Mo Dewji ni tapeli na bora imeonekana mapema

Mpumbavu kweli wewe. Nakuita mpumbavu kwasababu umemuita Mo kuwa Tapeli.

Kiufupi ni kwamba huna akili au unazo chache sana kwahiyo siwezi kukukosoa kwa lolote hapa! Kiufupi jua tu kwamba wewe ni mpumbavu, mjinga, na huna akili!
Punguza hasira Dada jenga hoja wapumbavu tuko wengi ila wewe unaweza kujiambukiza kutokana na hasira.
 
Leo ndio tutajua kama kweli timu fulani ina mashabiki mbumbumbu.

Mbumbumbu wao hawajibu hoja kwa hoja bali hoja kwa matusi.
Umeona ee maroporopo yamezoea kusemewa , marana njoo huku .
 
Ndo mnavyojidanganya ? Atajenga uwanja wa pesa zinazotokana na Simba. Hujiulizi mpaka leo hajaanza kujenga kwa nini?
Eti uwanja haujaanza kujengwa...unaota mkuu??nenda bunju ukajionee hutaamini utakachokiona...kwa taarifa tu bunju kunogilee green lishaanza kupendezesha pitch....hata kama anajenga kwa pesa zinazotokana na simba...waliokuwepo miaka yote hiyo mbona walishindwa???kama unafikiri ni rahisi nyinyi yanga mmeshindwa nini kujenga kwa pesa zinazotokana na tanga...si ni rahisi tu jengeni sasa.

Faida nyingine usiyoijua ya moo kuwepo simba ni kwamba wachezaji wetu hawashindii matikiti kama wale wachezaji wa kwasukwasu wala kugomea mazoezi kwa kushindwa kulipwa malimbikizo ya mshahara
 
tuliambiwa mwezi wa tano nyasi zitakua tayari na hostel na vyumba vya mikutano vitaanza kujengwa, nini kinaendelea bunju?
Unataka kujua kinachoendelea bunju...nenda ukajionee

Nyie ndo wale wapiga kelele ambao mlikuwa mnaitumia simba kama chanzo chenu cha mapato cha kuendeshea maisha ya familia zenu...sasa mirija yote ya ulaji imekatwa mnalialia.

Kiufupi tu mkuu fanya kazi,kama unadhani utaendelea kuilea familia yako kupitia simba sahau kabisa
 

hhehehehehehehehehehehheheheheheh hahahahahahahahaha tutahoji uraia wako au tutaleta defender na kuita vyombo vya habari tehtehtehtehteht
 
wawa, kagere, nyoni wana umri gani hivi unafahamu wale mapacha wa misri kinachoangaliwa ni uwezo mputu wa mazembe bado analipwa pesa ndefu yondani mpaka leo anasajiliwa kwa pesa kubwa Juuko ameachwa kachukuliwa wawa ambaye umri umeenda usitoe hoja kwa kukariri
 
Huna hoja dada, unaonekana hata ligi huzijui vizuri,kwaio ligi ya india unaichukulia poa?
 
Huyu Rais unayemsema anatofauti gani na Mwenyekiti, cheo ambacho kilikuwepo awali!? Je huyo Rais akishaajiriwa analipwa na nani!? Chanzo cha hiyo pesa ni nini!? Unafikiri get collection ina mchango kiasi gani katika kuendesha team!?
 
Unaonekana una chuki binafsi ndugu, afu utakuwa ndio umeanza ushabiki, afu unaonekana sio shabiki wa simba!! Rudi nyumbani afu ujipange namna ya kutengeneza hoja bila kujulikana identity yako
Hoja hupingwa kwa hoja
 
Kuandika porojo ka hizi unapata sh ngapi?
 
Hivi wewe unatumia akili au miyemko.
2013 hadi 2016 hivi Simba si mlikua na vijana na ndo mlikua nnawatumia vipi ni mafanikio yapi mliyapata?
 
Afu unaleta mfano wa Madrid ambazo zinatumia pesa nyingi kwa ajili ya usajili, hivi unatumia akili kweli?
 
Kwa miaka yote ambayo simba na yanga imekuwa chini ya wanachama kuna nini kimefanyika?
Kama Mo ni tapeli ni bora Mara 1000 awe tapeli kuliko viongozi waliopita kwakuwa kila kitu kilikuwa hovyo,sasa hivi husikii simba mambo ya mishahara, posho n.k ila nenda yanga (inayoongozwa na wanachama) uone hali ilivyo,nimemuona Dante anafuga mbwa ili auze kwasababu kadai mil 45 zake had Leo kimya,
Hakuna mafanikio yoyote yaliyopatikana kipindi cha uongozi anaouzungumzia mleta mada,bora huyu afadhali uwanja wa bunju sasa hivi unaweza hata kufanyia mazoezi kwasababu pitch tayari
Kama Mo akula pesa za simba achane ale lakini tunaona anafanya vitu kidogo sio nyie wapiga dili mliokuwa mnakula hela tuu lakini hakuna kitu,kakata mirija yote ya kupiga pesa ndio maan mnamchukia
Pumbavu kabisa wewe kilomoni jr
 
Mtoa uzi utakua umepaniki timu kutolewa CCL
 
Kwa hivyo kama hao uliowataja walikubali kulipwa kawaida ulitaka Okwi ang'ang'aniwe kwa lipi wakati alitaka dau kubwa?

Mbona Ronaldo aliondoka Real Madrid kisa alitaka mshahara mkubwa ambao Real waliona hawana uwezo wa kumlipa huo kwa umri wake?

Hata Lionel Messi hawezi zidishiwa pesa anayopewa sasa maana kiwango kinapungua hakiongezeki kwa hivyo Simba walikuwa sahihi.Simba imecheza mechi 8 hadi sasa haijapoteza mchezo wowote ule then watu mnakuja kulia ohh Okwi mara Kotei mara Juuko for what? Timu iko vizuri acha ipambane msikariri wachezaji , mafanikio hayategemei uwepo wa hao tuliowazoea kama tunadhani hivyo mbona hujajiuliza TRESOR MPUTU alipoondoka Mazembe kwenda Petro Atletico mbona hakuizuia Mazembe ya akina Sammatta kuchukua Klabu Bingwa Africa?


Timu iko poa tu sana , kutolewa klabu bingwa isikutoe kwenye fikra pevu , mbona Barcelona wakiwa na MSN walichukua UEFA mara moja ndani ya miaka minne hushangai?
 
pole sana kama umeyajua leo haya.
 
Okwi kaondoka wakati ana uwezo mkubwa tuliona mpira alioonyesha kwenye michuano ya Afrika mnasema anadai pesa kubwa hivi unajua hasara wanayopata Simba kwa kutolewa mapema timu zinawekeza ili zicheze michuano mikubwa zipate pesa ndio maana walisema bure ni gharama
 
Una rekodi yoyote ambayo iliwabeba Simba huko kwenye hayo mashindano kisa Okwi?

Hatukatai kuwa ni mchezaji mzuri ila timu nayo lazima itazame kesho yake , msijaribu kusingizia ati Okwi angekuwepo tungevuka raundi hiyo , hivi miaka mingapi Okwi amekuwepo na hatukufika hata makundi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…