Mo pamoja na METL out, tutafute wawekezaji ambao wapi serious na biashara

Mo pamoja na METL out, tutafute wawekezaji ambao wapi serious na biashara

Ni muda sahihi wa kuwatumia hawa wahindi,kwani, hamna lolote wanalolifanya simba,isipokuwa kutupa presha tu

Kama hawa wahindi wataendelea kung'ang'ania Simba yetu, basi tuhesabu maumivu. Tatizo la simba ni mo na kampuni ya baba yake na sio.kitu kingine,hawa wakiondoka,waje wawekezaji ambao wapo serious na mpira basi tutafika mbali

Hii Simba ilikuwa inaonekna ni gari bovu tangu siku nyingi, haya matokeo ya leo hayajaja kwa bahati mbaya, na ninaomba mungu tupigwe zaidi ili hawa waindi waiachie timu, ichukuliwe na wafanyabiashara ambao wapo serious
Unadhani kupata muwekezeji ni Rahisi kiivyo km unavyoropoka


Man u anapigwa kila siku hawabadilishi sembuse nyie walalahoi
 
Wapo wengi sana, hizi team zina fun base kubwa sana,ndio maana wadhamini wanamininika kila siku

Sasa kama hawapo kwa nini KANJIBAI na familia yao hawataki kuiachia team,miaka nenda rudi

Kanjibai out,hatutaki kufa kwa presha
 
Wapo wengi sana, hizi team zina fun base kubwa sana,ndio maana wadhamini wanamininika kila siku

Sasa kama hawapo kwa nini KANJIBAI na familia yao hawataki kuiachia team,miaka nenda rudi

Kanjibai out,hatutaki kufa kwa presha
Amewekeza bilioni ishirin halafu aondoke? ebu kuwa serious kidogo
 
Simba inaingiza hela nyingi sana,inaweza. Kujiendesha yenyewe bila haya makanjibai
 
Ni muda sahihi wa kuwatumia hawa wahindi,kwani, hamna lolote wanalolifanya simba,isipokuwa kutupa presha tu

Kama hawa wahindi wataendelea kung'ang'ania Simba yetu, basi tuhesabu maumivu. Tatizo la simba ni mo na kampuni ya baba yake na sio.kitu kingine,hawa wakiondoka,waje wawekezaji ambao wapo serious na mpira basi tutafika mbali

Hii Simba ilikuwa inaonekna ni gari bovu tangu siku nyingi, haya matokeo ya leo hayajaja kwa bahati mbaya, na ninaomba mungu tupigwe zaidi ili hawa waindi waiachie timu, ichukuliwe na wafanyabiashara ambao wapo serious
sio kweli wamuongezee mo hisa zaidi ya 50 alafu tuone, kilichopo bado mo hana nguvu klabuni bado anapigwa kimchongo hasa kunaulazima gani manula kucheza gemu ya jana yani usanii tu kubalance furaha ya mashabiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
49 percent ni hisa nyingi sana,na by the way hata upande wa simba,viongozi waliowekwa ni kama wamewekwa na mo,
Tatizo mo ni mbahili,na pia hata uwekezaji wake simba haueleweki, mara atumie 60bilion,mara 80 bilion
Hatujui yale matangazo ya bidhaa zake simba inafaidika vipi
Yaani ni vurugu tupu
Asepe tu,kanjibai atufai kabisa
 
Ni muda sahihi wa kuwatumia hawa wahindi,kwani, hamna lolote wanalolifanya simba,isipokuwa kutupa presha tu

Kama hawa wahindi wataendelea kung'ang'ania Simba yetu, basi tuhesabu maumivu. Tatizo la simba ni mo na kampuni ya baba yake na sio.kitu kingine,hawa wakiondoka,waje wawekezaji ambao wapo serious na mpira basi tutafika mbali

Hii Simba ilikuwa inaonekna ni gari bovu tangu siku nyingi, haya matokeo ya leo hayajaja kwa bahati mbaya, na ninaomba mungu tupigwe zaidi ili hawa waindi waiachie timu, ichukuliwe na wafanyabiashara ambao wapo serious
sure shida ya simba ni uongoi sio wachezaji kabisa..
 
Mpaka mseme, mngefunga usingeleta mada kama hii hapa, mkifunga maneno mkifungwa maneno.
 
