Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Honestly speaking mkuu.Ningekuwa nimepata nafasi ya kumshauri Mohamed Salah ningemshauri abaki Liverpool kama shukrani sababu ni kama timu pekee iliyomthamini katika timu kubwa duniani maana Hata Roma nao walimwachia aende Fiorentina.
Kuhusu mshahara nadhani Klopp sio muda atampandishia maana kuna wave ya kupanda mishahara pale EPL. Isitoshe ndio kinara wa timu kipindi hiki pale Liverpool, hio itawapa Pressure wamuongezee mshahara.
Kwanini asiwe kama yeye, unamfananisha na Messi, utamfanya asiwe na plan ya kumzidi MessiAisee huyu jamaa kama messi vile
Mkuu huo ndio ukweli kizazi hiki la pruga ndio the bestKwanini asiwe kama yeye, unamfananisha na Messi, utamfanya asiwe na plan ya kumzidi Messi
Mkuu huo ndio ukweli kizazi hiki la pruga ndio the best
Aisee huyu jamaa kama messi vile
Madrid hii hii kibonde? AuYule ni madrid type
Rmadrid akanyanyue makwapaHaiwezekani kila siku yeye ndio anayeibeba timu huku wenzake wakimuangusha, nafikiri baada ya msimu huu aombe kuuzwa naamini Man City ndio sehemu sahihi kwake, vinginevyo pale Liverpool ataishia kupigiwa makofi na scouser huku mataji akiyasiki jirani.
Huyu mtoa uzi nadhani amemjua salah akiwa Liverpool. Kabla ya Liverpool salah alikuwa na sifa zipo kubwa katika ulimwengu wa soka? And again, salah amecheza kwa mafanikio msimu huu tu, unawezaje kumwona magician kwa msimu mmoja tu? Halafu je kwa upeo wa mleta uzi ni kweli kwamba man city > Liverpool? Uzi huu hauko vizuri, una jicho la wivu nadhani mleta uzi ni shabiki wa man city.Kabla hajaja kupoteza muda lfc je,ulikuw unaujua ubora wake ambao anao sasa?Hv n nan aliyefany Sarah ajiamin na kucheza sok la kuvutia kama c lfc na fans wake? Bac mwache apoteze muda maana hata ww wako unapotea kwa kumjadil yeye kweny kaz zake.Mind your business.
Mwezi wa sita atatua Real MadridHaiwezekani kila siku yeye ndio anayeibeba timu huku wenzake wakimuangusha, nafikiri baada ya msimu huu aombe kuuzwa naamini Man City ndio sehemu sahihi kwake, vinginevyo pale Liverpool ataishia kupigiwa makofi na scouser huku mataji akiyasiki jirani.
Mwezi wa sita atatua Real MadridHaiwezekani kila siku yeye ndio anayeibeba timu huku wenzake wakimuangusha, nafikiri baada ya msimu huu aombe kuuzwa naamini Man City ndio sehemu sahihi kwake, vinginevyo pale Liverpool ataishia kupigiwa makofi na scouser huku mataji akiyasiki jirani.