Mobimba nye nye nye,Lemutuz na Mo Dewji wafanya mazungumzo kwa masaa 13,wakubaliana kumwaga mabilioni

Mobimba nye nye nye,Lemutuz na Mo Dewji wafanya mazungumzo kwa masaa 13,wakubaliana kumwaga mabilioni

hahahaha duuu eti tajiri ameajiri watu 8 hahahaha
 
Na alipotoka kwenye mazungumzo alienda kulala direct asije kukutana na mbululaz kama msaga sumu wamuharibie maakili kubwaz aliyopewa na Le Super Mo
Lemutuz ana maneno sana aahha hhhaa u know
 
Mazungumzo ambayo agenda yake haijawekwa waz... Vijana waliotoa maoni yao ....... Asee hayo maoni wameotea nn kilizungumzwa au?
 
Kijana ana miaka zaidi ya 50 ni kijana wa aina gani huyu?!
Nnahisi Mo hajafika hata 45 ila hilo jibaba jingine kama sikosei yupo kwenye late 60's. Labda kama mtoa mada alileta wastani wa umri wao ndiyo akaconclude kuwa umri wap ni wa vijana
 
Hayo masaa 13 walikua wamejifungia chumbani wawili tu??
Kijana sii rizki,degree 3 za le mutuz ni sawa na elimu ya darasa la 7 ya tanzania.Umri huo hata hajui anafanya nini zaidi ya kuwa mpambe wa matajiri uchwara
 
Back
Top Bottom