Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushamba kila kitu kina muda wake ulitaka simba itawale milele?Huyu ndugu aliingiza tamaa ya pesa, kaanza kuuza wachezaji atakavyo, Sasa club imekwama, MO, jitafakari, usidhani hatukutafakari
Mfano MO aondoke Simba, wewe unaweza kuwekeza Simba?Huyu ndugu aliingiza tamaa ya pesa, kaanza kuuza wachezaji atakavyo, Sasa club imekwama, MO, jitafakari, usidhani hatukutafakari
We kenge kweli, wale waliouzwa na Mo uliwasajili wewe?Huyu ndugu aliingiza tamaa ya pesa, kaanza kuuza wachezaji atakavyo, Sasa club imekwama, MO, jitafakari, usidhani hatukutafakari
Akikujibu nitag mkuuMfano MO aondoke Simba, wewe unaweza kuwekeza Simba?
Sawa MkuuAkikujibu nitag mkuu
Mimi ninatatizo na aina za viwanja vyetuSina tatizo na Mo wala wachezaji nina tatizo na huyu Mmadrid, simuelewi kabisa
Mbona hasira tena?Timu Imekwamia Wapi?
Bado anakupumulia Kisogoni...
Bado Yupo Kimataifa....
Kashaanza kama Kawaida Kukusanya makombe...La Mapinduzi Kibindoni.
Hata Round ya Kwanza haijaisha Unalalama Simba Kakwama....
Subiri Mwisho...anayecheka Mwishoni ndio Hucheka sana..!
Huyu ndiye alipaswa apelekwe Muhimbili kupimwa akili na si Mkude!Sina tatizo na Mo wala wachezaji nina tatizo na huyu Mmadrid, simuelewi kabisa