Mo Dewji: Simba inanipa hasara, ningenunua hata Ndege

Mo Dewji: Simba inanipa hasara, ningenunua hata Ndege

Mo Ni mjanja mjanja Sana ,alisema yeye Simba Ni hasara sisi wanasimba tujiulize
Yale matangazo kwenye jezi ingekuwa anatangazia kwa timu nyingine angelipia kiasi gani, na ametumia plat form ya Simba kujitangaza kwa muda gani
Kuna mtu anaweza kufanya biashara isiyo mpa faida tena ukizingatia biashara ya familia ,
Kingine ukiachana na matangazo ambayo mo anafaidika Sana kwa kutumia platform ya Simba trust me Mo atakuja kupiga pesa ndefu Sana hapo Simba kwa siku za baadae na hiyo ndio target ya Mo. Atapigaje pesa
Tukubali share za Simba zimekuwa under value thamani ya Simba sio bilioni 20 ambayo mo inasemekana amelipa ,baada ya miaka kadhaa mbele Mo atasema anataka kuuza share zake hapo anaweza Kuna kuuza hata 200B wakati yeye alinunua kwa 20B , ukitaka kujua anaweza kuchukua hiyo pesa kwa kuuza share zake jiulize Azam wamedhamini yanga tv kwa kiasi gani,ndio ujue thamani ya hizi club zetu,trust me Mo atapiga pesa ndefu sana
 
Mo Ni mjanja mjanja Sana ,alisema yeye Simba Ni hasara sisi wanasimba tujiulize
Yale matangazo kwenye jezi ingekuwa anatangazia kwa timu nyingine angelipia kiasi gani, na ametumia plat form ya Simba kujitangaza kwa muda gani
Kuna mtu anaweza kufanya biashara isiyo mpa faida tena ukizingatia biashara ya familia ,
Kingine ukiachana na matangazo ambayo mo anafaidika Sana kwa kutumia platform ya Simba trust me Mo atakuja kupiga pesa ndefu Sana hapo Simba kwa siku za baadae na hiyo ndio target ya Mo. Atapigaje pesa
Tukubali share za Simba zimekuwa under value thamani ya Simba sio bilioni 20 ambayo mo inasemekana amelipa ,baada ya miaka kadhaa mbele Mo atasema anataka kuuza share zake hapo anaweza Kuna kuuza hata 200B wakati yeye alinunua kwa 20B , ukitaka kujua anaweza kuchukua hiyo pesa kwa kuuza share zake jiulize Azam wamedhamini yanga tv kwa kiasi gani,ndio ujue thamani ya hizi club zetu,trust me Mo atapiga pesa ndefu sana
Hapo ana create fear Kwa other investors ambao wanawaza kuja kimpindua
 
Kasema anawekeza kwa kuwa anaipenda, ndo maana anaendelea kuwepo pamoja na hasara mnayompa
Bila shaka amegundua mashabiki na wanachama ni mbumbumbu, na hivyo watamuamini kirahisi tu.

Penyewe hata mjasiriamali mchanga kabisa anayeanza biashara, huwezi kumshawishi kufanya biashara isiyo na faida!!

Sasa kwa mfanyabiashara mkubwa, na mbobevu kama yeye! Huo ujasiri wa kifanya biashara ya hasara, anautoa wapi!! Yaani kirahisi tu aende tofauti na kanuni za biashara zinavyotaka (to fight for maxmum profit)?
 
Sijahusisha hela kwenye jina. Ni sawa na Mtu anayemfahamu Mheshimiwa Samia Rais wa Tanzania tangu utoto na labda jina lake la utoto awe analijua. Sasa mbele za watu aseme " kibibi mambo vipi?" haitakuwa sawa.

Kama mtu anaitwa Mo muite Mo na siyo kutanguliza maneno kwamba kina Mo wana hela ila huyu ni Mudi tu kwa kuwa hana hela ila ana janja janja!!
Who are you mpaka unapangia watu jinsi ya kuishi na kutamka majina ya watu
Tunamuita mudi aya nenda kafungue kesi mahakamani kwamba wanamuita mudi na sio mahamed wastakiwe
Jamiiforum muamgalie akili za hawa mnao wapa verification tick wengine wana akili kisoda

Mo dewji hajalalamika wala kuumia watu wakimuita mudi ila wewe ndo unaumia haya ni maajabu ya dunia
 
“Ukiniambia Simba ni Biashara kwangu Hapana, Simba ni Hasara kwangu ndiyo, Simba kifedha inanipa hasara, Kuna wafadhili wengi sana ambao wamekuja na wamepita wengi wao wamefilisika Kutokana na kuwekeza au kufadhili Simba na Yanga,” Mwekezaji wa Simba Sc, Mohammed Dewji.



“Nimepata opportunities nyingi kuwekeza kwenye klabu za nje, klabu za Ureno, United Kingdom, Simba ikifungwa inanihusu kwanza ni klabu yangu, klabu ninayoipenda na inatoka Tanzania,” Mwekezaji wa Simba Sc, Mohammed Dewji.
1702EB5D-81B5-4295-A07C-56F9E0177914.jpeg
 
MO: SIMBA INANIIGIZIA HASARA, KAMA SIO SIMBA NINGEKUWA NA NDEGE.

