Mo Dewji: Simba inanipa hasara, ningenunua hata Ndege

Mo Dewji: Simba inanipa hasara, ningenunua hata Ndege

“Nimewekeza kwenye @SimbaSCTanzania sio kwaajili ya pesa, huu ni mwaka wa sita, tumekubaliana ni bilioni 20 lakini tukifanya mahesabu imefika labda bilioni 50 ambazo nimewekeza, kama ningependa raha au kitu kingine bilioni 50 ningenunua hata ndege,” @moodewji, Rais wa heshima wa simba

Mooo kwanini huwa anajitokeza tukishapiga hela?
20230324_075652.jpg
 
Back
Top Bottom