewji Mwenyezi Mungu hakukupa huo Utajiri wako ili unyanyasie Watu, tukutukuze au tukulambe Miguu bali umepewa Utajiri huo mkubwa ili ushirikiane na Sisi Masikini ( Mbayuwayu ) akina GENTAMYCINE wenye Akili Kubwa kukuzidi ili kwa pamoja tushirikiane na tuipatie Mafanikio ya Uwanjani na nje ya Uwanja Simba SC yetu sawa?

Mo Dewji aliyekuwa Msemaji wa Simba SC Haji Manara alipokusema ( alipokunanga ) Wiki hii wengi ( GENTAMYCINE nikiwemo ) tulikataa Kumuamini ila kupitia huu Upuuzi wako kwa Mchezaji Clatous Chota Chama nami sasa niseme tu kuwa kwa 65% naanza Kuyaamini baadhi ya Madai ya Haji Manara juu yako.

Mo Dewji hivi hujifunzi tu hata kwa Msanii Nasib Abdul ( Diamond Platinumz ) ambaye kutwa ananangwa ( anasemwa ) vibaya tena hadi 'Kudhalilishwa' na akina Mwinjaku lakini Kijana wa Watu ( Diamond ) hajathubutu hata Kujibizana nae Mitandaoni na katika Vyombo vya Habari. Ina maana hata Diamond Platinumz anakushinda Uvumilivu na Uungwana dhidi ya Maadui ( Enemies ) na Watesi ( Critics ) wako?

Mo Dewji nakuheshimu mno ila kwa hili ulilolifanya nisamehe sana ila niseme tu umekosea zaidi na sidhani kama Tajiri wa Mfano wako anatakiwa kuwa na 'Vijitabia' vya Utoto Utoto, Ukike Kike na Uswahili pamoja na Ushambenga kama unavyoanza kutuonyesha.

Bado hujachelewa Kubadilika na bado GENTAMYCINE sijakata Tamaa juu yako na Kukuheshimu ila nakuomba tu Jitathmini na fanyia Kazi haya niliyokusema na Kukushangaa nayo hapa. Ni kweli wana Simba SC tunakupenda na Kukuhitaji kwa Mafanikio makubwa yaliyotokana na Uwekezaji wako mkubwa ila hatutaki utunyanyase, utupelekeshe utakavyo na utufanye tukuone Wewe ni Mungu wakati Mimi najua Mungu ni Mmoja tena Yule wa Ibrahim, Isaka na Yakobo kwa Sisi Wakristo.

ID yangu hii Dawa ya GENTAMYCINE ( ANTIBIOTIC ) inayotibu Matatizo Sugu ya Mwilini hivyo naamini kwa haya niliyokuambia hapa yatakuponya nawe pia na utabadilika na uanze kuishi Kiustaarabu kama Matajiri wakubwa Wenzako duniani.

Hakuna aliye juu ya 'Klabu' hii ya Simba.
Bakhresa amemwaga mipunga kufadhili vpl lakini ulishakaa ukamuona kwenye press akilizungumzia hilo?

Pesa huwaga zinaingea siku zote hata kama ukizifukia chini....

Huyo tajiri wenu mswahili kishenzi
 
Hata mimi nimeamini tuhuma za Manara kwa kitendo cha jana, Mo licha ya kusoma nje Bado ana vitabia vya ajabu ajabu. Bora apige kimya maana anajizalilisha sio yeye na timu yetu ya Simba
Naona mmepiga u turn fasta.

Mtu anayelipa wafanyakazi wake 3000 per day unategemea jipya gani kutoka kwake.

Me nakuambia time will tell.
 
Hili suala nadhani serikali itusaidie! Kama Moo anaidai simba sc, je yeye anadaiwa kiasi gani kwa matangazo yake anayoweka kwenye jezi ya simba sc. Itafika wakati atatusumbua halafu ajifanye anaidai simba pesa nyingi ili wawekezaji wengine washindwe kuchukua hisa
 
kuna baadhi ya matangazo aliingiza kwa mkataba..nimesahau ni ipi kat ya zile tatu ktk jezi ila mojawapo ilisainiwa kwa mkataba wa 250 million kwa mwaka mmoja na Fatma Dewji,ni mwaka jana nadhani..

