Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Wameogopa kuumbuliwa na USA, walitaka kuingia mzigoni kupitia satellite kuwaumbua bushmen,kweli nimeamini ndumba upunguza uwezo wa kufikiri. Bushman always is a bushman
Hahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja

Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .

Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??

Tutakesha tukisiburia hilo
 
Nasema tena narudia, bila kelele za Mb. Mh. Lema, Mo Dewji asingelipatikana. Kelele za Lema zimesadia. Ile press ilikuwa na impact kubwa sana. Pia Zito alitweet kuwa Siro anajua alipo Mo. Press ya jana ya Siro na maswali yaliyoibuliwa na hotuba yake yameibua irresistible conclusion kuwa SIRO anajua alio Mo Dewji (by Zito Kabwe)
 
Kama kuna mtu mpaka mda huu hawajui waliomteka Mo basi nampa pole.
Yaani tungeafikiana tu na zile Ngonjera za kamanda Siro na picha zake za Tecno asingeachiwa huyu leo hii.
Nawashiwika kuamini kwamba Kamanda Siro pasipo kujijua amewaangusha sana wenzake jana.

All in all Mungu ni mkubwa kuliko wao na good thing ni kwamba Mo amerud na nguvu ya umma kwa mara kwanza imeheshimiwa.
Thanks to Zitto Kabwe na wengine waliowachapa za uso hawa manyang'au.
 
This is sweet news I've heard from beginning of this year so far.

God is good always.

#MOisBack
 
Back
Top Bottom