20bil utaweka lini ? Avha upoyoyoo sisi sio wsjinga.....Mo Dewji: Nitatoa taarifa kuhusu Wajumbe wa Bodi ya Simba Sports Club kutoka upande wa Mwekezaji, leo saa mbili na nusu usiku.
Unahisi jina gani halitokosekana?
Unamwachaje GENTA?😂Trai ageini in ✅️
Mangungu in ✅️
Aden Rage in ✅️
Kigwangala in ✅️
Kalpana in ✅️
Mwasibu in ✅️
Ni miongoni mwa wale washauri 20 walioteuliwa kipindi kile.Muda umefika 20:32