Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Janabi.Tatizo MO haaminiki! Ni kama TikTokers wengine tu Wakina Mwijaku!
Ukweli mtupu.MO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude MO Dewji ni maskini sana overall sbb ya tabia zake, mtu asiyeaminika sbb ya characters zake ni maskini kabisa, so last conclusion ni kuwa hajawahi nunua hiyo Bugatti, katupiga fix, mtu wa hovyo kabisa..!!
Glazerbhai kanjibai janja2 sana hiyo.Kanj mashauzi.
kwan kabla ya kununua hakujua ina speed ngapi?MO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude MO Dewji ni maskini sana overall sbb ya tabia zake, mtu asiyeaminika sbb ya characters zake ni maskini kabisa, so last conclusion ni kuwa hajawahi nunua hiyo Bugatti, katupiga fix, mtu wa hovyo kabisa..!!
Usimuamini sana.kwan kabla ya kununua hakujua ina speed ngapi?