Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Labda kama ana mkataba na Mungu!Unaota wewe!
Labda kama ana Mkataba na Mungu!Kuna Level ukishafikia huwezi kufilisika Tena. Hapo ndo alipofikia Mo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama ana mkataba na Mungu!Unaota wewe!
Labda kama ana Mkataba na Mungu!Kuna Level ukishafikia huwezi kufilisika Tena. Hapo ndo alipofikia Mo
Ingekuwa moyoni mwake asingepayuka kwenye media!Kaka mbona unakurupuka? Kasema anayafanya hayo kwakuwa Simba iko moyoni mwake
Tajiri kashasema wewe masikini Kaa kimya, ukoo wenu wote mkijumlisha pesa zenu hamfiki hata 1% ya pesa anazomiliki kanjiIngekuwa moyoni mwake asingepayuka kwenye media!
Umeskiliza interview?Ingekuwa moyoni mwake asingepayuka kwenye media!
Angeendelea kuzitengeneza hiyo bidhaa kwenye kiwanda chake?Labda hawanunui
Huwa nawaambia kila siku humu kuwa pesa za (Muhindi) Kanje Bai ni ngumu sana ila Watu hukaza mafuvu, haya sasa mwenye mali kafunguka.
Samahani Mkuu!Ingekuwa moyoni mwake asingepayuka kwenye media!
Yaani unajiquote wewe mwenyeweSamahani Mkuu!
Huenda nimejichanganya tu.Yaani unajiquote wewe mwenyewe
GSM kanunua timu gani??Iko siku tutasikia haya toka kwa GSM, na huu ndiyo ukweli!!
Kwani Mo kanunua timu gani??GSM kanunua timu gani??
Mikia wamenunuliwa na nani? Hadi wajukuu wanaitumiaKwani Mo kanunua timu gani??
Labda kama ana mkataba na Mungu!
Labda kama ana Mkataba na Mungu!
Asante Mkuu, nimekuelewa.Wacha kumuhusisha Mungu na vitu vya kipuuzi
Pesa inatafuta na pesa inawekewa mipango sasa ayo mambo ya Mkataba na Mungu ni mawazo ya kimaskin achana nayo
Ingekua ivyo bas watu wote wanaosali na kuijua dini ndo wangekua matajiri
Pesa ni ya kalisali pesa sio ya Mungu
Anataka fungu lote kutoka Caf liingie kwenye account yake direct maana ametoa Billion 50 badala ya Billion 20 😂Huyu Kanjibai anatafuta sababu ya kusepa
Haha muhindi wa Singida macho kwenye fweza tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kanjibai mzigo umeingia analeta zengwe