Mo Dewji: Nilinunua Bugatti Chiron na kukaa nalo miezi minne na kuliuza bila ata kuliendesha wala kuliwasha!

Mo Dewji: Nilinunua Bugatti Chiron na kukaa nalo miezi minne na kuliuza bila ata kuliendesha wala kuliwasha!

MO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude MO Dewji ni maskini sana overall sbb ya tabia zake, mtu asiyeaminika sbb ya characters zake ni maskini kabisa, so last conclusion ni kuwa hajawahi nunua hiyo Bugatti, katupiga fix, mtu wa hovyo kabisa..!!
Ukweli mtupu.
 
MO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude MO Dewji ni maskini sana overall sbb ya tabia zake, mtu asiyeaminika sbb ya characters zake ni maskini kabisa, so last conclusion ni kuwa hajawahi nunua hiyo Bugatti, katupiga fix, mtu wa hovyo kabisa..!!
kwan kabla ya kununua hakujua ina speed ngapi?
 
Kuna inteview yake moja na Forbes ya juzi juzi tu ndiyo ilinifanya naamini hawa wazee wakiwa bongo wanaishi kisela sela tu, unamkuta ana Range Rover model ya kitambo lakini akiwa UAE au CapeTown anaishi uhalisia wake.
 
Back
Top Bottom