Mo Dewji: Simba inanipa hasara, ningenunua hata Ndege

Bila nyie makolo, mwenzenu angekuwa na ndege now.
Hapo anawapa ujumbe wa kijembe,kuwa kupitia Makolo anayo private jet tayari,Makolo mwamke kutoka usingizi wa mchana πŸ˜‚
 
Bilioni 20 alilipa kwenya akaunti ipi? Faida aliyopata kwa kutangza bidhaa zake za Mo (advertising) kwa miaka 6 ni kiasi gani? ; halafu ndio tupige hesabu
 

Aache kulialia, kama anaona anapata hasara asepe tu hasitupigie kelele sisi
NB acheni kumwingiza hasara Mo

View attachment 2562675
 
Kaka yule mpuuz aliendika hvyo Ni mjinga ni wale watu machawa tu hkn lolote Zaid eti mud na moo ,haifai Mohamed kuitwa muddy poor reasoning Sana viz umembana sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Babu poorly reasoning unafanya kwa mud na mo anyway muddy CYO zarau Ni majina yetu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…