Mo Dewji: Nilinunua Bugatti Chiron na kukaa nalo miezi minne na kuliuza bila ata kuliendesha wala kuliwasha!

Mo Dewji: Nilinunua Bugatti Chiron na kukaa nalo miezi minne na kuliuza bila ata kuliendesha wala kuliwasha!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Nimekutana na interview moja YT, billionaire Mo akifanyiwa na YouTuber (@AhmadMaamoud Show) ambapo Mo amesema alinunua Bugatti Chiron (hajataja model year) kwa $ Mil 4 lakini alivyoenda kuicheki akaogopa speed akaiuza na anasema akapata faida ya € 500,000.
Bugatti_Chiron_1.jpg

Pesa aliyouza faida yake akanunua mashine za kuchimbia visima (rigs) zikarudi kuchimba visima Africa (hajasema nchi).

Hangera Billionaire kwa kumiliki Bugatti ata kwa miezi michache bila kuendesha.

Link Hii Hapa ni ya Sekunde chache (YouTube Shorts):


View: https://youtube.com/shorts/fngrBejAhVE?si=lNO3w2mEDHRj1K4s
 
MO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude MO Dewji ni maskini sana overall sbb ya tabia zake, mtu asiyeaminika sbb ya characters zake ni maskini kabisa, so last conclusion ni kuwa hajawahi nunua hiyo Bugatti, katupiga fix, mtu wa hovyo kabisa..!!
 
Comin' through shinin' (shinin')
Blew a couple of hundreds (couple of hundreds)
Big Tymin' all the time, niqqas been stuntin' (b!tch, I'm gettin' money)
Pearl white Maybach, nigga spent a mill
Bugatti for 2 on the hill (b!tch, I'm gettin' money)
 
MO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude ni maskini overall..!!
Hata mimi hua nashangaa sana..

Kwa tabia zake hizo angezaliwa kwenye ukoo wetu asingemiliki hata smart phone
 
MO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude ni maskini overall..!!
Kuliko kudanganywa na wewe Steve Mweusi ni bora kudanganywa na Mo.
 
Ina maana kipindi anaagiza hakufuatilia speed ya hilo gari?

Sifa ya bugatti ni speed...
Hata kama ina speed kubwa kwani lazima aendeshe top speed... Huyu jamaa nilikuwa namuheshimu ila naanza kuona ana ushamba flani na ujinga beside utajiri alionao..

Ningekubali angesema Bugatti ground clearence ni ndogo sana na inasumbua kwa roads za kibongo, kitu ambacho ni kweli...
 
MO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude MO Dewji ni maskini sana overall sbb ya tabia zake, mtu asiyeaminika sbb ya characters zake ni maskini kabisa, so last conclusion ni kuwa hajawahi nunua hiyo Bugatti, katupiga fix, mtu wa hovyo kabisa..!!
Mwanasiasa huyo 😂 uongo uongo ndiyo tabia yao
 
Ata hii ya Bugatti najua ni chai. Ununue Bugatti hafu uiuze kwa faids ya pesa ndefu ivo, mnunuaji si angeenda kununua new nae.
Mad max mtaalamu wa magari hilo linawezekana hayo magari mara nyingi wanatengeneza machache wakiuza hiyo model mtu anaetaka labda anunue kwenye auction kutoka kwa mtu alienunua...
Kwa wapenzi wa magari anaweza kununua kitu bila hata kukitumia na akauza au akabadili mawazo na kufanya kitu kingine..
 
MO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude MO Dewji ni maskini sana overall sbb ya tabia zake, mtu asiyeaminika sbb ya characters zake ni maskini kabisa, so last conclusion ni kuwa hajawahi nunua hiyo Bugatti, katupiga fix, mtu wa hovyo kabisa..!!
au chama kilimuasili Cha ccm kwa uwongo sio mchezo
 
Back
Top Bottom