Tujiandae, hii wiki tutasikia mengi.
Wenzetu wakifungwa tu wanatafutana uchawi, sisi huwa tunashikamana kama team... I love Yanga.
Afadhali sisi..Nyie hua mnafika mbali kwa kucharazana bakora kabisa
 
Wewe nae umechanganyikiwa! MO anaweza kuwa na matatizo ila kusema MO hana msaada Simba huo ni usenge na miemko tu.

MO ameikuta Simba haiwezi hata kusajili mchezaji wa millioni 200!! Wachezaji walikuwa wanamaliza miezi miwili hata mishahala walikuwa hawapati, wachezaji walikuwa wanatapeliwa hadi pesa za usajili!

MO amekuja Simba ametengeneza mifumo ya kueleweka ya kiutendaji club ikaanza kusimama na kueleweka, kajenga uwanja wa mazoezi, timu unatumia vifaa vya kisasa, mishahala inatoka kwa wakati,wachezaji wanapata huduma zote,wanalipwa pesa za usajili, sasa mnataka afanye nini?

Kabla yake hao matajiri walikuwa wapi kuisaidia timu mpaka timu ilikuwa inakula kwa mama ntilie! Timu ilifikia mpaka inanyanganywa mipira kwa kukosa hela ya kulipa chapati!! Timu ilikuwa inazunguka vijijini kupiga ndondo ndio ipate nauli ya kusafiri!! Tuwe na shukrani na kumbukumbu, MO anafanya mengi na tunataka afanye yote yeye peke yake tu!! Nyie wengine hata kadi tu hamtaki kulipia!! Wewe umewahi kutoa hata laki moja kuchangia Simba?

Ulivyo mpumbavu unamlinganisha MO na hersi!! Hers ni muajiliwa wa gsm kila anachofanya anaripoti kwa mke wa gsm! Na hapo yanga kawekwa na gsm tu,mapato yote ya timu kuanzia jezi anauza gsm wenyewe,pesa za wadhamini anachukua gsm mwenyewe! Pesa za viingilio na pesa zote za yanga zipo chini ya gsm, kwa lugha nyepesi na kwa kifupi yanga wameuza timu kwa gsm.

tofauti kabisa na Simba ambako kuna group la wanachama ambao wana sauti na wana uongozi ila hawachangii chochote kwenye club ila hao ndio wanahujumu juhudi za muekezaji ila kwakuwa wewe ni mjinga huwezi kuona ilo.
Kwani mo simba kawekeza kiasi gani? Lakini simba inaingiza kiasi gani?kwa nini asiwafukuze hao madalali unaowasema? Yeye si ndio kawarudisha?

Mpira wa wakati ule na wa sasa hivi ni tofauti,sasa hivi watu wameshaona faida ya kuwekeza kwenye mpira,kwa hiyo automatically timu zimeshaanza kufanya mambo kitaalamu,ila sisi simba ndio bado tupo nyuma ya wakati,na anyeturudisha nyuma ni huyo kanjanja wako...ule uwanja wa bunju ni uwanja wa hadhi ya simba kweli?
 
Mkuu, angalia walivyotufunga 2 mechi ya mwisho mwa ligi, hatukulaumiana.
Funga kazi ile fainali tuliyopoteza kwa kanuni, tulishikamana tukakubali kupoteza, hakuna aliyemlaumu yeyote.
Naipenda sana hii spirit yetu Yanga.
Pamoja sana
 
Mkuu, angalia walivyotufunga 2 mechi ya mwisho mwa ligi, hatukulaumiana.
Funga kazi ile fainali tuliyopoteza kwa kanuni, tulishikamana tukakubali kupoteza, hakuna aliyemlaumu yeyote.
Naipenda sana hii spirit yetu Yanga.
Pamoja sana
 
Simba inaingiza hela nyingi sana,inaweza. Kujiendesha yenyewe bila haya makanjibai
Jibu ni dogo, wew akili huna,

Kwa Tz hakuna team yenye mapato makubwa kama Yanga, ila kwenye Budget yao walikuwa na deficit ya 6B,
Haya nambie unadhani deficit kwa Simba itakuwa ngapi ? Nani atafidia ?

Uwanjani hamuendi unless ni Simba Vs Yanga Vs Azam,

Kadi hamlipii, App hamsajili, Jersey mnanunua feki, then unasema klab inaendeshwa kwa faida 😂😂
 
Back
Top Bottom