Mo Dewji vunja benki, tafuta striker wa maana umalize kazi uliyoianza

Mo Dewji vunja benki, tafuta striker wa maana umalize kazi uliyoianza

MCHUKUUE KIBU, MUTALE, DEBORA, NA AWESU AWESU WAWEKE KWENYE BRENDA SAGA KWA DAKIKA MOJA KISHA TIA SHABALALA NA KAPOMBE KIDOGO SAGA TENA KISHA TIA SHABALALA NA KAPOMBE SAGA TENA KISHA TIA MZAMIRU NA MUKWALA KWA MBALI SAGA KIDOGO TENA HALFU WEKA BALUA VIJIKO VIWILI NA FONDO MALONE KIJIKO KIMOJA HALFU KOROGA VIZURI NDIO UNAMPATA PROFESA WA MPIRA PACOME ZOUA ZOUA😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
 
Leo sitasema sana maana yanayotakiwa kusemwa nimeshayasema kwa siku kadhaa sasa zilizopita.

Baada ya hongera nitaongeza neno moja tu kwa Mwekezaji Mo Dewji. Baada ya usajili mzuri ambao kiukweli unaridhisha sana na kabisa unaona watu wa maana wanaojua mpira walikaa chini wakapanga kujenga timu ya maana.

Midfield itakaa vizuri wala sina wasiwasi nayo. Kwa upande wa beki, Kapombe na Zimbwe wawe kwenye kwenye rotation, mbadala wao wapo tena wenye viwango, hakuna tena visingizio. Tusikariri kikosi na tujenge ujasiri wa kuweka watu benchi. Kwa kipa tuna Camara, tuna Lakred, tuna Abeid....Mungu atupe nini tena jamani?

Pungufu moja kubwa ambalo linaweza kuja kuicost timu ni uhaba wa striking force. Freddy hawezi kwenda na speed ya hii timu. Imagine Yanga ina options kama Musonda, Dube, Baleke, Mzize, nk. ila Simba hata option ya kwanza bado ina mashaka. Nitampa muda zaidi kidogo Mukwala ila hajaonyesha kama ni katili na mtumiaji mzuri wa nafasi.

Ushauri wangu, kama muda unaruhusu arudi sokoni atafute striker wa maana, atanishukuru baadae. Simba ya sasa ni nzuri sana ila itakwamishwa na ukosefu wa mshambuliaji katili ambaye mambo yakiwa magumu ana uwezo wa kuibeba timu katika mgongo wake. Ukosefu wa mshambuliaji tishio utawapa pressure na kuwachosha sana mabeki wa Simba. Wote tuliona leo ilivyofika dakika ya 60 jinsi beki ilivyochoka hadi wakaanza kupoteza umakini na mipira.

Nyongeza, Mutale ana speed nzuri na uwezo wa kupiga chenga ila hana good touch na pia hana good timing kusoma kwa haraka movement na maamuzi ya mtu anayemkaba. Hilo inabidi lifanyiwe kazi haraka, anaanza kunipa wasiwasi kuwa anafuata nyayo za Saido.
Moanzu yuko wapi?
 
MCHUKUUE KIBU, MUTALE, DEBORA, NA AWESU AWESU WAWEKE KWENYE BRENDA SAGA KWA DAKIKA MOJA KISHA TIA SHABALALA NA KAPOMBE KIDOGO SAGA TENA KISHA TIA SHABALALA NA KAPOMBE SAGA TENA KISHA TIA MZAMIRU NA MUKWALA KWA MBALI SAGA KIDOGO TENA HALFU WEKA BALUA VIJIKO VIWILI NA FONDO MALONE KIJIKO KIMOJA HALFU KOROGA VIZURI NDIO UNAMPATA PROFESA WA MPIRA PACOME ZOUA ZOUA😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
🤣🤣🤣
 
Namba 6 asilia bado hakuna. Muzamilu hana anachokifanya zaidi ya kuchukua kadi zisizo na ulazima.
 