“Simba ni klabu ambayo nimeipenda tangu nikiwa mdogo, naipenda Simba kutoka moyoni, mechi ya juzi tulipofungwa na Raja nimekaa kwenye Gari nimelia"

“Nimewekeza kwenye Simba sio kwaajili ya pesa huu ni mwaka wa sita, tumekubaliana ni Bil. 20 lakini tukifanya mahesabu imefika labda Bil. 50 ambazo nimewekeza, kama nngependa raha au kitu kingine Bil 50 ningenunua hata ndege,”

“Ukiniambia Simba ni Biashara kwangu Hapana, Simba ni Hasara kwangu ndiyo, Simba kifedha inanipa hasara, Kuna wafadhili wengi sana ambao wamekuja na wamepita wengi wao wamefilisika Kutokana na kuwekeza au kufadhili Simba

RAIS wa Heshima na Mwekezaji wa Simba, MOHAMMED DEWJI.

Source @futbalplanet_ [emoji1241]

NB acheni kumwingiza hasara Mo

View attachment 2562675
Hiyo ni uongo 😆😆😆
 
Mo Ni mjanja mjanja Sana ,alisema yeye Simba Ni hasara sisi wanasimba tujiulize
Yale matangazo kwenye jezi ingekuwa anatangazia kwa timu nyingine angelipia kiasi gani, na ametumia plat form ya Simba kujitangaza kwa muda gani
Kuna mtu anaweza kufanya biashara isiyo mpa faida tena ukizingatia biashara ya familia ,
Kingine ukiachana na matangazo ambayo mo anafaidika Sana kwa kutumia platform ya Simba trust me Mo atakuja kupiga pesa ndefu Sana hapo Simba kwa siku za baadae na hiyo ndio target ya Mo. Atapigaje pesa
Tukubali share za Simba zimekuwa under value thamani ya Simba sio bilioni 20 ambayo mo inasemekana amelipa ,baada ya miaka kadhaa mbele Mo atasema anataka kuuza share zake hapo anaweza Kuna kuuza hata 200B wakati yeye alinunua kwa 20B , ukitaka kujua anaweza kuchukua hiyo pesa kwa kuuza share zake jiulize Azam wamedhamini yanga tv kwa kiasi gani,ndio ujue thamani ya hizi club zetu,trust me Mo atapiga pesa ndefu sana
Na ndio target yake atakuja kuwasumbua sana simba hapo baadae ata demand hela nyingi ili aziuze hizo hisa zake werevu wachache walishaliona hilo
 
MO: SIMBA INANIIGIZIA HASARA, KAMA SIO SIMBA NINGEKUWA NA NDEGE.

“Simba ni klabu ambayo nimeipenda tangu nikiwa mdogo, naipenda Simba kutoka moyoni, mechi ya juzi tulipofungwa na Raja nimekaa kwenye Gari nimelia"

“Nimewekeza kwenye Simba sio kwaajili ya pesa huu ni mwaka wa sita, tumekubaliana ni Bil. 20 lakini tukifanya mahesabu imefika labda Bil. 50 ambazo nimewekeza, kama nngependa raha au kitu kingine Bil 50 ningenunua hata ndege,”

“Ukiniambia Simba ni Biashara kwangu Hapana, Simba ni Hasara kwangu ndiyo, Simba kifedha inanipa hasara, Kuna wafadhili wengi sana ambao wamekuja na wamepita wengi wao wamefilisika Kutokana na kuwekeza au kufadhili Simba

RAIS wa Heshima na Mwekezaji wa Simba, MOHAMMED DEWJI.

Source @futbalplanet_ [emoji1241]

NB acheni kumwingiza hasara Mo

View attachment 2562675
Kama anapata hasara anafanya nn asiuze hisa??hayo matangazo yote amejaza kwenye jezi ya makolo na yanamletea faida za kutosha tu!makolo msikubali kudhalilishwa bana.
 
Bila shaka amegundua mashabiki na wanachama ni mbumbumbu, na hivyo watamuamini kirahisi tu.

Penyewe hata mjasiriamali mchanga kabisa anayeanza biashara, huwezi kumshawishi kufanya biashara isiyo na faida!!

Sasa kwa mfanyabiashara mkubwa, na mbobevu kama yeye! Huo ujasiri wa kifanya biashara ya hasara, anautoa wapi!! Yaani kirahisi tu aende tofauti na kanuni za biashara zinavyotaka (to fight for maxmum profit)?
Anasema ansipenda Simba
 
Kuwekeza Simba unapata hasara kwann unendelee kuwekeza sehemu unayoendelea kupataa hasaraaa ukafanyaa mambo Yako ya kukupaa faidaaa mo..

Kabla ya ww mbona Simba ilikuwepo na baadaa ya ww Simba itaendelea kuwepooo..


TUPUMZISHEEE...
Kaka mbona unakurupuka? Kasema anayafanya hayo kwakuwa Simba iko moyoni mwake
 
Back
Top Bottom