OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
unateseka?lete mkeo tumuwekeChawa wa Mo, umemuweka profile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unateseka?lete mkeo tumuwekeChawa wa Mo, umemuweka profile
Hatari aiseeMo DEWJI, umeharibu Simba
Kombe la Mapinduzi huwa lina gundu.Timu Imekwamia Wapi?
Bado anakupumulia Kisogoni...
Bado Yupo Kimataifa....
Kashaanza kama Kawaida Kukusanya makombe...La Mapinduzi Kibindoni.
Hata Round ya Kwanza haijaisha Unalalama Simba Kakwama....
Subiri Mwisho...anayecheka Mwishoni ndio Hucheka sana..!
Ni Kweli hili Kombe Lina Gundu pale tu linapochukuliwa na Utopolo!!...Sio Kwa Mnyama!Kombe la Mapinduzi huwa lina gundu.
[emoji23][emoji23][emoji23]We kenge kweli, wale waliouzwa na Mo uliwasajili wewe?
Nyie mnapesa hata za kulipa mishahara ya wachezaji hata mwezi mmoja? Nyie kubalini timu mmeshamuuzia muhindi nae kaweka demu wake pale kudhibiti mapato yote, mtulie hivyo hivyo serikali iliwapa somo mkasema isiwapangie sasa serikali inawaadabisha kupitia nyaraka huko mnalia ooh jamaa wa job FCC ni Yanga damu kawakazia timezeni masharti na vigezo. Tuliwaonya mapema kabisaHuyu ndugu aliingiza tamaa ya pesa, kaanza kuuza wachezaji atakavyo, Sasa club imekwama, MO jitafakari, usidhani hatukutafakari.
Mo tutamtoaNyie mnapesa hata za kulipa mishahara ya wachezaji hata mwezi mmoja? Nyie kubalini timu mmeshamuuzia muhindi nae kaweka demu wake pale kudhibiti mapato yote, mtulie hivyo hivyo serikali iliwapa somo mkasema isiwapangie sasa serikali inawaadabisha kupitia nyaraka huko mnalia ooh jamaa wa job FCC ni Yanga damu kawakazia timezeni masharti na vigezo. Tuliwaonya mapema kabisa
mpira ni kama kampuni na wafanyakazi wake, mfanyakazi akipata kampuni inayolpa vizuri, lazima aondoke na hvyo hvyo kampununi ikipata donge nono lazima iuze bidhaa yake..Huyu ndugu aliingiza tamaa ya pesa, kaanza kuuza wachezaji atakavyo, Sasa club imekwama, MO jitafakari, usidhani hatukutafakari.
Huyo uliemqoute ni Uto mwenzetu.Nyie mnapesa hata za kulipa mishahara ya wachezaji hata mwezi mmoja? Nyie kubalini timu mmeshamuuzia muhindi nae kaweka demu wake pale kudhibiti mapato yote, mtulie hivyo hivyo serikali iliwapa somo mkasema isiwapangie sasa serikali inawaadabisha kupitia nyaraka huko mnalia ooh jamaa wa job FCC ni Yanga damu kawakazia timezeni masharti na vigezo. Tuliwaonya mapema kabisa