Mo Dewji usiponipa Majibu ya Kuridhisha juu ya haya Maswali yangu nakuwashia Moto na utaondoka Simba SC Mwenyewe

Mo Dewji usiponipa Majibu ya Kuridhisha juu ya haya Maswali yangu nakuwashia Moto na utaondoka Simba SC Mwenyewe

Ninyi wenye 51 ndo mwapaswa jiuliza hayo maswali mnachangia sent ngap kwa mwaka bora kaka mudi tumeona walau amejitaidi analipa mishahara, posho japo kwa kuchelewa lakini analipa na wachezaji wa mafungu wa sh ten ten atleast tunawaona wakisajiriwa vipi nyinyi wanachama mnauwezo hata wa kusafirisha timu kwenda pre season morogoro kweli?
Katika ujuha ni kuwapa watu asilimia 51 huku hawachangii chochote hizo asilimia 51 ni kama botion zipo zipo

As long asilimia 51 zipo na hazichangii chochote dewji atatengeneza mazingira ya kuonekana anapata hasara sababu akisema tu anapata faida kuna group la watu wenye 51 wanaenda kupewa gawio kubwa na hakuna walichochangia
 
Mo Dewji naomba haraka sana kujua yafuatayo......

1. Zile Tsh Bilioni 20 za Uwekezaji umeweka Benki gani Tanzania?

2. Simba SC kama Klabu inapata Kiasi gani kutokana na Udhamini wa Brands zako?

3. Kila mwaka unatoa Shilingi ngapi kama Hela ya Usajili Simba SC?

4. Mpaka hivi sasa tokea uwe Mwekezaji Simba SC umepata Faida au Hasara? Na jibu likiwa ni Hasara je, kwanini bado Unangangania kuwepo na huondoki ili uwaachie Matajiri Wengine?

5. Safari ya kuipeleka Pre Season Simba SC nchini Marekani kama ulivyoahidi mwaka Jana iliishia wapi?

6. Kwanini unapenda kuifanya Simba SC kama Mali yako na Kampuni yako ya MeTL?

7. Kwa haya Matokeo mabovu na ya kutia Aibu ya Simba SC huku Yanga SC wakizidi Kufanikiwa wana Simba SC wenye Hasira Kali na tusiotaka Upumbavu Wanaoongoza na Mimi GENTAMYCINE tukiamua ama Kukupiga Bakora Mubashara utuachie Timu au Tukuroge vibaya Simba upaone ni sehemu HATARISHI Kwako au tukiamua Kuiteka Timu na iwe mikononi mwetu na tumkabidhi Mtu ninayemjua ndiyo Tajiri hasa na Namba moja hapa Tanzania Mzee Bakhressa aiendeshe tutakuwa tunakukosea?

Nasubiri majibu yako ila in short GENTAMYCINE niseme tu kuwa Sikukubali na nimegundua Wewe ndiyo kwa 99% unafaidika na Simba SC Kibiashara ila Simba SC inafaidika nawe kwa 1% tu.

Simba SC tunadhalilika kwa ajili yako na Ole wako Msimu huu utusajilie tena Wachezaji wako wa Ki Samjo Samjo ( Uwongo Uwongo ) na wa 10% kwa hao Wajumbe wako wa Body ambao Wote umewakeka Mfukoni mwako kwa Pesa unazowahonga ili Wakulinde.
Naomba na mmi nikulize swali moja ukisha nijibu hili hayo yote jibu lake lipo ndani yake ....swali KIUHALISIA MO ANA MILIKI 49% YA HISA NDANI YA CLUB ..... NA ANAYO FANYA YANAONEKANA JAPO YANA MAPUNGUFU YAKE SAWA.. ...wanachama wao wana miliki 51% swali je wao wana mchango gani kwenye timu? Tuanzie hapo kwanza
 
Mo Dewji naomba haraka sana kujua yafuatayo......

1. Zile Tsh Bilioni 20 za Uwekezaji umeweka Benki gani Tanzania?

2. Simba SC kama Klabu inapata Kiasi gani kutokana na Udhamini wa Brands zako?

3. Kila mwaka unatoa Shilingi ngapi kama Hela ya Usajili Simba SC?

4. Mpaka hivi sasa tokea uwe Mwekezaji Simba SC umepata Faida au Hasara? Na jibu likiwa ni Hasara je, kwanini bado Unangangania kuwepo na huondoki ili uwaachie Matajiri Wengine?

