Mo & METL out, tuachie Simba yetu

Mo & METL out, tuachie Simba yetu

Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.

Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili

1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji

Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.

Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.

Nawasilisha
MO akikuachieni timu halafu mkaifanyie nini? Au kwa kuwa inaitwa Simba mnadhani ni Mnyama hivyo Mtachinja ili mgawane nyama?
 
Duh hapa Kodi ya chumba sijalipa,,kila siku natoa elfu tatu ya kijana wangu kwenda shule..
Ratiba ya kula nyumbani ni mara mbili tuu
Halafu Kuna mpuuzi anataka anibebeshe zigo la Simba!!!
Mo Dewji endelea tuuuuuuu!
 
Safari hii Yanga hawatatoa msaada huo tena. Ninaelewa Yanga waliscrifice ubingwa na kuwaachia Coastal Union kusudi mteja wao asishushwe daraja. Enzi hizo kweli walikuwa watani wa jadi lakini siyo leo tena.

halafu pia kubuka Manji alipoondoka hali ilivyokuwa Yanga; walitembeza bakuli na kufungiwa kwenye magest (alikuwa hawafikii mahotelini tena bali walikuwa wa gest), na usafir wao ulikuwa wa basi, siyo sasa hivi wanvyochomoka na ndege kwende popote ispokuwa Tanga
Na sisi inabidi tupitie kipindi kama hicho ili tusifanye, ili tupate akili ya kurekebisaha haya makosa
Ila haitokuwa kama ilivyokuwa kwa yanga, kwa sababu simba tayari tupo kwenye mchakato wa mabadiliko ya uendeshaji wa club
Kwa hiyo ni rahisi mwekezaji mpya kuingia,
Mo ndio anaharibu mchakato wa mabadiliko, kwa kulazimisha interest zake ziutawale mchakato wa mabadiliko
Na ki ufupi mo hakuwa smart, gsm kamzidi kwenye hilo,
 
MO akikuachieni timu halafu mkaifanyie nini? Au kwa kuwa inaitwa Simba mnadhani ni Mnyama hivyo Mtachinja ili mgawane nyama?
Kwani mo ndie aliyeianzisha? Yeye si kaukuta, sasa kwani nini ishindwe kwenda mbele
 
Duh hapa Kodi ya chumba sijalipa,,kila siku natoa elfu tatu ya kijana wangu kwenda shule..
Ratiba ya kula nyumbani ni mara mbili tuu
Halafu Kuna mpuuzi anataka anibebeshe zigo la Simba!!!
Mo Dewji endelea tuuuuuuu!
Kama mwanaume unashindwa kulipa kodi, njoo nikuoe, utakaa bure, na kule bure, ila uwe tayari kunizalia mapacha
 
Kama mwanaume unashindwa kulipa kodi, njoo nikuoe, utakaa bure, na kule bure, ila uwe tayari kunizalia mapacha
Ndugu wape Simba wapate pesa ya usajiri sio kila siku wanaleta magarasa.
Then hyo michezo yenu ya kuona nenda roman Catholic,,,shoga wenu mkuu papa ameshawabariki
 
Umenyimwa mkopo wa Piki Piki nini, sports ni business ni muda sasa hizi timu za wananchi Ili ziweze kufika mbali kuwa private owned ,hivi vizee vya Simba na yanga vyenye hisa ni matatizo
 
Lakini sio mo
Ukienda Zanzibar ukakutana na Ahmada basi ujue huyohuyo ndiye Hamad or Ahmed na na huko mjini kwenu ukiamua kwenda Rufiji au Bagamoyo kwenda kutembelea nyumbani kwa yule rafiki yako aitwaye Mohammed au Mo, basi ukifika huko kwao ulizia kwa akina Mwamedi utafika, hakuna anayefamfahamu Mohammed au MO.
 
Kuna timu zimewekeza mahela mengi kushinda simba lakn hazina hata uwezo wa kufika robo fainali.... kikubwa hapa ni kukaa chini na kuangalia tatizo liko wapi na turekebishe.... mo huyu unae msema ndie aliyeleta chachu ya mabadiliko ya soka hapa TZ mpaka unavyoona simba na Yanga wamefika hapo walipo ni Ujasiri wa MO wa kuibadilisha Simba na iwe timu yenye ushindani. ko tupunguze zihaka kwa MO... tujaribu kuheshimu pia alichokifanya kwa soka la Tanzania
Yaani comment kama hizi lazima ww ni sehemu ya wapigaji, huwez fananisha management ya Yanga kwa Simba, wachezaji Yanga inaowasajili wako vizuri, wananguvu na morali sio Simba utumbo mtupu
 
Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.

Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili

1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji

Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.

Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.

Nawasilisha
Pesa ya kuendesha Simba huna wewe mlala Hoi, kula kande kalale
 
Simba imejaa wastaafu na wanasiasa waliokosa ubunge wanawaza matumbo yao, mimi simba ila hakuna mwenye akili ya mpira simba kumshinda Eng. Hersi.
 
Wakati mwingine ni vizuri kutoa maoni lakini embu tujiulize simba kabla ya MO unayesema atoke walikua hatua gani kipindi simba inapitia kipindi kigumu nani aliyejitokeza kuwekeza hela zake

Si ilifikia kipindi mpaka wachezaji sometimes wakawa wanagoma kisa hawalipwi stahiki zao hivi mnafikiri kuendesha timu ni kazi rahisi eeh?? Mafanikio ya robo fainali yamesababishwa na nani??? Kama sio MO kwanini hao wawekezaji hawakujitokeza kipindi kile

Ni sawasawa na saivi watu wa yanga waanze kupigia kelele GSM wakati manji alipoondoka kila mtu. Anakumbuka msoto waliopitia

Unamlaumu MO Kwa lipi hapo kikubwa viongozi try again na wengine ndo wanatakiwa kuachia ngazi kwa kufanya maamuzi ya hovyo kama kuwaleta koublan,kumleta manzoki kwa ajili ya uchaguzi etc

Ila MO Sioni kama ana kosa kwasababu ye sio skauti ni mwekezaji anayetoa pesa sasa kama pesa zimetolewa halafu wanaletwa wachezaji wa hovyo unamlaumu vipi MO badala ya kamati inayohusika na usajili
GSM kaja juzi tu ila kila mwaka Yanga inapiga hatua, ahadi zilizowekwa Simba zimekuwa wimbo wa Taifa kila mwaka, watu wancheza na fursa mwambie aondoke simba uone kama itakosa mwekezaji.
 
Pesa ya kuendesha Simba huna wewe mlala Hoi, kula kande kalale
Mkuu ambalo hulijui, uwezekaji wote unafanyika sehemu yoyote ile, walengwa wakuu ni sisi watumiaji
Kwa upande wa mpira, ni sisi mashabiki, hizo billions zinazowekwa, sisi ndio tunazirudisha,
Kwa ufupi kama hamna mashabiki hamna mpira wa biashara..labda kama haujui biashara ndio unaweza kuongea huo utumbo
 
GSM kaja juzi tu ila kila mwaka Yanga inapiga hatua, ahadi zilizowekwa Simba zimekuwa wimbo wa Taifa kila mwaka, watu wancheza na fursa mwambie aondoke simba uone kama itakosa mwekezaji.
Umenena jamba kubwa sana mkuu, kwa ufupi uwekezaji ulifanyika simba hauna tija, na sio endelevu
 
Simba ni Timu ya Mo, juz tu apa aliulizwa kitu gani aliwah nunua bei ghali akasema Simba na aliinunua miaka mitano ilopita, ukisema aondoke ataondoka na timu yake mzee. Mkuu unamfukuzaje owner ? . The Glazer family Owns man united kama majority shareholder huku Jim akiwa significant minority shareholder sasa Man u fans hawaitaki hiyo famili ya Glazer ila hawana la kufanya..
Mo ameinunua Simba kwa shillingi ngapi??
 
Hamna wanaofanya maamuzi ni watu waliowekwa na yeye
Try again ni raisi wa club lakini yeye anatoka upande wa mo
Mangungu ambae ni kama bubu ndie anayetoka upande wetu wanachama
Sasa tutaachaje kumlaumu mo, wakati watu wake ndio wafanya maamuzi ya timu kitu ni kinyume na katiba yetu, na ndio maana mchakato umekwama
Simba yak9 na nani?

Tuwekee ushahidi wa hisa zako.

Kama huna hisa baki kuwa mnazi tu, usijidanganye kuwa simba ni yako.
 
Back
Top Bottom