Mods naomba mumtandike Ban numbisa hata ya miaka mitano.


Staff Online Now
 
[emoji3] [emoji3] juzi mods walikua wanahasira sijui mana ban zilimiminwa si mchezo
Kwan we hukuwepo kwenye ule uzi wa allepo? Ule ndo umetusababishia ban
Masihala yalinoooga kuitana kwiiiingi mara ghafla"BANNED"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]NILIchooka hataree
 
Masihala yalinoooga kuitana kwiiiingi mara ghafla"BANNED"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]NILIchooka hataree
[emoji3] [emoji3] [emoji3] stunter kaanzisha sahv uzi wa tuliopigwa ban mods wameufuta, naona wanapinga vikali undugu humu jf
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] stunter kaanzisha sahv uzi wa tuliopigwa ban mods wameufuta, naona wanapinga vikali undugu humu jf
[emoji15] [emoji15] wanapenda tuendelee kuitana mkuu tu baasi
 
[emoji3] [emoji3] juzi mods walikua wanahasira sijui mana ban zilimiminwa si mchezo
Kwan we hukuwepo kwenye ule uzi wa allepo? Ule ndo umetusababishia ban
Uzi ulikuwa una sema he?
Mimi huwa nakuwa kwenye nyuzi tofauti na kaZi yangu ni kutia fitna na kuchonganisha watu. Kuchokoza, kutania etc.
Ila mtu akinitukana nakasirika sana daaah!
Mm ulikuwa ndio ban yangu ya kwanza kwa Miaka karibia miezi tisa
 
Uzi ulikuwa una sema he?
Mimi huwa nakuwa kwenye nyuzi tofauti na kaZi yangu ni kutia fitna na kuchonganisha watu. Kuchokoza, kutania etc.
Ila mtu akinitukana nakasirika sana daaah!
Mm ulikuwa ndio ban yangu ya kwanza kwa Miaka karibia miezi tisa
"Hichi kinauzi hapa MMU" ila walishafuta comenti nyingiii
 
Nilikusahau bibie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…