5. Safari ya kuipeleka Pre Season Simba SC nchini Marekani kama ulivyoahidi mwaka Jana iliishia wapi?

6. Kwanini unapenda kuifanya Simba SC kama Mali yako na Kampuni yako ya MeTL?

7. Kwa haya Matokeo mabovu na ya kutia Aibu ya Simba SC huku Yanga SC wakizidi Kufanikiwa wana Simba SC wenye Hasira Kali na tusiotaka Upumbavu Wanaoongoza na Mimi GENTAMYCINE tukiamua ama Kukupiga Bakora Mubashara utuachie Timu au Tukuroge vibaya Simba upaone ni sehemu HATARISHI Kwako au tukiamua Kuiteka Timu na iwe mikononi mwetu na tumkabidhi Mtu ninayemjua ndiyo Tajiri hasa na Namba moja hapa Tanzania Mzee Bakhressa aiendeshe tutakuwa tunakukosea?

Nasubiri majibu yako ila in short GENTAMYCINE niseme tu kuwa Sikukubali na nimegundua Wewe ndiyo kwa 99% unafaidika na Simba SC Kibiashara ila Simba SC inafaidika nawe kwa 1% tu.

Simba SC tunadhalilika kwa ajili yako na Ole wako Msimu huu utusajilie tena Wachezaji wako wa Ki Samjo Samjo ( Uwongo Uwongo ) na wa 10% kwa hao Wajumbe wako wa Body ambao Wote umewakeka Mfukoni mwako kwa Pesa unazowahonga ili Wakulinde.
duhh...umsameeni,ila kuweni makini eti naskia ana undugu na san deo
 
Ukijibiwa
Watanzania watu wa ajabu sana. Hivi mnampangia afanye nini kwenye mali yake? Wakati tenda ya kubinafsisha timu inatolewa wewe ulikuwa wapi? Mwenzako kanunua timu, ana mkataba halafu bado mnapiga kelele timu yangu ...Timu yetu ,,, yenu na nani? wewe unamiliki hisa ngapi? Umelipa ada ya usajili ya wachezaji wangapi? Umechangia kiasi gani kusafirisha timu, kulipa posho na mishahara ya wachezaji na benchi la ufundi?

Ukijibiwa niite JIBWA🤣🤣
 
Mo Dewji naomba haraka sana kujua yafuatayo......

1. Zile Tsh Bilioni 20 za Uwekezaji umeweka Benki gani Tanzania?

2. Simba SC kama Klabu inapata Kiasi gani kutokana na Udhamini wa Brands zako?

3. Kila mwaka unatoa Shilingi ngapi kama Hela ya Usajili Simba SC?

4. Mpaka hivi sasa tokea uwe Mwekezaji Simba SC umepata Faida au Hasara? Na jibu likiwa ni Hasara je, kwanini bado Unangangania kuwepo na huondoki ili uwaachie Matajiri Wengine?

5. Safari ya kuipeleka Pre Season Simba SC nchini Marekani kama ulivyoahidi mwaka Jana iliishia wapi?

6. Kwanini unapenda kuifanya Simba SC kama Mali yako na Kampuni yako ya MeTL?

7. Kwa haya Matokeo mabovu na ya kutia Aibu ya Simba SC huku Yanga SC wakizidi Kufanikiwa wana Simba SC wenye Hasira Kali na tusiotaka Upumbavu Wanaoongoza na Mimi GENTAMYCINE tukiamua ama Kukupiga Bakora Mubashara utuachie Timu au Tukuroge vibaya Simba upaone ni sehemu HATARISHI Kwako au tukiamua Kuiteka Timu na iwe mikononi mwetu na tumkabidhi Mtu ninayemjua ndiyo Tajiri hasa na Namba moja hapa Tanzania Mzee Bakhressa aiendeshe tutakuwa tunakukosea?

Nasubiri majibu yako ila in short GENTAMYCINE niseme tu kuwa Sikukubali na nimegundua Wewe ndiyo kwa 99% unafaidika na Simba SC Kibiashara ila Simba SC inafaidika nawe kwa 1% tu.

