Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe unaona nini?Umeandika nini?
???U ain't serious. ...
Hatupati hata voucherKama ransom yenyewe ni zile Trilion mbili na Asset za Mo kama vile ardhi n.k, ngoja tuwasubiri Forbes wamtoe katika listi ya Mabilionea wanaoongoza Afrika, tutajua zaidi.
Ila kama "wasiojulikana" wamechukua kale kabilion kamoja ka Familia ya Mo hiyo siyo Ransom ni pipi tu!
??????????
Wamebana wameachia, Jiwe siyo Mtu!.
Namshauri Mo asepe atulie zake huko Brunei au Kisiwa chochote cha Pasifiki ale bata miaka saba ipite kisha arudi tujenge nchi!, yeye bado kijana, kupumzika miaka saba siyo ishu!
Nataka nitoe bonge la series nimepata idea ya season 1[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
nipo na popcorn zangu hapa nasubir New episode
yaani hadi rahaaa MKUU
hakutatokea uongzoi kama huu wa matukio Nchi Tz
Yan ameachiwa saa tisa du ko huo muda wa saa tisa usiku ametoka nchi jilan akaletwa Tanzania?au alikua humu hum Tz tu wanacheza na akil zetu
Nimeona unajidanganya!Samahani kwa kukuhamisha mawazo yako "mazuri"!Kwani wewe unaona nini?
Akiwa nje ya Tanzania yeye na familia yakeBaada ya press ya Ziro ku-backfire wameamua wamuachie..
Ila sidhani kama ataweza kusema yaliyomkuta, yatakuwa kama yale ya Roma.