Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!

Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio!

Kama ransom yenyewe ni zile Trilion mbili na Asset za Mo kama vile ardhi n.k, ngoja tuwasubiri Forbes wamtoe katika listi ya Mabilionea wanaoongoza Afrika, tutajua zaidi.

Ila kama "wasiojulikana" wamechukua kale kabilion kamoja ka Familia ya Mo hiyo siyo Ransom ni pipi tu!
 
Mungu ni mkubwa!

Kuna maswali mengi ya kujiuliza, ambayo yanakosa majibu................

Kuna connectiion gani kati ya Press ya Sirro na kuachiwa kwake Mo??

Polisi watwambie Mo amefikaje fikaje nyumbani usiku huo wa manane??

Kwa ulinzi uliokuwepo hapo nyumbani kwa Mo,kama watekaji ndiyo waliomleta, iweje wasikamatwe??

Hiyo ya kumwachia Mo haijatosha, tunataka kuona wale wote waliohusika na unyama huo wanaburuzwa mahakamani kujibu tuhuma za unyama wao

Na kama watekaji hao wasipofikishwa mahakamani, wananchi tutaungaisha dots na kuamini kuwa ni "lazima" serikali ilikuwa inajua alipo Mo!
 
Eti ni kweli?
Screenshot_20181020-070248_Facebook.jpeg
 
Yaani eti waliomteka wamrudishe nyumbani wao wenyewe hawaogopi kudakwa na vijana wa Siro?, Au Mo katembea kwa miguu kutoka alipokuwa ametekwa, tena usiku wa manane mpaka nyumbani kwao?

Hahahah inachekesha sana hii tamthiliya ila ukifikiria inasikitisha sana!.

Ukiwa Gangster basi uwe angalau Smart!. Zero in papers translates Zero in missions!!
 
Back
Top Bottom