MO DEWJI, tamaa yako ya pesa imeiharibu Club ya Simba, sisi kama club hatusubiri mikataba yenu, jitafakari

Mpira siyo plug and play. Hata ukibadilisha mfanyakazi huchukua muda ku to attain normality
 
Makasiriko ya nn mkuu?
 
Mo aliyewekeza mda na pesa simba ikachukua ubingwa wa Kombe la ligi kuu mara 4 mfululizo na mafanikio kemu kemu ndo unamlaumu leo kisa mashabiki wa utopolo wanakunyima Amani huko mtaani kwako?

Kuna timu dunia hii isiyouza wachezaji wake? Itaje
 
Ww utakuwa sio mwana simba hata kidogo wana simba wote tuko poa na hatuna papara kabisaa coz tumenyenyua makwapa miaka mi4 hivi hapa hata simba ikikosa kombe kwa miaka mi2 mimi siwezi kumaind wala siwadai kitu wachezaji wa simba, huwezi kuwa bora na kushinda kila siku na kila miaka hata nyie yanga hamtachukua kikombe milele mkijitahidi ni miaka mi2 tu hata mi3 hamfikisshi

Harafu kama nyie mmevumilia miaka mi4 hamna kikombe na mmevumilia kwann sisi tushindwe kuvumilia
 
Huyu ndugu aliingiza tamaa ya pesa, kaanza kuuza wachezaji atakavyo, Sasa club imekwama, MO, jitafakari, usidhani hatukutafakari
Sisi waswahili ndio tulivyo, muda wote ni lawama na kuona kama tumeonewa!! Bure kabisa...mawazo yako mgando
 
Tazama hii Pimbi kwani MO ndiye aliyekwenda kuuza Wachezaji?

Si mulimshambulia kila siku mpaka kakaa pembeni akatuachia Timu yetu sasa tunaanza kulalamika kwa kinachotukuta.
 
Unapuyanga maneno tu,timu iko vizuri tena sana tu kufungwa au ku draw ni matokeo kwenye soka.
 
Huyu ndugu aliingiza tamaa ya pesa, kaanza kuuza wachezaji atakavyo, Sasa club imekwama, MO, jitafakari, usidhani hatukutafakari
Nyie si mlimkabidhi timu na mkamruhusu afanye atakalo
 
Huyo siyo huyo Muddy msanii huyo kutwa kwenye mitandao kawekeza nn sasa zaidi kujikusanyia mkwanja papa hukaangwa kwa mafuta yake
 
Mo DEWJI, umeharibu Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…