Namba 6 asilia bado hakuna. Muzamilu hana anachokifanya zaidi ya kuchukua kadi zisizo na ulazima.
Mzamiru alipangwa kwa kazi maalum kuwaonyesha wachezaji wapya jinsi Derby inavyochezwa maana wakizembea watapigwa hata 10. Kuna defense line inayocheza kwa kutumia nguvu kama ya Yanga chini ya Aucho?
 
Simba tunahitaji namba 10 mnyumbulifu...

Mkwala anatosha pale mbele...

Yanga haina striker wa maana, angalia goli wanazofunga...
 
Hicho ni kikundi cha burudani, hata tajiri mwenyewe anawekeza kawaida.....
 
Hakuna striker mkali kwny ligi za Afrika hapa beyond viwango vya hawa hawa akina baleke, mayele, mugalu, jobe nk

Mnajidanganya bure..hawapo..

Walishajiondokea Afrika wakiwa yosso siku nyingii...

Cha msingi hapa ni kuwatengeneza na kuwanoa hawa hawa akina kibu.

Kwani Chama Jr wakt anakuja Tanzania, alikuja na kiwango hiki?

Hata wewe mtoa mada tuambie huyo striker hatari yupo wapi, timu gani na anaitwa nani..huwezi kutupa jibu
 
Simba hii mtawaonea tu bure washambuliaji. Hebu mtuambie kwanza kwa mechi hizi mbili wamekosa nafasi zipi za wazi. Mkubali kujenga timu. Nabi alikaa na hii Yanga miezi sita anahangaika nayo. Simba leo inataka ushindi wa haraka haraka, tena wachezaji wapya zaidi ya 10. Tutaona mengi.
 
Hakuna striker mkali kwny ligi za Afrika hapa beyond viwango vya hawa hawa akina baleke, mayele, mugalu, jobe nk

Mnajidanganya bure..hawapo..

Walishajiondokea Afrika wakiwa yosso siku nyingii...

Cha msingi hapa ni kuwatengeneza na kuwanoa hawa hawa akina kibu.

Kwani Chama Jr wakt anakuja Tanzania, alikuja na kiwango hiki?

Hata wewe mtoa mada tuambie huyo striker hatari yupo wapi, timu gani na anaitwa nani..huwezi kutupa jibu
Ni kweli kuna uhaba wa washambuliaji Afrika na hilo niliwahi pia kulisema.

Freddy mwenyewe siyo mbaya kihivyoo, shida yake ni kuwa anacheza amerelax sana, anataka magoli yamfuate yeye, haonekani kutaka kuyatafuta. Anazidiwa hata na Mzize. Haishangazi kumkuta bado anahangaika Afrika, mchezaji anayetoka taifa kubwa kisoka kama Ivory Coast na mwenye mwili kama wake.

Kanoute angebakishwa akasaidiana na Mukwala pale mbele, Freddy angebaki option ya 3 kama nafasi bado ingekuwepo. Kanoute akijengewa tu mindset ya kistriker, hakosi kukupa goli 15+ kila msimu.
 
Nadhani sasa mmeelewa kwa nini nilileta hoja hii na niliposikilizwa nikapongeza. Mpaka sasa Ateba kaifunga kila timu iliyokutana nayo na uwanja pekee ambao hajafunga goli ni ule wa Libya. Huu ndiyo ufanisi tunaoutaka kutoka kwa striker na akipata watu sahihi wa kumlisha mipira, atafunga saaana.
 
Nadhani sasa mmeelewa kwa nini nilileta hoja hii na niliposikilizwa nikapongeza. Mpaka sasa Ateba kaifunga kila timu iliyokutana nayo na uwanja pekee ambao hajafunga goli ni ule wa Libya. Huu ndiyo ufanisi tunaoutaka kutoka kwa striker na akipata watu sahihi wa kumlisha mipira, atafunga saaana.
Hakika nilikusoma ktk uzi huu.kabla sasa nmekuelewa nn ulichokusudia.
 
Back
Top Bottom