Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sikubaliani na mambo yake ila tuheshimu katiba ,akae aondokeKwa harakati hizi tunazoziona, ukomo wa miaka 10 utaishia kwa Jk. Huyu hatoki.
unajua masharti aliyopewa na waliomteka?... kama polisi walishindwa kumtafuta, aende huko akafanyeje?... awashukuru watekaji kwa kumuachia salamaHivi huyu waziri alivyotekwa tu alikuwa wa kwanza kutuambia kaongea na babake, leo usiku huu ni yeye kawa wa kwanza kutuambia kaongea nae! Mo hakuwa kwa mjomba wake ati yuko nyumbani kwake salama! Alitakiwa awe kituo cha police kuisaidia maelezo, then hosipitali then jeshi lireport yuko salama. Huwezi kutoweka, au kotoweshwa then ukarudi au kurudishwa nyumbani ikaishia hapo. Ngoja kukuche.
Sharti kuu atakalokuwa kapewa ni kuwasafisha wale mliokuwa mnawahisi. Tweet zake zote itakuwa ni kuishukuru serikali na polisi.Aje sasa atuambie yaliyomsibu huko
Hongera familia yake kwa kufanikisha aachiwe...Hongera jeshi LA polisi.
Mo ametokea Msumbiji kwa miguu!!!Yaani eti waliomteka wamrudishe nyumbani wao wenyewe hawaogopi kudakwa na vijana wa Siro?, Au Mo katembea kwa miguu kutoka alipokuwa ametekwa, tena usiku wa manane mpaka nyumbani kwao?
Hahahah inachekesha sana hii tamthiliya ila ukifikiria inasikitisha sana!.
Ukiwa Gangster basi uwe angalau Smart!. Zero in papers translates Zero in missions!!
Hutokuja kunielewa hadi uache ujinga wa ki-CCM!Wewe endelea kunyonya maziwa ya mama mpaka pale utakapo kuwa mtu mzima mwenye kuchanganua hoja zinazohitaji fikra tunduizi!
Utaona tu maneno watakayokuja kusema!! Mpaka hutoamini, ukwel hauwezi ukasemwa zitakuja propaganda tuSharti kuu atakalokuwa kapewa ni kuwasafisha wale mliokuwa mnawahisi. Tweet zake zote itakuwa ni kuishukuru serikali na polisi.
Umeandika nini?Hongera jeshi LA polisi.
?????Hongera jeshi la polisi.
Nadhan itakua busara akikaa kimya. Coz kila kitu kiko waz. Akina roma/moni walifanya ivo lkn haikusaidia chochote.Karibu tena nyumbani. Kashoggi (rip) masikini yeye hakuweza kurejea! Haya basi tuhadithie hao Wazungu wawili wa Mamboleo wanasema walikutekea nini?
U ain't serious. ...Hongera jeshi LA polisi.