Nadhani sasa mmeelewa kwa nini nilileta hoja hii na niliposikilizwa nikapongeza. Mpaka sasa Ateba kaifunga kila timu iliyokutana nayo na uwanja pekee ambao hajafunga goli ni ule wa Libya. Huu ndiyo ufanisi tunaoutaka kutoka kwa striker na akipata watu sahihi wa kumlisha mipira, atafunga saaana.