Mo Salah: Mchezaji bora anayepoteza muda wake Liverpool

Mo Salah: Mchezaji bora anayepoteza muda wake Liverpool

Mchezaji wa msimu next atapotea kama vile vitoto vya Manchester United
 
Ningekuwa nimepata nafasi ya kumshauri Mohamed Salah ningemshauri abaki Liverpool kama shukrani sababu ni kama timu pekee iliyomthamini katika timu kubwa duniani maana Hata Roma nao walimwachia aende Fiorentina.

Kuhusu mshahara nadhani Klopp sio muda atampandishia maana kuna wave ya kupanda mishahara pale EPL. Isitoshe ndio kinara wa timu kipindi hiki pale Liverpool, hio itawapa Pressure wamuongezee mshahara.
Hapa umenena mkuu
Kulipa fadhila

Naliona hlo kwa iniesta na natarajia kuliona hlo pia kwa King Leo

Story ya Messi utoton na moyo waliouonesha barcelona kwa messi alpokuwa dogo na comitment yao kwenye ttzo lake inampa moyo mchezaj muelewa kulipa fadhila

But kwa liver Salaah atarajie vikombe kwel???
 
Mtoa mada huna akili tena mpuuzi, hao man city hawakumuona huko alikokua?
Liverpool ilipomtaka kwa Mara ya kwanza Morinho akamdaka uwanha wa ndege akamchukua, alifanya nini Chelsea?
 
Huyu mtoa uzi nadhani amemjua salah akiwa Liverpool. Kabla ya Liverpool salah alikuwa na sifa zipo kubwa katika ulimwengu wa soka? And again, salah amecheza kwa mafanikio msimu huu tu, unawezaje kumwona magician kwa msimu mmoja tu? Halafu je kwa upeo wa mleta uzi ni kweli kwamba man city > Liverpool? Uzi huu hauko vizuri, una jicho la wivu nadhani mleta uzi ni shabiki wa man city.
ofkosz Mancity > Liverpool kipindi hichi. huko nyuma Liverpool >>> Mancity. Kesho Mancity <> Liverpool
 
Hata Coutinho Mulijidai Kusema Hayahaya! Unafikiri Coutinho Kule Barcelona atakuwa Bora Kama alivyokuwa Liverpool?? Sahau Kwahilo! Nakuhakikishia karibuni Coutinho atapotea na atasahaulika!
Usifikiri ukali hule Ni uwezo wake Binafsi tu! Hata Mfumo Wa Klopp Kwa Kiwango Kukubwa umechangia Coutinho aonekane Bora! lakini Kule Barcelona namba aliyokuwa akicheza Liverpool Kule inachezwa na Iniesta badala Yake yeye Anacheza Position mpya.

Hivi unadhani Man City ndiyo Ndoto ya Wachezaji Washaokuwa na Majina??
Hile Ni Timu ya Wachezaji Wa Kawaida Kama Walivyokuwa kina Sane, Jesus, De Bruyne ambao Hujitengenezea majina Wakishakuwa Pale!
Lakini Aliyekwisha Kujitengenezea Jina Hawezi Kwenda Man City Hata Siku Mmoja.
 
Hata Coutinho Mulijidai Kusema Hayahaya! Unafikiri Coutinho Kule Barcelona atakuwa Bora Kama alivyokuwa Liverpool?? Sahau Kwahilo! Nakuhakikishia karibuni Coutinho atapotea na atasahaulika!
Usifikiri ukali hule Ni uwezo wake Binafsi tu! Hata Mfumo Wa Klopp Kwa Kiwango Kukubwa umechangia Coutinho ainekane Bora! lakini Kule Barcelona namba aliyokuwa akicheza Liverpool Kule inachezwa na Iniesta badala Yake yeye Anacheza Position mpya.

Hivi unadhani Man City ndiyo Ndoto ya Wachezaji Washaokuwa na Majina??
Hile Ni Timu ya Wachezaji Wa Kawaida Kama Walivyokuwa kina Sane, Jesus, De Bruyne ambao Hujitengenezea majina Wakishakuwa Pale!
Lakini Aliyekwisha Kujitengenezea Kina Hawezi Kwenda Man City Hata Sikh Mmoja.
Wnaendanga wapi mkuu
 
Hata Coutinho Mulijidai Kusema Hayahaya! Unafikiri Coutinho Kule Barcelona atakuwa Bora Kama alivyokuwa Liverpool?? Sahau Kwahilo! Nakuhakikishia karibuni Coutinho atapotea na atasahaulika!
Usifikiri ukali hule Ni uwezo wake Binafsi tu! Hata Mfumo Wa Klopp Kwa Kiwango Kukubwa umechangia Coutinho ainekane Bora! lakini Kule Barcelona namba aliyokuwa akicheza Liverpool Kule inachezwa na Iniesta badala Yake yeye Anacheza Position mpya.

