Mo Dewji ni tapeli na bora imeonekana mapema

Tatizo lako una chukulia wachezaji wadogo kama chombo cha starehe tu uwa tumie badae wakiisha kubuludisha moyo wako ukiridhika muwa dhurumu mishahara yao ndo mana hamtaki wachezaji wanao jielewa kama wa kina okwi,kagere na nk MNA taka wachezaji wazawa wa TANZANIA ili mdhulumu msi walipe stahiki zao ipasavyo mana .kisha mfanye ufisadi kwenye club ikiingia fedha ya muwekezaji muipige mnavyo taka hamtaki mfumo sahihi ambao uta tenganisha hizi timu na siasa chafu ya nchi yetu .
 
Tayari zishaumana huko 😂 😂 😂 😂
 
Historia inatabia ya kujirudia.

Tulisema tusishoke sana. Tuzingatie ya Mbagala Market/African Lyon na Singida United.

Huwa anakuja na moto wa mabua. Baada ya muda mfupi, matokeo yanajulikana. Humo kwenye bodi eti hawaelewani. Janja janja imekuwa nyingi. Watu wanapiga hela za Mhindi. Waliokosa mgao wameanza kumtonya.
 
Usituletee pumba zako mzee simba imetumia mfumo wa Raisi kwa miaka mingapi? unataka kufananisha Real madrid na Simba? wachezaji wanatakiwa watambue kwamba wanatimiziwa mahitaji yao kwa wakati basi na wao watimize mahitaji ya mashabiki zao hatuwezi kuvumilia ujinga... mimi nasema pitisha fagio tu kwa baadhi ya wachezaji ili kurudisha nidhamu na ari kwa wachezaji wengine.. mo angeweka kipengele cha kuwakata mishahara wakiwekewa malengo na wakashindwa kuyafikia
 
We mat*ko hao vijana wa Senegal na Ghana utawalipa nini? hivi kati ya Mo na Simba nani anamtapeli mwenzake unawaza kweli wewe?
 
Acha upumbavu ww hizi idea zako zinakuja baada ya Mo kuchukua timu siku zote ulikuwa wapi? simba imeanza mwaka gani hadi inachukuliwa na Mo ilikuwa imepiga hatua gani hasa kulingana na umri wa timu
 
Ponjolo kajiuzuru, wapiga dili akina Hans Pope wanacheka huko
 
Siri imefichuka.
Kumbe Simba waliiomba TFF warudishe bima ya Kagere kabla ya mechi.
TFF wakagoma. Wameirudisha leo asubuhi. Ndiyo kisa cha Mo kujiuzuru na kubadili gia angani leo n
 
Karudi tena kabacholi

Mikia wamempigia magoti usiku kucha, alikuwa anapima upepo au kukwepesha kuzomewa.... ila kama billionaire kaonesha udhaifu mkubwa kususa na kutaja mishahara eti nimewalipa 4b bla bla shenzi kabisa.[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…