imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hao wote walikuwa na Wajamaa lakini walipishana sana kwenye implementation Ujamaa wa Mwalimu ulileta Demage kuliko wa Kaunda.Unavosema Kaunda alikua Better zaidi ya nyerere unamaanisha nini??
unaweza ainisha catergory za ulinganifu