Umeelewaau unaepusha ligi tu?Ni sawa kabisa sasa nimeelewa .nilikuwa natafuta ligi na Kiranga ,nimesahau sijala nitakufa njaa bure.
Oooh ligi limeanza naona ,Kiranga NIMEELEWAUmeelewaau unaepusha ligi tu?
Unawezak utaka kuepusha ligi ukasema umeelewa wakati kitu hujaelewa.
Hahaaa....mkuu niko maskani hapa aisee umenichekesha sana hutaki ligi na Kiranga anataka azidi kukuelewesha zaidi hahaa......Ni sawa kabisa sasa nimeelewa .nilikuwa natafuta ligi na Kiranga ,nimesahau sijala nitakufa njaa bure.
Dah...mkuu.. Kuna uzi uliuleta mwenyewe...kitambo kidogo...labda uusome ujikumbushe....maandiko yako mwenyeweeee[emoji87][h=3][/h]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]FLAVIANA KATIKA POZI(PICHA HII HAIHUSIKI YA CHINI NDIO ILIYOZUA UTATA)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]XXX PRODUCTION HOUSE{Flaviana}[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mwana mitindo maarufu dunian toka Tanzania anaejulikana na jina la Flaviana Matata ametupia picha yake hiyo hapo juu inayosadikika kuwa yupo ndani mwa nyumba ya kuandaa na ku shoot video za ngono..
Kama umeweza kulibaini hilo jumba na kubainisha kifanyikacho humo, basi utakuwa na uhakika na unachosema, mwizi kukamatwa na ...
Hapana Mkuu huyo jamaa kujiita Kiranga hajakosea yaani ni Kiranga na nusuHahaaa....mkuu niko maskani hapa aisee umenichekesha sana hutaki ligi na Kiranga anataka azidi kukuelewesha zaidi hahaa......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuna import wasiojua kiswahiliDon't make me floss son. Ali said it ain't bragging if you did it.
Mimi sitafuti mademu, mademu wananitafuta mimi.
Wakiniona haweshi kusema "Kiranga tunakuzimia". Mimi nawaambia siku hizi ni mtawa wa Ki Buddha natafsiri vitabu vya dini kama Dhammapada, sitaki mademu.
Kuepusha ngumi tu, watu wasinipiganie.
Sasa nazungusha Macao, Azores, Ibiza, Curacao, Turks and Caicos, Copa Cabana, Angkor Wat na Las Vegas, ujanja wa Sinza niliupita 1998 tulipokuwa tunafunga muziki mkubwa Checkpoint.
Enzi tuliyofunga njia ya Mpakanjia!
Hata enzi hiyo, tuliwashusha mabinti wa Kimarekani wanatoka New York, tunawaleta Sinza Uswahilini waone pelaso la Bongo.
Wengine wanafanya safari kutoka Kampala kuja Dar. Tumewashusha mabinti wa Kampala Dar kabla ya Diamond Platnumz.
Tulikuwa hatutaki local products, tuna import wasiojua Kiswahili tu.
Huko Kinondoni natoa ufadhili wa mikopo kwa watu wanaotaka kuanzisha biashara ndogondogo, halafu nawasahaulisha kunilipa makusudi kwa sababu najua vyuma vimebana.
Nimekuacha miaka 20 nyuma kwa msingi huu.
πππππKaone mifupa, kana tangaza njaa
Sikutaka tabu za kina Sikudhani Kiswahili kingi , lool. Joking.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuna import wasiojua kiswahili
Kitanga tunakuzimia hehehehehe .........mademu hawapendi wenye akili niamini ,ila Kuna kaukongwe nimekaona asee umetisha we jamaa Hadi vya ubudha umo khaa ngoja nimalizie hizi bia kwanzaDon't make me floss son. Ali said it ain't bragging if you did it.
Mimi sitafuti mademu, mademu wananitafuta mimi.
Wakiniona haweshi kusema "Kiranga tunakuzimia". Mimi nawaambia siku hizi ni mtawa wa Ki Buddha natafsiri vitabu vya dini kama Dhammapada, sitaki mademu.
Kuepusha ngumi tu, watu wasinipiganie.
Sasa nazungusha Macao, Azores, Ibiza, Curacao, Turks and Caicos, Copa Cabana, Angkor Wat na Las Vegas, ujanja wa Sinza niliupita 1998 tulipokuwa tunafunga muziki mkubwa Checkpoint.
Enzi tuliyofunga njia ya Mpakanjia!
Hata enzi hiyo, tuliwashusha mabinti wa Kimarekani wanatoka New York, tunawaleta Sinza Uswahilini waone pelaso la Bongo.
Wengine wanafanya safari kutoka Kampala kuja Dar. Tumewashusha mabinti wa Kampala Dar kabla ya Diamond Platnumz.
Tulikuwa hatutaki local products, tuna import wasiojua Kiswahili tu.
Huko Kinondoni natoa ufadhili wa mikopo kwa watu wanaotaka kuanzisha biashara ndogondogo, halafu nawasahaulisha kunilipa makusudi kwa sababu najua vyuma vimebana.
Nimekuacha miaka 20 nyuma kwa msingi huu.
We kwani na kichaa chote hiki bado unaniona nina akili?Kitanga tunakuzimia hehehehehe .........mademu hawapendi wenye akili niamini ,ila Kuna kaukongwe nimekaona asee umetisha we jamaa Hadi vya ubudha umo khaa ngoja nimalizie hizi bia kwanza
Hiyo ni kazi tu kwa wenzetu km kaz zengine[h=3][/h]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]FLAVIANA KATIKA POZI(PICHA HII HAIHUSIKI YA CHINI NDIO ILIYOZUA UTATA)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]XXX PRODUCTION HOUSE{Flaviana}[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mwana mitindo maarufu dunian toka Tanzania anaejulikana na jina la Flaviana Matata ametupia picha yake hiyo hapo juu inayosadikika kuwa yupo ndani mwa nyumba ya kuandaa na ku shoot video za ngono..
Mkuu wenye akili wengi huwa Kama vichaa ila mi huwa nawaelewa na kuwavumbua ..najamaa angu yaani sijawahi mahinda argument alikuwa best student mwaka wangu pale mlimani mi nikiwa na ka gpa 3.3 ,yaani jamaa anajua uchumi sjapata ona anafatiliaga Hadi uchumi wa Afghanistan namwambia kwani huoni shape ya Vera sindika ..ila unakuta watu Kama sisi tumeandikiwa simple accomplishment mi habari za dunia nazipata baa tu cna muda wa kufatilia jalada la the economist badala ya page ya mangeWe kwani na kichaa chote hiki bado unaniona nina akili?
Ukongwe mi mkongwe mpaka pale Yesu alipolisha watu 5,000 mkate na samaki na mimi nilikuwepo, bado kidogo tu nipige naye selfie.
OK. Maana najua kuna common misconception mtu akiona distance inapimwa kwa seconds au years.Oooh ligi limeanza naona ,Kiranga NIMEELEWA