Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,388
- 7,223
Walivyoona kudesign kunachukua muda wakaamua kutoa copy za jeepNikikumbuka picha hii huwa natokwa machozi 😠ðŸ˜ðŸ˜
View attachment 1823007
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walivyoona kudesign kunachukua muda wakaamua kutoa copy za jeepNikikumbuka picha hii huwa natokwa machozi 😠ðŸ˜ðŸ˜
View attachment 1823007
Kuna percentage ya locally made...sawa na hizo mobius zenu.Hiyo imekuwa assembled tu haijaundwa. Mumeimport vipuri na kuviunganisha.
Unazijua components zinazounda gari!? Hebu zitaje kisha useme kiwanda kipi kinatengeneza hizo components hapo Kenya. Kama ukishindwa kutaja wewe ni mwehu.Hiyo imekuwa assembled tu haijaundwa. Mumeimport vipuri na kuviunganisha.
30 % ya Mobius ni locally made.Unazijua components zinazounda gari!? Hebu zitaje kisha useme kiwanda kipi kinatengeneza hizo components hapo Kenya. Kama ukishindwa kutaja wewe ni mwehu.
30 % ya Mobius ni locally made.
Sikiliza huyo mzungu anavyosema. Usijibu bila kutazama video.
What do you do to Mobius?I don't expect your stupidity to allow you differentiate between vehicle assembling and manufacturing.
Wanatengeneza only carpet za ndani za gari..ambazo nazo wanazi import from Tanzania.Mzee nimekuambia unitajie components mnazotengeneza hapo Kenya wewe unanipatia percentage!?
Niambie components zipi mnazitengeneza hapo Kenya.
Marketing strategy ndio inadictate, anything for the mullahNdio anavyowadanganya mama Ngina!?
Some parts of the body and chassis ndio tunatengeneza Kenya. Engine na gearbox zinaundiwa nje.Mzee nimekuambia unitajie components mnazotengeneza hapo Kenya wewe unanipatia percentage!?
Niambie components zipi mnazitengeneza hapo Kenya.
Mzee hebu ondoa upumbavu wako hapa.Some parts of the body and chassis ndio tunatengeneza Kenya. Engine na gearbox zinaundiwa nje.
Kwani mimi ni engineer wa Mobius? Nitolee ujinga wako hapa. Mimi naquote kilichosemwa na huyo mzungu. Nimekuambia utazame video lakini hutaki kusikia. Mzungu kasema parts of the body and chassis zinaundwa Kenya ila hajaspecify ni parts zipi hizo. Kwa hivyo unitolee upumbavu wako hapa.Mzee hebu ondoa upumbavu wako hapa.
Nimekuambia unieleze components zipi mnatengeneza.
Wewe sema MF: Taa, battery, Filter, Radio, Engine etc. Na taja kampuni inayotengeneza hizo components.
Mzee ondoa upumbavu wako hapa. Kama issue huijui kaa kimya. ShenztypeKwani mimi ni engineer wa Mobius? Nitolee ujinga wako hapa. Mimi naquote kilichosemwa na huyo mzungu. Nimekuambia utazame video lakini hutaki kusikia. Mzungu kasema parts of the body and chassis zinaundwa Kenya ila hajaspecify ni parts zipi hizo. Kwa hivyo unitolee upumbavu wako hapa.
sounds like an idiot, sina sababu ya kukujibuPengine kama tungetumia nembo inayokaribia kufanana na kichwa chako ingekuwa vyema zaidi.