Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
ofkosz Mancity > Liverpool kipindi hichi. huko nyuma Liverpool >>> Mancity. Kesho Mancity <> Liverpool
hana kipya zaidi ya mbio tu.
Haiwezekani kila siku yeye ndio anayeibeba timu huku wenzake wakimuangusha, nafikiri baada ya msimu huu aombe kuuzwa naamini Man City ndio sehemu sahihi kwake, vinginevyo pale Liverpool ataishia kupigiwa makofi na scouser huku mataji akiyasiki jirani.
Tunasafari ndefu sana ya kujua mpira hasa wabongo,,ni sehemu gani sahihi ya kila mchezaji,Haiwezekani kila siku yeye ndio anayeibeba timu huku wenzake wakimuangusha, nafikiri baada ya msimu huu aombe kuuzwa naamini Man City ndio sehemu sahihi kwake, vinginevyo pale Liverpool ataishia kupigiwa makofi na scouser huku mataji akiyasiki jirani.
Wamlete simba kwa mkopo.Wabongo bana Yani mtu ana msimu mmoja tu tayari mshasema hafai kucheza Liverpool?[emoji34][emoji34]
Your brain is foolish and stupid unavoongea hvyo usikute nyie ndo wale mnaolelewaHaiwezekani kila siku yeye ndio anayeibeba timu huku wenzake wakimuangusha, nafikiri baada ya msimu huu aombe kuuzwa naamini Man City ndio sehemu sahihi kwake, vinginevyo pale Liverpool ataishia kupigiwa makofi na scouser huku mataji akiyasiki jirani.
kama ana plan ya kumzidi messi asahau ...maana ktika umri alionao salah "" Tayari messi alishaifnya dunia ya michezo imuone kuwa hana mpinzani ktk Mpira wa miguuKwanini asiwe kama yeye, unamfananisha na Messi, utamfanya asiwe na plan ya kumzidi Messi
kama ana plan ya kumzidi messi asahau ...maana ktika umri alionao salah "" Tayari messi alishaifnya dunia ya michezo imuone kuwa hana mpinzani ktk Mpira wa miguu
Muulize COUTINHO PALE BARCA USIKU WA LEO?Haiwezekani kila siku yeye ndio anayeibeba timu huku wenzake wakimuangusha, nafikiri baada ya msimu huu aombe kuuzwa naamini Man City ndio sehemu sahihi kwake, vinginevyo pale Liverpool ataishia kupigiwa makofi na scouser huku mataji akiyasiki jirani.
Hivi alicheza?Muulize COUTINHO PALE BARCA USIKU WA LEO?
Hajacheza kwa sababu alichelewa kusajiliwa,lakini saa hii angekuwa anacheza NUSU FAINALIHivi alicheza?
wanazi wa Liver mnasemaje
Huyu chokoraa wa fevela kushney babuji,yy ndie alikua anatuletea gundu kwenye timu yetuTunapendekeza Mtoa Uzi Aende Kwenye Ukurasa Wa Twitter na Insta Wa Coutinho Akamuulize Hivi:-
√ Yale Magoli Aliyokuwa Akiyafunga Liverpool Yameishia Wapi?
√ Yale Masifa Kemkem Aliyokuwa Akipaishwa na Kutengenezewa Madocumentaries na Media Yameishia Wapi?
√ Lile Jina Lake la "LITTLE MAGICIAN" limepotelea Wapi?
√ Zile Media Za Spain Zilizokuwa Zikimpampa Na Kumpa Misifa Kibao Kila Siku Zimenyamaza Kwa Nini?
Conspiracy theory ya media za Spain Zitawateketeza Wengi...