Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kwa vyovyote B na chenchi imetokaWamebana wameachia vipi katema mpunga.Aibu kweli kwa Dunia aisee.Primitive always a primitive
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vyovyote B na chenchi imetokaWamebana wameachia vipi katema mpunga.Aibu kweli kwa Dunia aisee.Primitive always a primitive
Ni vema kurudi salama! Lakini ili ni kosa kubwa sana kwa watekaji!
Barbaric!Dah! Tumefika mbali sana. Ila nimeamini ushamba ni mbaya sana. Hata upewe nafasi gani bado utafanya mambo yako kishambashamba tu! Ivi neno mshamba kwa kiingereza linaitwaje? Thanks God Mo is back
Haha,cha kushukuru ni amerudi salama,tukimuuliza yaliyomsibu ni nini tutakuwa tunamuonea,si tushawajua watekaji?Aliyesoma albadir akamatwe aisome kinyumenyume ili kuwazingua waliokaangwa na kile kisomo, maana la sivyo tutaona vituko sana katika miaka michache ijayo!!
Hawana helaNa wale kina Ben saanane sijui watarudi lini!!!
Na watekajiKaachiwa kwani alikuwa anashikiliwa na nani ?
Hahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja
Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .
Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??
Tutakesha tukisiburia hilo
Ameachiwa Saa Tisa na dakika kumi na tano Usiku
Aliyesoma albadir akamatwe aisome kinyumenyume ili kuwazingua waliokaangwa na kile kisomo, maana la sivyo tutaona vituko sana katika miaka michache ijayo!!