Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

kam.jpg
kam.jpg
kam.jpg
 
Ni vema kurudi salama! Lakini ili ni kosa kubwa sana kwa watekaji!
 
Kama ransom yenyewe ni zile Trilion mbili na Asset za Mo kama vile ardhi n.k, ngoja tuwasubiri Forbes wamtoe katika listi ya Mabilionea wanaoongoza Afrika, tutajua zaidi.

Ila kama "wasiojulikana" wamechukua kale kabilion kamoja ka Familia ya Mo hiyo siyo Ransom ni pipi tu!
Ransom labda bilioni tano hivi, haiwezi kuwa zaidi ya hapo
 
Brother Mo, kama unanisoma ni hivi

ULIFANYA LA MAANA SANA KUWEKEZA KWENYE SIMBA SPORTS CLUB, WANASIMBA WOTE BILA KUJALI VYAMA VYAO TULIKUWA NYUMA YAKO.

Na laiti usingekuwa mmiliki wa Simba, Watu wasingekujua, Wasingefuatilia kutekwa kwako, Wasingepaza sauti waliyopaza!. Yaani nakueleza wazi brother Mo, Kwa mara ya Kwanza wale jamaa hatukwaelewa kabisaaa Stori na Matango Pori waliyotulisha!

SIMBA NGUVU MOJA!!!
 
Hivi huyu waziri alivyotekwa tu alikuwa wa kwanza kutuambia kaongea na babake, leo usiku huu ni yeye kawa wa kwanza kutuambia kaongea nae! Mo hakuwa kwa mjomba wake ati yuko nyumbani kwake salama! Alitakiwa awe kituo cha police kuisaidia maelezo, then hosipitali then jeshi lireport yuko salama. Huwezi kutoweka, au kotoweshwa then ukarudi au kurudishwa nyumbani ikaishia hapo. Ngoja kukuche.
 
cha kushukuru ni kwamba mzee baba karudi salama ila hapo anaposema anashukuru polisi kwa kufanikisha kurudi salama im sure hata yeye nafsi yake ilikua inasema usiandike ila ndo bas tena watekaji wameshinikiza awape credit
 
Brother Mo, kama unanisoma ni hivi

ULIFANYA LA MAANA SANA KUWEKEZA KWENYE SIMBA SPORTS CLUB, WANASIMBA WOTE BILA KUJALI VYAMA VYAO TULIKUWA NYUMA YAKO.

Na laiti usingekuwa mmiliki wa Simba, Watu wasingekujua, Wasingefuatilia kutekwa kwako, Wasingepaza sauti waliyopaza!. Yaani nakueleza wazi brother Mo, Kwa mara ya Kwanza wale jamaa hatukwaelewa kabisaaa Stori na Matango Pori waliyotulisha!

SIMBA NGUVU MOJA!!!
Mbona Bahresa na Mengi hawajawekeza Simba lakini wanajulikana?
 
Brother Mo, kama unanisoma ni hivi

ULIFANYA LA MAANA SANA KUWEKEZA KWENYE SIMBA SPORTS CLUB, WANASIMBA WOTE BILA KUJALI VYAMA VYAO TULIKUWA NYUMA YAKO.

Na laiti usingekuwa mmiliki wa Simba, Watu wasingekujua, Wasingefuatilia kutekwa kwako, Wasingepaza sauti waliyopaza!. Yaani nakueleza wazi brother Mo, Kwa mara ya Kwanza wale jamaa hatukwaelewa kabisaaa Stori na Matango Pori waliyotulisha!

SIMBA NGUVU MOJA!!!
basi na nansi alipatia kuwa timu yenu
 
Back
Top Bottom