Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Hapo anawapa ujumbe wa kijembe,kuwa kupitia Makolo anayo private jet tayari,Makolo mwamke kutoka usingizi wa mchana 😂Bila nyie makolo, mwenzenu angekuwa na ndege now.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo anawapa ujumbe wa kijembe,kuwa kupitia Makolo anayo private jet tayari,Makolo mwamke kutoka usingizi wa mchana 😂Bila nyie makolo, mwenzenu angekuwa na ndege now.
Alilipa kwenye akaunti ipi? Na walikubaliana na nani kuzilipa kidogo kidogo kwa miaka 6, kwa mkataba upi?Kasema kaweka 50 billion
MO: SIMBA INANIIGIZIA HASARA, KAMA SIO SIMBA NINGEKUWA NA NDEGE.
“Simba ni klabu ambayo nimeipenda tangu nikiwa mdogo, naipenda Simba kutoka moyoni, mechi ya juzi tulipofungwa na Raja nimekaa kwenye Gari nimelia"
“Nimewekeza kwenye Simba sio kwaajili ya pesa huu ni mwaka wa sita, tumekubaliana ni Bil. 20 lakini tukifanya mahesabu imefika labda Bil. 50 ambazo nimewekeza, kama nngependa raha au kitu kingine Bil 50 ningenunua hata ndege,”
“Ukiniambia Simba ni Biashara kwangu Hapana, Simba ni Hasara kwangu ndiyo, Simba kifedha inanipa hasara, Kuna wafadhili wengi sana ambao wamekuja na wamepita wengi wao wamefilisika Kutokana na kuwekeza au kufadhili Simba
RAIS wa Heshima na Mwekezaji wa Simba, MOHAMMED DEWJI.
@futbalplanet_ [emoji1241]
Yule bwma muelew awezi kuongea ujinga hadharaani japo Ni Kweli kuendesha vilabu Ni ngarama kubwa mnoIko siku tutasikia haya toka kwa GSM, na huu ndiyo ukweli!!
Kaka yule mpuuz aliendika hvyo Ni mjinga ni wale watu machawa tu hkn lolote Zaid eti mud na moo ,haifai Mohamed kuitwa muddy poor reasoning Sana viz umembana sanaBado somo halijaingia kabisa kwenye ubongo! Yaani akina Mohamed wengine wakiitwa Mudi, ni sawa! Halafu akina Mohamedi wengine (wenye hela) wakiitwa Mudi, wanaona ni udhalilishaji! Na hivyo wanataka waitwe Mo! [emoji848]
Sawa kiongozi. Ngoja tu ibakie hivi hivi.
Babu poorly reasoning unafanya kwa mud na mo anyway muddy CYO zarau Ni majina yetuSijahusisha hela kwenye jina. Ni sawa na Mtu anayemfahamu Mheshimiwa Samia Rais wa Tanzania tangu utoto na labda jina lake la utoto awe analijua. Sasa mbele za watu aseme " kibibi mambo vipi?" haitakuwa sawa.
Kama mtu anaitwa Mo muite Mo na siyo kutanguliza maneno kwamba kina Mo wana hela ila huyu ni Mudi tu kwa kuwa hana hela ila ana janja janja!!
Huyu anachojua Ni matus tuHivi GENTAMYCINE si aichukue hii timu waache kusimangwa na huyu muhindi.
Kabisa mkuu....yeye haya mambo kawaachia waswahili kina mudiYule bwma muelew awezi kuongea ujinga hadharaani japo Ni Kweli kuendesha vilabu Ni ngarama kubwa mno
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Pole sana Mo,kisu kimegusa mfupaBabu una malezi mabovu Sana Toka kwa wazazi wako .jirekebishe plz
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mwenyewe huyo Mjomba,🤣🤣🤣🤣Isije kuwa ndo mwamed mwenyewe [emoji28][emoji28]
😀 Muhindi anafilisika huku
Mo kila akiona mzigo umeingia kwenye timu anaanza malalamiko