Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
How?Ana create fear Kwa investors wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How?Ana create fear Kwa investors wengine
Ukiona hivyo anaelekea kufilisika😂Tajiri kwa kulalamika huyu
Akukabidhi wewe🤸Hahahaha nimesema kama anaona inamtia hasara aondoke
Huyu bwana anaanza kuzeeka..kama kitu kinakutia hasara why ung'anga'anie?
Naweza wapiii..nina madeni ya vikoba kila mahalaAkukabidhi wewe🤸
Kwani unafikiri moo anazama mfukoni🤔.Anavuna kutoka wanachama na timu🏃Naweza wapiii..nina madeni ya vikoba kila mahala
Bila nyie makolo, mwenzenu angekuwa na ndege now.Huyu bwana anaanza kuzeeka..kama kitu kinakutia hasara why ung'anga'anie?
Kwa hiyo kwa jina lungine Simba waitwe Ndege ya Mudi?Bila nyie makolo, mwenzenu angekuwa na ndege now.
Atajijua bwana...basi aje huko utopoloBila nyie makolo, mwenzenu angekuwa na ndege now.
Aliewafikisha makolo, ana uswahili mwingi sanaHapana mkuu .....ndiye aliyewafikisha hapa
Mnaongea tu ngoja aiachie timu muone joto ya jiweAtajijua bwana...basi aje huko utopolo
Yeye mwenyewe anajua umuhimu wa Simba ndo maana anaongea huku yuko pale paleMnaongea tu ngoja aiachie timu muone joto ya jiwe
Naamini ananufaika na simba zaidi ya simba inavyonufaika nae ndio maana bado yupo ila msiombe wala kutamani aiachie timu. Kwa Tz hii kumpata muwekezaji kama yeye ni nadra.Yeye mwenyewe anajua umuhimu wa Simba ndo maana anaongea huku yuko pale pale
Hata mimi nasema tuu wala sitaki aondoke mkuu..nani atakuja mwenye ushawishi kama yeye?. 😆 😆 😆 labda Bakhresa asema anaitaka tutakubali kwa moyo woteNaamini ananufaika na simba zaidi ya simba inavyonufaika nae ndio maana bado yupo ila msiombe wala kutamani aiachie timu. Kwa Tz hii kumpata muwekezaji kama yeye ni nadra.
Hawezi kuwa na team mbili zinazoshiriki ligi 1Hata mimi nasema tuu wala sitaki aondoke mkuu..nani atakuja mwenye ushawishi kama yeye?. 😆 😆 😆 labda Bakhresa asema anaitaka tutakubali kwa moyo wote
Bora wewe umelilia kwenye Gari Kuna mwamba alikua analia kwenye Baiskeli, hatariii boss hatariSimba ni klabu ambayo nimeipenda tangu nikiwa mdogo, naipenda Simba kutoka moyoni, mechi ya juzi tulipofungwa na Raja nimekaa kwenye Gari nimelia
na wewe unaruhusiwa kukata viuno mbele ya wanawakeAnakata viuno mbele ya wanaume