washabiki wenyewe ndio kuwaza hivi kila siku bora niendelee kuishabikia arsenal yangu tu
timu haiwezi kupangwa na wanywa kahawa na kucheza bao siku nzima halafu ikapata kombe la afrika
Mpira wa bongo umenishinda
Simba na Yanga haziendelei kwa sababu ya kumilikiwa na wanachama
ile timu yake ya singida ilimshinda nini??
Ni wazo zuri.. But tunatakiwa kulipitia kwa kina mana tusije tukawa tunampa mbu kazi ya kutibu malaria.
Wanaamini uchawi kuliko kucheza mpira..
Imagine Simba inamilikiwa na Mo, Yanga na Manji, Azam na Azam mwenyewe, hapo lazima tambo ziwe nyingi na timu hizi zitafika mbali sana maana wote matajiri, hata wadhamini itawabidi waongeze hela maana kila timu itakuwa na uwanja wake....
Fan base itaongezeka zaidi...
Napenda hizi timu ziwe binafsi kumilikiwa na mashabiki ndio maana hata Arsenal haijafika mbali
Wanaamini uchawi kuliko kucheza mpira..
Imagine Simba inamilikiwa na Mo, Yanga na Manji, Azam na Azam mwenyewe, hapo lazima tambo ziwe nyingi na timu hizi zitafika mbali sana maana wote matajiri, hata wadhamini itawabidi waongeze hela maana kila timu itakuwa na uwanja wake....
Fan base itaongezeka zaidi...
Napenda hizi timu ziwe binafsi kumilikiwa na mashabiki ndio maana hata Arsenal haijafika mbali
Mi naona ifike wakati hizi timu Simba na Yanga zimilikiwe na mtu binafsi ili maamuzi ya haraka yafanyike...
Mambo ya kusikiliza kila tawi yashapita
weka mfumo wa hisa, asilimia 51 mmpe mfanyabiashara mkubwa anayeweza kuendesha timu kibiashara na wanachama wachukue 49 waachane na mfumo wa kizamani.
hata wao wenyewe wanachama wanaweza kuangalia kama wanaweza kuiendesha wenyewe kwa kuchanga kuwekeza na kuanza kutegemea kupata faida za kiburudani na kifedha sio lazima wauze. the way forward ni kuendesha timu kibiashara.
bila ku adopt mfumo anaopendekeza mo Mpira wetu hautakaa uendelee
bora angeanzisha timu yake kama azamfc ili alete changamoto ya mpira hapa nchini kuwe na timu nne super