Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Katika ujuha ni kuwapa watu asilimia 51 huku hawachangii chochote hizo asilimia 51 ni kama botion zipo zipoNinyi wenye 51 ndo mwapaswa jiuliza hayo maswali mnachangia sent ngap kwa mwaka bora kaka mudi tumeona walau amejitaidi analipa mishahara, posho japo kwa kuchelewa lakini analipa na wachezaji wa mafungu wa sh ten ten atleast tunawaona wakisajiriwa vipi nyinyi wanachama mnauwezo hata wa kusafirisha timu kwenda pre season morogoro kweli?
As long asilimia 51 zipo na hazichangii chochote dewji atatengeneza mazingira ya kuonekana anapata hasara sababu akisema tu anapata faida kuna group la watu wenye 51 wanaenda kupewa gawio kubwa na hakuna walichochangia