for life
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 3,397
- 4,436
Kijani wa zama za kale yeye anamiaka hamsini wazazi wake wanamiaka bukuKijana ana miaka zaidi ya 50 ni kijana wa aina gani huyu?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijani wa zama za kale yeye anamiaka hamsini wazazi wake wanamiaka bukuKijana ana miaka zaidi ya 50 ni kijana wa aina gani huyu?!
Hata humu jf mtu ana miaka 45 au 40 anajiita kijanaKijana ana miaka zaidi ya 50 ni kijana wa aina gani huyu?!
haha siku hizi ata kijana wa miaka 20 anaitwa Mzee babamtu ana miaka 60 ni kijana ? duhhhhhhhhh
Siku hizi kuna msamiati mpya wa Mzee-KijanaKijana ana miaka zaidi ya 50 ni kijana wa aina gani huyu?!
mwambiy uyo shitbrainMuache lemutuz wewe..usijifananishe nae ata kidogo..hangaika usaidie ndugu zako wajane
apo ndipo akili zenu zinapofikiahahaaa hapo lazima itkuw palikuwa na matumizi ya vilainishi tu mkuu
Kijana wa zamani labda anamaanisha ivoKijana ana miaka zaidi ya 50 ni kijana wa aina gani huyu?!
HahahahahaHahaha
Nadhani hapo walikuwa wametoka kwenye kile kikao cha rais na wafanyabiashara wa bongo.
Lemutuz ambae anatajwa kua mmiliki wa inchi zisizozidi tatu ndani ya pensi nyanya kubwaView attachment 723502 Wiki inayoelekea ukingoni huenda ikawa wiki bora kuliko zote kwa vijana baada ya matajiri vijana wa kitanzania kufanya mazungumzo kwa zaidi ya masaa 13.
Lemutuz ambaye anatwaja kama muajiri mkubwa nchini katika eneo dogo la mraba (employee/sq ft),akiwa ameajiri vijana 8 katika mita za mraba nne na Mo Dewji ambaye anatajwa kama muajiri mkubwa kwa ujumla, mazungumzo hayo ambayo ajenda yake bado haijawa wazi hasa lkn wachunguzi wa mambo wanadai inawezekana walijadili masuala ya kumwaga mabilioni kwa vijana ili kuwaondoa mitaani.
Baadhi ya vijana waliobahatika kutoa maoni yao walipongeza hatua hiyo kubwa huku wengine wakisema ni nadra sana kuona Lemutuz akifanya mazungumzo na mtu asiye na digrii 3 kwa masaa mengi kiasi hicho.
Ahha haha hhha Lemutuz mobima nyey nyeLemutuz ambae anatajwa kua mmiliki wa inchi zisizozidi tatu ndani ya pensi nyanya kubwa
Ana sura kama esahau uchi wake lodgeAhha haha hhha Lemutuz mobima nyey nye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaniLemutuz ambae anatajwa kua mmiliki wa inchi zisizozidi tatu ndani ya pensi nyanya kubwa
Wasukuma acheni ushamba , kijana gani ana Miaka zaidi ya 60View attachment 723502 Wiki inayoelekea ukingoni huenda ikawa wiki bora kuliko zote kwa vijana baada ya matajiri vijana wa kitanzania kufanya mazungumzo kwa zaidi ya masaa 13.
Lemutuz ambaye anatwaja kama muajiri mkubwa nchini katika eneo dogo la mraba (employee/sq ft),akiwa ameajiri vijana 8 katika mita za mraba nne na Mo Dewji ambaye anatajwa kama muajiri mkubwa kwa ujumla, mazungumzo hayo ambayo ajenda yake bado haijawa wazi hasa lkn wachunguzi wa mambo wanadai inawezekana walijadili masuala ya kumwaga mabilioni kwa vijana ili kuwaondoa mitaani.
Baadhi ya vijana waliobahatika kutoa maoni yao walipongeza hatua hiyo kubwa huku wengine wakisema ni nadra sana kuona Lemutuz akifanya mazungumzo na mtu asiye na digrii 3 kwa masaa mengi kiasi hicho.