Mo dewji: Nimepoteza billion 41 ndani ya Simba

Mo dewji: Nimepoteza billion 41 ndani ya Simba

...Amepoteza B 51 kwa miaka 5. Amepoteza, kwa maana ni hasara. Na bado tu yupo. Mwaka wa kwanza amepoteza B 10.2, wa pili B 10.2, wa tatu halikadhalika, na mwaka wa nne, na watano na bado yupo ina maana yupo tayari kupoteza tena mwaka wa sita!!!

Hii ni janja janja, kweli wajinga ndio waliwao!!!
Kwamba yupo tayari kufilisika kisa Simba
 
Leo sina neno kuhusu mchakato wa mabadiliko ya umiliki wa Simba ila niseme tu katika kipindi hiki cha miaka 5, Simba rank yake Afrika imeruka juu sana.

Simba imezifunga sana timu kongwe Afrika hadi leo inaonekana ni jambo la kawaida, kuna msimu ilivuka hatua ya makundi kwa kuongoza kundi mbele ya vigogo akiwemo bingwa mtetezi, na msimu huu siku chache zijazo inaenda kuvuka hatua ya makundi kwa kumtoa mashindanoni mmoja wa vigogo.

Nadhani Mo ana mchango wake katika haya mafanikio.
Point ni kwamba kasha inunua Simba hayo mengine sio mada ya leo
 
Hapana. Mgawanyo wa umiliki wa timu ni suala nyeti sana, siwezi kuwa wale wa "timu inashinda poa tu" kama vibaraka wa GSM.

Nilichotaka kusema ni kama nilivyoandika, kuwa ana mchango fulani katika kuleta mafanikio ambayo Simba imeyapata kwa kipindi hivi kifupi kwa hiyo siyo mtu wa kumbeza.

Kuhusu ishu ya umiliki hadi matangazo yake hayo ni mambo mengine. Nina mengi ya kusema kuhusu hayo ila sidhani kama muda ni muafaka kuyasema ila yeye kila wakati Simba ikiwa inakaribia hatua fulani kuja na hivi viinterview vyake vya "kupoteza pesa" inaleta picha mbaya.
Ndo kawaida yake
Ili tumsaidie asiendeleee kupata hasara naiombea Simba ifungwe na Jwaneng
I
 
We unafikiri anatumia sh ngapi kwa mwaka?
Ina maana timu haiingizi? Kuna wadhamini, pesa za kufuzu hatua mbali mbali caf, zawadi za washindi, malipo ya wanachama mwaka mzima simba wanaingiza zero ila wanatumia bil10? Maana hzo bajeti za bili 10 simba msimu huu bajeti halisi ni b13 ina maana huko nyuma zilkuwa pesa ndogo zaidi
 
Hapana. Mgawanyo wa umiliki wa timu ni suala nyeti sana, siwezi kuwa wale wa "timu inashinda poa tu" kama vibaraka wa GSM.

Nilichotaka kusema ni kama nilivyoandika, kuwa ana mchango fulani katika kuleta mafanikio ambayo Simba imeyapata kwa kipindi hivi kifupi kwa hiyo siyo mtu wa kumbeza.

Kuhusu ishu ya umiliki hadi matangazo yake hayo ni mambo mengine. Nina mengi ya kusema kuhusu hayo ila sidhani kama muda ni muafaka kuyasema ila yeye kila wakati Simba ikiwa inakaribia hatua fulani kuja na hivi viinterview vyake vya "kupoteza pesa" inaleta picha mbaya.
Sawa sawa sasa mie pia sitaki kuingia deep maana niliwahi kuwa karibu sana na FoS na hasa uongozi uliopita...

Unadhani kwann kila ikifika hatua hii tajiri anakuja na story hizi ? Je anaamini maneno ya Rage ? So anafanya kusudi sababu kashika mpini ?

Kule mtaa wa pili walichofanya ni kupeleka mtu akawe Rais/Chairman azidhibiti nguvu ya 51 % na wao naona wanajua kula na vipofu
 
Sawa sawa sasa mie pia sitaki kuingia deep maana niliwahi kuwa karibu sana na FoS na hasa uongozi uliopita...

Unadhani kwann kila ikifika hatua hii tajiri anakuja na story hizi ? Je anaamini maneno ya Rage ? So anafanya kusudi sababu kashika mpini ?

Kule mtaa wa pili walichofanya ni kupeleka mtu akawe Rais/Chairman azidhibiti nguvu ya 51 % na wao naona wanajua kula na vipofu
Timu hzi wakiachiwa hao 51% hakuna lolote wanaweza fanya, refer Yanga 3yrs ago. Kuhusu uwekezaji hao watu ni muhimu ila Mo muongo muongo sana. Au ana agenda yake binafsi maana yake timu ikikaribia kupata pesa lazima aibuke. Yaana kama mbowe na chadema
 
Moamedi Deuji muongo. Tz Kuna watu milioni sitini.
Hapo Kuna watoto chini ya umri wa miaka kumi ambao hawana upenzi wa mpira, Hawa wapenzi milioni 35 anawapata wapi? Shithole.
 
“Nadhani kitu ghali zaidi nilichowahi kununua ni klabu ya mpira inaitwa Simba ina mashabiki milioni 35, niliinunua hii klabu miaka mitano iliyopita, nimepoteza takribani Dola za marekani milioni 4 (Tsh bilioni 10.2) kwa mwaka mmoja na kwa miaka yote mitano nimepoteza Dola za Marekani milioni 20 (Tsh bilioni 51)"

Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji akizungumza kwenye Podcast ya Ahmed Mahmood.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwa maana hiyo ni sawa na kuwaa mbia kolo juaneni na Juaneng Galax🤣Ama ndio kutuambia wamejaa mchwa hapo ukoloni🤓
 
Timu hzi wakiachiwa hao 51% hakuna lolote wanaweza fanya, refer Yanga 3yrs ago. Kuhusu uwekezaji hao watu ni muhimu ila Mo muongo muongo sana. Au ana agenda yake binafsi maana yake timu ikikaribia kupata pesa lazima aibuke. Yaana kama mbowe na chadema
Halafu deni linaongezeka tu..kifupi Mo anataka kujimilikisha hy team si bure
 
Back
Top Bottom