Hivi unadhani Man City ndiyo Ndoto ya Wachezaji Washaokuwa na Majina??
Hile Ni Timu ya Wachezaji Wa Kawaida Kama Walivyokuwa kina Sane, Jesus, De Bruyne ambao Hujitengenezea majina Wakishakuwa Pale!
Lakini Aliyekwisha Kujitengenezea Kina Hawezi Kwenda Man City Hata Sikh Mmoja.
Coutinho kwa kweli sijui kama atashine muda mrefu
Let's wait and see but mmmh!
 
Hata Coutinho Mulijidai Kusema Hayahaya! Unafikiri Coutinho Kule Barcelona atakuwa Bora Kama alivyokuwa Liverpool?? Sahau Kwahilo! Nakuhakikishia karibuni Coutinho atapotea na atasahaulika!
Usifikiri ukali hule Ni uwezo wake Binafsi tu! Hata Mfumo Wa Klopp Kwa Kiwango Kukubwa umechangia Coutinho ainekane Bora! lakini Kule Barcelona namba aliyokuwa akicheza Liverpool Kule inachezwa na Iniesta badala Yake yeye Anacheza Position mpya.

Hivi unadhani Man City ndiyo Ndoto ya Wachezaji Washaokuwa na Majina??
Hile Ni Timu ya Wachezaji Wa Kawaida Kama Walivyokuwa kina Sane, Jesus, De Bruyne ambao Hujitengenezea majina Wakishakuwa Pale!
Lakini Aliyekwisha Kujitengenezea Kina Hawezi Kwenda Man City Hata Sikh Mmoja.
umeandika mashudu
 
Watu mna wivu kinoma, huyo Salah ndio mmemjua leo kisa yupo Liverpool?

Kisa saivi amekuja kwa wanaojua na anawaumiza kila siku mnaona Liverpool sio sehemu sahihi kwake wakati kiuhalisia ndio sehemu iliyomfanya mpaka sasa aheshimike duniani ndani ya miezi michache kabisa.


Wivu mwingine bwana bora ulale ukue
 
Hata Coutinho Mulijidai Kusema Hayahaya! Unafikiri Coutinho Kule Barcelona atakuwa Bora Kama alivyokuwa Liverpool?? Sahau Kwahilo! Nakuhakikishia karibuni Coutinho atapotea na atasahaulika!
Usifikiri ukali hule Ni uwezo wake Binafsi tu! Hata Mfumo Wa Klopp Kwa Kiwango Kukubwa umechangia Coutinho ainekane Bora! lakini Kule Barcelona namba aliyokuwa akicheza Liverpool Kule inachezwa na Iniesta badala Yake yeye Anacheza Position mpya.

Hivi unadhani Man City ndiyo Ndoto ya Wachezaji Washaokuwa na Majina??
Hile Ni Timu ya Wachezaji Wa Kawaida Kama Walivyokuwa kina Sane, Jesus, De Bruyne ambao Hujitengenezea majina Wakishakuwa Pale!
Lakini Aliyekwisha Kujitengenezea Kina Hawezi Kwenda Man City Hata Sikh Mmoja.
povu
 
Haiwezekani kila siku yeye ndio anayeibeba timu huku wenzake wakimuangusha, nafikiri baada ya msimu huu aombe kuuzwa naamini Man City ndio sehemu sahihi kwake, vinginevyo pale Liverpool ataishia kupigiwa makofi na scouser huku mataji akiyasiki jirani.
Acha kuandika pumba zako, Yaani aondoke kwenye timu sahihi aende kusikoaminika unafkr ye hana akili kama wewe
 
Man city ndo timu gani sasa??mbona unaongea vitu ambavyo havina maana?





Hapo ndo upeo wako wa fikra ulipoishia.
 
Ningekuwa nimepata nafasi ya kumshauri Mohamed Salah ningemshauri abaki Liverpool kama shukrani sababu ni kama timu pekee iliyomthamini katika timu kubwa duniani maana Hata Roma nao walimwachia aende Fiorentina.

Kuhusu mshahara nadhani Klopp sio muda atampandishia maana kuna wave ya kupanda mishahara pale EPL. Isitoshe ndio kinara wa timu kipindi hiki pale Liverpool, hio itawapa Pressure wamuongezee mshahara.
Huo ndo ukweli umeongea kitu cha maana sana! Asije akafanya ujinga wa yule jamaa alikuwa Arsenal anaitwa Alex Song jamaa alikuwa anapata namba vizuri mzee wenger alikuwa anamkubali sana akajifanya anajua zaidi kwenda Barca nafikiri alichokitafuta alikipata tayari
 
Back
Top Bottom