Lkn pia anaweza kudai pesa zake kwani hatujui makubaliano na wanabodi alizitoa ikiwa anajua zitarudi vipi..may be kuna viongozi alikua anawasainisha..

Kwani Sued Mkwabi alijiondoa kwa sababu zipi?
hawezi kudai kitu, unadhani matangazo ya bidhaa zake kwenye jezi ndani ya miaka 4 ni sawa na sh ngapi? je, kungelikua na mkataba alipaswa kutupa bei gani? alichotuweza mudi ni kuwaweka karibu watu wenye nguvu simba ili atimize malengo yake ya kujinufaisha kupitia brand ya simba.

mimi kila nikitafuta sababu ya mo kuitumia brand ya simba kutangaza bidhaa zake bila mkataba ukweli siipati.
 
Naona mmepiga u turn fasta.

Mtu anayelipa wafanyakazi wake 3000 per day unategemea jipya gani kutoka kwake.

Me nakuambia time will tell.
Sasa ulitaka alipe milion si analipa kulingangana na biashara ilivo sokoni, hata ingekuwa wewe unaangalia faida yako kwanza na sio wengine
 
Tajiri mafi huyu

Dr Edward ngoyai lowasa
alitukanwa nchi zima na wanaccm na upinzani kwapamoja alikaa kimya kabisa lakini ndomtu anapendwa na watanzania woooooote ccm na upinzani kwapampoja

Yeye MTU mmoja naye anaulemavu

Tulia Fanya mambo yako
 
Tumsamehe tu wakuu yatapita naye ni binadamu Ila katukosea sana sikuamini kama ni yeye..
 
Bodi imedhibiti
Mbona Elon Musk kadhibitiwa na bodi, kila anachotaka post lazima waverify
 
Mo Dewji leo utanisamehe sana Mimi GENTAMYCINE ambaye nina tabia ya kutopenda Unafiki, Kumnyenyekea Mtu, Kujipendekeza kwa Mtu au hata Kumuogopa Mtu hata kama ni Msomi sana su Tajiri mno na hata Wazazi wangu, Ndugu na Marafiki zangu wanalijua hili kwani ndivyo nilivyoumbwa na sitobadilka hadi Umauti wangu.

Mo Dewji Wewe ni Mwekezaji wa Klabu yetu ya Simba ila hujapewa Mamlaka ya Kumiliki ( Kuzimiliki ) Akili zetu ambao kuna wengine tunajua tuna Uwezo mkubwa wa Akili Kukuzidi ila labda ulichotuzidi ni Pesa, Mali ( Utajiri ) na bahati tu.

Mo Dewji ni Mimi huyu huyu GENTAMYCINE nilianzisha Uzi hapa JamiiForums kukutaka usijiingize kabisa katika Mtego wa Kujibizana na aliyekuwa Msemaji wetu Haji Manara na badala yake utuachie Sisi Mashabiki tutapambana nae kwani tunamjua na tunammudu.

Mo Dewji kwani Mchezaji Clatous Chota Chama akimpongeza 'Adui' yako wa sasa Haji Manara Wewe unapungukiwa na nini? Kwanini unapenda sana kutaka 'Kunyenyekewa' na wana Simba SC wote kana kwamba Wewe ni Mungu Mtu?

Mo Dewji hivi Matajiri wakubwa Wenzako kama akina Aliko Dangote, Patrice Motsepe, Moise Katumbwe Chapwe, Said Salim Bakhressa, Roman Ibrahimovic, Carlos Slim, Bill Gates na Roca Fella nao wana ' Utoto' huu kama wako?

Sasa leo hii Wewe Tajiri Mo Dewji ukianza kuwa na Uswahili wa Kujibizana na Haji Manara au wale 'wanaompenda' je, Sisi Mbayuwayu ( Masikini ) kama akina GENTAMYCINE tufanyeje? Nisikufiche Mo Dewji unaboa na umeniboa mno tu.

