Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Shangazi, Tray again, wanerudi magori ndani pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Husein kita hawakupo mara ya kwanza? Naona Simba watu ni wale wale ,try again,magori , Mohamed nasorShangazi, Tray again, wanerudi magori ndani pia
Kwel yote ni kujilisha upepoTrai ageini in ✅️
Mangungu in ✅️
Aden Rage in ✅️
Kigwangala in ✅️
Kalpana in ✅️
Mwasibu in ✅️
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie muweka hazina.OKW BOBAN SUNZU
Scars
cocastic
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wajumbe wapya chini ya jambazi kuu GENTAMYCINE
Mnasubiri nini kulitumbua! Mjaribu ili muone nguvu ya wanasiasa walio simama nyuma yake.Mangungu ni JIPU
😁ukisikia the republic of banana ndo hii sasa.Katika nchi yenye vituko basi Tanzania ni moja wapo tajiri unalalamika wajumbe wako wanakukwamisha wajiuzulu, wanajiuzulu baada ya mda tena unawateua tena
Na yote hayo yanafanyika mashabiki wao wanashangilia wajumbe wamejiudhuru wameteuliwa tena watu wanashangilia
Try again IN#Mang'ungu out
Try Again INAlikuwa analalamika nani ajiuzulu?
Waulize wana lunyasi kolowizard fcHivi nafasi ya Mo Simba ni kama Ya GSM Yanga? Mana sijawahi kuona GSM anashiriki Sanaa zaidi ya kwenda uwanjani kuwezesha mambo na kutabasamu
MO amechanganyikiwa, mambo anayoyafanya si ya mtu mwenye akili timamu.Katika nchi yenye vituko basi Tanzania ni moja wapo tajiri unalalamika wajumbe wako wanakukwamisha wajiuzulu, wanajiuzulu baada ya mda tena unawateua tena
Na yote hayo yanafanyika mashabiki wao wanashangilia wajumbe wamejiudhuru wameteuliwa tena watu wanashangilia
Tajiri muda wa mipasho atautowa wapi? Ulishawahi kuona GSM anapost Twitter?Hivi nafasi ya Mo Simba ni kama Ya GSM Yanga? Mana sijawahi kuona GSM anashiriki Sanaa zaidi ya kwenda uwanjani kuwezesha mambo na kutabasamu
Kaona mashabiki wenyewe wa Simba hawajielewi, kama watu wanaletewa Manzoki kwenye mkutano mkuu huku akiikandia Yanga kuwa hawezi chezea timu yenye jezi ya rangi ya nyoka nyoka wao wanashangilia vibaya mno.MO amechanganyikiwa, mambo anayoyafanya si ya mtu mwenye akili timamu.
Yani hata sauti yake sijawahi kuisikiaTajiri muda wa mipasho atautowa wapi? Ulishawahi kuona GSM anapost Twitter?
Yeye muda wote anatabasamu tu na kutowa pesa.