Unajiona mjanja kwa kucomment hivi, kumbe pumba tu. Wewe unaweka ngapi mezani?Huyo hatoki mpaka simba ishuke daraja.
Wasio na akili watanishambulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajiona mjanja kwa kucomment hivi, kumbe pumba tu. Wewe unaweka ngapi mezani?Huyo hatoki mpaka simba ishuke daraja.
Wasio na akili watanishambulia
Na vipi kuhusu Mangungu na Try Again! Tuwapeleke wapi kwa mkopo?Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.
Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili
1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji
Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.
Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.
Nawasilisha
Timu za Afrika hasa huku chini ya jangwa la Sahara bila ya kua na tajiri alieweka fedha zake hazitoboi Mamelodi, Mazembe na zingine zimefika pale kwa sababu kuna vibopa wenye ukwasi nyuma yao wameweka mzigo wa maana na wana maanisha wanacho fanya ndio maana zimefika pale zilipo, anachokosea Mo ni anaitumia Simba kutangaza biashara zake tuu lakini kama angewekeza nguvu kama Motsepe na Katumbi sasa hivi Simba ingekua inapigania kombe la afrikaHicho kilikuwa kipindi cha mpito, ambapo hata kama timu ikiwa na hela kiasi gani lazima ipitie vipindi kama hivyo
Kama ilivyo sasa hivi kwa timu kubwa ulaya kama man u, barcelona, chelsea, nk
Issue ni kuwa na mfumo unaoeleweka wa uwekezaji na uendeshaji wa timu
Tuache uoga, mpira sasa hivi unalipa, wakati hata mashabiki wasipoenda uwanjani timu zinaingiza hela tofauti na zamani
MO aondoke Simba ni sawa. Je, baada ya hapo babaako ndio atakuja kuwekeza au unataka baba wa wengine ndio wake?Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.
Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili
1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji
Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.
Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.
Nawasilisha
Pata akili kwanza🤣Unajiona mjanja kwa kucomment hivi, kumbe pumba tu. Wewe unaweka ngapi mezani?
Simba yenu na nani au una uchovu wa kubeti.Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.
Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili
1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji
Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.
Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.
Nawasilisha
Acha ushamba watu tunanunua jezi, tunatoa viingilio vya uwanjani + ada, tunashiriki kwenye harambee mbali af unaliza swali la kijinga.... Japo siungi mkono hoja yake.Bora ukae kimya we mbumbumbu Ushawai saidia TIMU hata elfu 10 ???
Jezi gani? hiyo midosho wala sio mali ya klabu.Acha ushamba watu tunanunua jezi, tunatoa viingilio vya uwanjani + ada, tunashiriki kwenye harambee mbali af unaliza swali la kijinga.... Japo siungi mkono hoja yake.
Angalia watu wanaopewa tender ya jersey, ni kichekesho..Jezi hizo midosho wala sio mali ya klabu.
Unajua watu wengine ni wapumbavu na wana uelewa mdogoAcha ushamba watu tunanunua jezi, tunatoa viingilio vya uwanjani + ada, tunashiriki kwenye harambee mbali af unaliza swali la kijinga.... Japo siungi mkono hoja yake.
Eti hiyo midosho ya malonya ndo wanaita jezi.🤣🤣Angalia watu wanaopewa tender ya jersey, ni kichekesho..
Mimi nilivunjika moyo kununua jersey baada kile kipindi ambacho vunjabei alileta jersey chache halafu zikawa za kugombaniaEti hiyo midosho ya malonya ndo wanaita jezi.
Hapo ndio akili yako imeshia.... Basi waachie wengine wafikirie zaidi badala yako.Jezi gani? hiyo midosho wala sio mali ya klabu.
Na huo ndio mpira sasa....Unajua watu wengine ni wapumbavu na wana uelewa mdogo
Sisi mashabiki ndio wadau namba moja wa timu
Sisi ndio walengwa wa mwishi katika biashara ya mpira
Sasa utakua mjinga sana kama utamuambia shabiki wa mpira kwamba hakuna chochote anachochangia kwenye timu, mimi shabiki ndio mlengwa mkuu
Kama hakuna shabiki hakuna mpira wa biashara
Wewe ni kama mafala wengine ambao kichwani ni zero kwani hao wawekezaji wengine wamezuiwa kuja kuwekeza simba?Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.
Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili
1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji
Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.
Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.
Nawasilisha
Tuliza kinyeo hicho, hao wawekezaji wanakujaje wakati mo ndio amehodhi kila kituWewe ni kama mafala wengine ambao kichwani ni zero kwani hao wawekezaji wengine wamezuiwa kuja kuwekeza simba?
Mbona manji aliondoka yanga, na yanga bado ipo.. unajua kuna kipindi simba ilikuwa ishuke daraja, yanga ndio wakaiokoa simba.. tuache uogaMo akiondoka, Simba itakufa halafu fisi watapata mlo. Bila Mo kusingekuwa na Benchika, Ayub, Chama, pamoja na preseasons za Uturuki na Dubai.
View attachment 2958392
Safari hii Yanga hawatatoa msaada huo tena. Ninaelewa Yanga waliscrifice ubingwa na kuwaachia Coastal Union kusudi mteja wao asishushwe daraja. Enzi hizo kweli walikuwa watani wa jadi lakini siyo leo tena.Mbona manji aliondoka yanga, na yanga bado ipo.. unajua kuna kipindi simba ilikuwa ishuke daraja, yanga ndio wakaiokoa simba.. tuache uoga