Mo Salah: Mchezaji bora anayepoteza muda wake Liverpool

Mo Salah: Mchezaji bora anayepoteza muda wake Liverpool

Haiwezekani kila siku yeye ndio anayeibeba timu huku wenzake wakimuangusha, nafikiri baada ya msimu huu aombe kuuzwa naamini Man City ndio sehemu sahihi kwake, vinginevyo pale Liverpool ataishia kupigiwa makofi na scouser huku mataji akiyasiki jirani.
sio kweli , sadio mane anatoa mchango mkubwa Sana kwa hiyo kusema Ni yy mwenyewe sio sahihi/kweli
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ningekuwa nimepata nafasi ya kumshauri Mohamed Salah ningemshauri abaki Liverpool kama shukrani sababu ni kama timu pekee iliyomthamini katika timu kubwa duniani maana Hata Roma nao walimwachia aende Fiorentina.

Kuhusu mshahara nadhani Klopp sio muda atampandishia maana kuna wave ya kupanda mishahara pale EPL. Isitoshe ndio kinara wa timu kipindi hiki pale Liverpool, hio itawapa Pressure wamuongezee mshahara.
Si mtaalamu wa soka mimi, lakini nadhani Klopp na Liverpool ndiyo waliompa fursa Salah ya kun'gara kama ilivyo. Abaki hapo hata kwa msimu mwingine. Kama mnakumbuka ya Simon Msuva amekuwa tofauti tangu aende Algeria. Huko alituambia, alipokuja nchini majuzi, kuwa kocha alimbadili nafasi ya kucheza kwa kumtoa pembeni na kumweka katikati, ghafla akawa star wa timu. Hivyo ni bora Salah abaki hata kwa msimu mmoja tu Liverpool.
 
kucheza wapi ndio kutokupoteza muda?hapo hapo panamfaaa unataka aende timu gani sasa katika dunia hii
 
Huo ndo ukweli umeongea kitu cha maana sana! Asije akafanya ujinga wa yule jamaa alikuwa Arsenal anaitwa Alex Song jamaa alikuwa anapata namba vizuri mzee wenger alikuwa anamkubali sana akajifanya anajua zaidi kwenda Barca nafikiri alichokitafuta alikipata tayari


Salah angebaki tu maana naona mfumo wa uchezeshaji wa Klopp ndio unambeba sana, alichonacho sana sana ni u''sharp" wa kutumia vizuri zaidi chance za magoli otherwise kingine ni kuwa Salah hana uwezo wa kumiliki mpira hii inaweza kumfanya asiwe bora kiushindani wa namba kama akihama timu halafu mfumo ukamkataa
 
Haiwezekani kila siku yeye ndio anayeibeba timu huku wenzake wakimuangusha, nafikiri baada ya msimu huu aombe kuuzwa naamini Man City ndio sehemu sahihi kwake, vinginevyo pale Liverpool ataishia kupigiwa makofi na scouser huku mataji akiyasiki jirani.

Man City ni timu ya kushinda FA, EPL na Carabao
Mo Salah ni mchezaji wa kuwania UCL
 
Haiwezekani kila siku yeye ndio anayeibeba timu huku wenzake wakimuangusha, nafikiri baada ya msimu huu aombe kuuzwa naamini Man City ndio sehemu sahihi kwake, vinginevyo pale Liverpool ataishia kupigiwa makofi na scouser huku mataji akiyasiki jirani.
ajidanganye aondoke Liverpool aone kama haja-kotinywa!!
 
Ningekuwa nimepata nafasi ya kumshauri Mohamed Salah ningemshauri abaki Liverpool kama shukrani sababu ni kama timu pekee iliyomthamini katika timu kubwa duniani maana Hata Roma nao walimwachia aende Fiorentina.

Kuhusu mshahara nadhani Klopp sio muda atampandishia maana kuna wave ya kupanda mishahara pale EPL. Isitoshe ndio kinara wa timu kipindi hiki pale Liverpool, hio itawapa Pressure wamuongezee mshahara.
Never give up!
Wachezaji unaowabeza wamemfunga Barca goli 4/0 bila Salah.
Wachezaji haohao wameisaidia Kops kubeba champions league Europe.
Football Ni zaidi ya ndoto.
Umemuona Orig? Umemuona Manne?
 
Back
Top Bottom