Mo Dewji hukupewa Dhamana ya Kuwekeza Simba SC ili utunyanyase, tukuogope, utupande Vichwani, utufanye utakavyo na tukuone Mungu Mtu sawa? Na usidhani ikitokea 'ukasusa' Simba SC na Kuondoka basi tutaabika mno kwani kwa 'Brand' ya Simba SC ya sasa hata ukijitoa leo wapo Matajiri wengine wakubwa tu Mwenyezi Mungu atatuletea na Simba SC yetu itaendelea vyema tu.

Mo Dewji Mwenyezi Mungu hakukupa huo Utajiri wako ili unyanyasie Watu, tukutukuze au tukulambe Miguu bali umepewa Utajiri huo mkubwa ili ushirikiane na Sisi Masikini ( Mbayuwayu ) akina GENTAMYCINE wenye Akili Kubwa kukuzidi ili kwa pamoja tushirikiane na tuipatie Mafanikio ya Uwanjani na nje ya Uwanja Simba SC yetu sawa?

Mo Dewji aliyekuwa Msemaji wa Simba SC Haji Manara alipokusema ( alipokunanga ) Wiki hii wengi ( GENTAMYCINE nikiwemo ) tulikataa Kumuamini ila kupitia huu Upuuzi wako kwa Mchezaji Clatous Chota Chama nami sasa niseme tu kuwa kwa 65% naanza Kuyaamini baadhi ya Madai ya Haji Manara juu yako.

Mo Dewji hivi hujifunzi tu hata kwa Msanii Nasib Abdul ( Diamond Platinumz ) ambaye kutwa ananangwa ( anasemwa ) vibaya tena hadi 'Kudhalilishwa' na akina Mwinjaku lakini Kijana wa Watu ( Diamond ) hajathubutu hata Kujibizana nae Mitandaoni na katika Vyombo vya Habari. Ina maana hata Diamond Platinumz anakushinda Uvumilivu na Uungwana dhidi ya Maadui ( Enemies ) na Watesi ( Critics ) wako?

Mo Dewji nakuheshimu mno ila kwa hili ulilolifanya nisamehe sana ila niseme tu umekosea zaidi na sidhani kama Tajiri wa Mfano wako anatakiwa kuwa na 'Vijitabia' vya Utoto Utoto, Ukike Kike na Uswahili pamoja na Ushambenga kama unavyoanza kutuonyesha.

Bado hujachelewa Kubadilika na bado GENTAMYCINE sijakata Tamaa juu yako na Kukuheshimu ila nakuomba tu Jitathmini na fanyia Kazi haya niliyokusema na Kukushangaa nayo hapa. Ni kweli wana Simba SC tunakupenda na Kukuhitaji kwa Mafanikio makubwa yaliyotokana na Uwekezaji wako mkubwa ila hatutaki utunyanyase, utupelekeshe utakavyo na utufanye tukuone Wewe ni Mungu wakati Mimi najua Mungu ni Mmoja tena Yule wa Ibrahim, Isaka na Yakobo kwa Sisi Wakristo.

ID yangu hii Dawa ya GENTAMYCINE ( ANTIBIOTIC ) inayotibu Matatizo Sugu ya Mwilini hivyo naamini kwa haya niliyokuambia hapa yatakuponya nawe pia na utabadilika na uanze kuishi Kiustaarabu kama Matajiri wakubwa Wenzako duniani.

Hakuna aliye juu ya 'Klabu' hii ya Simba.
Ni kweli mo kakosea, lakini haihalalishi upuuzi anaofanya haji!
Tujikite kwenye kukemea chanzo cha mgogoro na sio kuendeleza.
 
Ni kweli mo kakosea, lakini haihalalishi upuuzi anaofanya haji!
Tujikite kwenye kukemea chanzo cha mgogoro na sio kuendeleza.
Haji kakosea na mwovu na yeye Mo kupanic kumempa bichwa Manara na Mo kujibu kumemfanya aonekane yeye ndio ana makosa
 
Mo kapaniki, haimfanyi yeye kua chanzo cha mogogoro. Mgogoro kaanzisha haji kwa maslahi yake binafsi.
Haji kakosea na mwovu na yeye Mo kupanic kumempa bichwa Manara na Mo kujibu kumemfanya aonekane yeye ndio ana makosa
 
Back
Top Bottom