Hata mimi hua nashangaa sana..MO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude ni maskini overall..!!
Kuliko kudanganywa na wewe Steve Mweusi ni bora kudanganywa na Mo.MO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude ni maskini overall..!!
Ata hii ya Bugatti najua ni chai. Ununue Bugatti hafu uiuze kwa faids ya pesa ndefu ivo, mnunuaji si angeenda kununua new nae.Jamaa muongo sana aliwahi tuongopea kuhusu ratiba yake toka anavyoamka asubuhi kila siku nilichoka kabisa
Mwanasiasa huyo π uongo uongo ndiyo tabia yaoMO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude MO Dewji ni maskini sana overall sbb ya tabia zake, mtu asiyeaminika sbb ya characters zake ni maskini kabisa, so last conclusion ni kuwa hajawahi nunua hiyo Bugatti, katupiga fix, mtu wa hovyo kabisa..!!
Mad max mtaalamu wa magari hilo linawezekana hayo magari mara nyingi wanatengeneza machache wakiuza hiyo model mtu anaetaka labda anunue kwenye auction kutoka kwa mtu alienunua...Ata hii ya Bugatti najua ni chai. Ununue Bugatti hafu uiuze kwa faids ya pesa ndefu ivo, mnunuaji si angeenda kununua new nae.
au chama kilimuasili Cha ccm kwa uwongo sio mchezoMO Dewji ni tajiri, ana uwezo wa kumiliki hilo gari, ila MO Dewji ni binadamu muongo kuliko waongo wote naowajua, mtu wa fix sana, usije muamini MO Dewji hata kidogo, ni zaidi ya muongo, anapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude MO Dewji ni maskini sana overall sbb ya tabia zake, mtu asiyeaminika sbb ya characters zake ni maskini kabisa, so last conclusion ni kuwa hajawahi nunua hiyo Bugatti, katupiga fix, mtu wa hovyo kabisa..!!
Huyu ndiye yule alisema ametekwa na watu kutoka Msumbijianapenda attention za kipuuzi sana, yaani ana tabia za kimaskini sana ingawa ni tajiri, so we can conclude MO Dewji ni maskini sana overall sbb ya tabia zake,