Simba SC tunadhalilika kwa ajili yako na Ole wako Msimu huu utusajilie tena Wachezaji wako wa Ki Samjo Samjo ( Uwongo Uwongo ) na wa 10% kwa hao Wajumbe wako wa Body ambao Wote umewakeka Mfukoni mwako kwa Pesa unazowahonga ili Wakulinde.
Kwahiyo aondoke au abaki!!?
 
Hivi mnadhani hela anazotoa MO hutoa bure?
Yule anawakopesha Simba.

Zile bilioni 20 zilizotolewa zisharudi kwa MO maana alikuwa anawakopesha pesa Simba.

Bajeti ya Msimu uliopita MO alichangia bilioni 2.3

Bajeti ya Msimu huu MO kachangia Bilioni 3.5

Hizo zitarudishwa na Simba kupitia mapato yao.
Naona mkuu unalielewa vibaya neno 'Mchango'. Mtu akikuchangia hiyo ni Grant. Pesa hiyo ni Hisani hupashwi kurudisha mchango. Kinachorudishwa ni Mkopo tu
 
Naona mkuu unalielewa vibaya neno 'Mchango'. Mtu akikuchangia hiyo ni Grant. Pesa hiyo ni Hisani hupashwi kurudisha mchango. Kinachorudishwa ni Mkopo tu
Hakuna sehemu MO anatoa mchango, waulize mlio wachagua watawambia kuwa ni deni na mkataba wanaandikishana
 
Naona mkuu unalielewa vibaya neno 'Mchango'. Mtu akikuchangia hiyo ni Grant. Pesa hiyo ni Hisani hupashwi kurudisha mchango. Kinachorudishwa ni Mkopo tu
Nakuelewa vizuri. Nilikuwa narekebisha kuwa mwaka jana kachangia 2.3b na mwaka huu kachangia 3.5. Ingeandikwa katoa au kawakopesha
 
Mo Dewji naomba haraka sana kujua yafuatayo......

1. Zile Tsh Bilioni 20 za Uwekezaji umeweka Benki gani Tanzania?

2. Simba SC kama Klabu inapata Kiasi gani kutokana na Udhamini wa Brands zako?

3. Kila mwaka unatoa Shilingi ngapi kama Hela ya Usajili Simba SC?

4. Mpaka hivi sasa tokea uwe Mwekezaji Simba SC umepata Faida au Hasara? Na jibu likiwa ni Hasara je, kwanini bado Unangangania kuwepo na huondoki ili uwaachie Matajiri Wengine?

5. Safari ya kuipeleka Pre Season Simba SC nchini Marekani kama ulivyoahidi mwaka Jana iliishia wapi?

6. Kwanini unapenda kuifanya Simba SC kama Mali yako na Kampuni yako ya MeTL?

7. Kwa haya Matokeo mabovu na ya kutia Aibu ya Simba SC huku Yanga SC wakizidi Kufanikiwa wana Simba SC wenye Hasira Kali na tusiotaka Upumbavu Wanaoongoza na Mimi GENTAMYCINE tukiamua ama Kukupiga Bakora Mubashara utuachie Timu au Tukuroge vibaya Simba upaone ni sehemu HATARISHI Kwako au tukiamua Kuiteka Timu na iwe mikononi mwetu na tumkabidhi Mtu ninayemjua ndiyo Tajiri hasa na Namba moja hapa Tanzania Mzee Bakhressa aiendeshe tutakuwa tunakukosea?

Nasubiri majibu yako ila in short GENTAMYCINE niseme tu kuwa Sikukubali na nimegundua Wewe ndiyo kwa 99% unafaidika na Simba SC Kibiashara ila Simba SC inafaidika nawe kwa 1% tu.

Simba SC tunadhalilika kwa ajili yako na Ole wako Msimu huu utusajilie tena Wachezaji wako wa Ki Samjo Samjo ( Uwongo Uwongo ) na wa 10% kwa hao Wajumbe wako wa Body ambao Wote umewakeka Mfukoni mwako kwa Pesa unazowahonga ili Wakulinde.
Aisee wewe jamaa utatekwa ufirwe.akishaondoka wewe ndo utaisaidia simba??
 
Back
Top Bottom