Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Kwani GSM ametoa ngapi ili tuseme amewashika pazuri?Sio 20B? Kanjibahi kawashika pabaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani GSM ametoa ngapi ili tuseme amewashika pazuri?Sio 20B? Kanjibahi kawashika pabaya.
Sasa kama zinamuuma si abaki nazo kwani amelazimishwa kutoa? 😅😅We kwenye ukoo wenu kuna anayeweza toa hizo pesa na asiumie?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wewe umeona mbali...Sio masimango,hapo anawapa taarifa ili muendelee kujumlisha hesabu.
Wewe huchangii chochote zaidi ya mkyundu, hivyo kaaa utulie usijefanywa ka bodaSasa kama zinamuuma si abaki nazo kwani amelazimishwa kutoa? [emoji28][emoji28]
Wewe umeona mbali...
Enjoy ur ban!👌Wewe huchangii chochote zaidi ya mkyundu, hivyo kaaa utulie usijefanywa ka boda
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mbona wachezaji ni kama wa buku jero jero?Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba Mo Dewji ameandika
"Nimetoa almost 3 billion kufanikisha huu usajili, istokee kwamba MTU aseme ‘Mo hajatoa hela’ tuepuke na wapotishaji"
View attachment 2713575
Kwa kweli, hata kama ana hela but this is too muchIla tofauti ya Mo na Harmonize ni rangi tu.
Kwani GSM ametoa ngapi ili tuseme amewashika pazuri?
Lakini...au basiHizi tweets za boss nafikiri zinakuwa tweeted kwa malengo au mkakati fulani... Nachelea kusema kwamba boss huwa anakurupuka tu na ku tweet ili kufurahisha watu, au ili aonekana ana hela kama watu wengi wanavyodhani..
Kwa hiyo ukijumlisha na zile 20 pamoja na hizi 3 zinakuwa 83.Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba Mo Dewji ameandika
"Nimetoa almost 3 billion kufanikisha huu usajili, istokee kwamba MTU aseme ‘Mo hajatoa hela’ tuepuke na wapotishaji"
View attachment 2713575
Siku zote anaetafuta pesa kwa jasho lazima azitoe kwa hesabu kali maana zinamuuma.Anaonyesha akitoa pesa zinamuuma sana[emoji28]
Tajiri katoa tahadhari mapema...Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba Mo Dewji ameandika
"Nimetoa almost 3 billion kufanikisha huu usajili, istokee kwamba MTU aseme ‘Mo hajatoa hela’ tuepuke na wapotishaji"
View attachment 2713575
Huwa unaamini katika ndoto?MO ameota leo wanachapwa na SFG au nini.