sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
washabiki wenyewe ndio kuwaza hivi kila siku bora niendelee kuishabikia arsenal yangu tu
timu haiwezi kupangwa na wanywa kahawa na kucheza bao siku nzima halafu ikapata kombe la afrika
Mpira wa bongo umenishinda
Kila la heri na Arsenal yako.. Tuachie timu yetu.