chibuga mugeta
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 1,176
- 1,054
n
nilikuwa naipenda sana simba ila kwa sasa naichukia sana japo siwezi kuhama,naposikia eti bonge la mchezaji kasjiliwa mara bonge la mshambuliaji haijawahi tokea,wananiudhi sana sijui kwa nini hawa viongozi wasife ukafanyika uongozi upya,i hate these leaders aiseeeeeehApewe tu simba inachukiza kwakweli kila siku tufungwe sie